mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Achana na hayo .swali kwanini TRA wabebe mpunga wa hyo shule?
Tatizo lingine katika hizo shule vigisuvigisu ni vyingi sana kwa watoto kupata nafasi katika shule hizo. Wengi wa watoto wanaosoma huko wazazi wao au walezi wao wanakipato kizuri tu, ila zinaitwa shule za watoto wa masikini.