Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

lema alipigania haki bungeni swala la kuifanyia nin arusha ni jukumu la serikali inayokusanya kodi kupitia TRA so waulize serikali waliifanyia nini arusha kipindi cha lema au hawakupeleka maendeleo kama alivyosema mungu wao kuwa kwa wapinzani hatapeleka maendeleo by the way lema hajakaa bungen miaka 15 kama ulivyoandika kwenye title yako.
 
Kazi karibu zote ni risk. Unataka waache bodaboda ili wafanye kazi kazi? Ya kulelewa bure kama yeye lema?
Risk nyingi za bodaboda ni za kujitakia.
Kwa nini dereva wa gari anafanya mafunzo kabla ya kupewa leseni lakini bodaboda anajifunza kwa saa 3 na kuingia barabarani?
Aslilimia kubwa ya bodaboda hawana leseni. Wewe unatetea huu upuuzi?!
 
Leo nimeshuhuda bodaboda amegonga gari kwa nyuma ... alafu akakimbia fasta...gari ilikuwa imesimama kwenye mataa
 
1. Ajali
bodaboda wanahusika katika kusababisha ajali nyingi barabarani, tofauti na magari sio rahisi sana kudhibiti bodaboda. Ni bodaboda pekee ambayo utaikuta inaendesha kulia sehemu inatakiwa kuendesha kushoto.
Mabasi na malori nayo ni boda boda ?
 
Kwa vyombo vyote vya moto haya yana asilimia kubwa kutokea kwa wote.
 
3. Usalama wa raia na mali zao
Bodaboda zinahusika sana katika matukio ya uhalifu wa silaha na ukwapuaji barabarani kwa sababu ya uwezo mkubwa wa kupenya.
Noah nyeusi na tax zenye vioo tinted siku hizi hazitumiki ?
 
Mna wafikia Indonesia na China kwa idadi ya boda boda zilizo katika matumizi ?
Na
je uchumi wenu na wa China na Indonesia katika criteria zote [ e.g industry ] una fanana ?
 
[emoji848] andika na faida zake basi ili tuone kweli làana nadhani hakuna kazi ambayo haina risk na hizo ambazo umeweka hapo zinaingia sehemu nyingi mfn udereva wa basi,malori n.k
 
Waendesha boda boda wakusanyika kwa wingi kumpokea Lema, Lissu, mbowe na viongozi wengine wa chadema katika funguzi za mikutano ya hadhara hapa nchini.
 
Mkuu una miaka mingapi? Huenda tunachangia hoja ya kitoto Cha miaka 16 kisivhojua kuwa Lena Hana vipindi vi 3 vya ubunge
 
Faida zake andika wewe
[emoji848] andika na faida zake basi ili tuone kweli làana nadhani hakuna kazi ambayo haina risk na hizo ambazo umeweka hapo zinaingia sehemu nyingi mfn udereva wa basi,malori n.k
 
Hata hivyo ukosefu wa fursa na ugumu wa maisha hufanya binadamu wakati mwingine kutokuwa na chaguo zaidi ya kufanya kazi za laana ambazo hajivunii kabisa.
Nini maana ya laana ?
 
We chawa tu hauna akili,mbona unahangaika na kulamba viatu vya watu na usiende kujiajiri kama ulivojinasibu hautaki kazi kwenye mashairi yako,kucha kutwa umekaa kushindana na chadema mpaka unaibiwa demu wako
 
Mkuu una miaka mingapi? Huenda tunachangia hoja ya kitoto Cha miaka 16 kisivhojua kuwa Lena Hana vipindi vi 3 vya ubunge
Ulivyoandika tu, sihitaji watu dizaini yako kuchangia hii mada!
 
Lema anakusanya kodi? wajinga wakubwa nyie, mbona watoto wenu hawapo kwenye ajira ya bodaboda? kuna mtoto wa Waziri, RC, KM, RAS, DAS, DC, DED, Mbunge ni bodaboda? ukimtaja mmoja najinyea siku nzima
Mkuu,haiwezekana binadamu wakalingana hata kidogo ,nakushauri kama bado ni kijana mdogo pigania maisha yako huyu pimbi LEMA hawezi kukusaidia chochote zaid ya kukutumia wewe ili aende bungeni na aweze kupata ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…