Na siku hizi wengi ndio wamemaliza madigrii vyuoni wanaendesha bodaboda, Lema Yuko sahihi ila uwasilishaji ndo mbovu, anachopigania ni tax cuts Ili foreign investors waje, wale wenye degree wapate ajira waione thamani elimu yao.Rubbish, yeye mbona haendi kuendsha bodaboda? Watoto wa wengine ndio wanastahili bodaboda. Bodaboda ni laana!
Nimeisikiliza na kureplay video ya dk 1 na sekunde zake.
Ilibidi aspecify tu tatizo aliweka hoja in general(kuwainclude wasioenda shule).
Tunafahamu ya kuwa bodaboda imeweza toa ajira isiyo rasmi Kwa wale wanaotamba kuvaa joho la chuo.
Haiwezekani mtu amemaliza chuo , Hana uhakika wa ajira, anaona Bora aendeshe bodaboda asukumize siku.
Hii ni kwasababu ya sera mbovu za Serikali na upigaji unaopitiliza.