Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Lema muongo kama alikuwa anakwenda kukagua migodi yake kwa kuvaa baibui, ukafikiri Serikali aina watu wake huko kwenye migodi? Serikali ikikutaka hata uchimbe shimo inakukuta huko kwenye shimo, Serikali kama ilikuwa inamwitaji hatawakati wa kuvuka mpaka angelikamatwa tu, mbona Nyarandu alirudishwa na akuna kilichompata!na mpaka Sasahivi yuko ccm anakula bata; Chadema uongo wanaotunga kuaribu sifa za Magufuli utawarudia tu, hauwezi kupanda kwa kukanyaga mtu au kimchafua ukadhani wewe utakuwa salama.Akuna jipya ambalo Magufuli alitenda ambalo watangulizi wake hawakuwai kulitenda.
 
Risala ndefu lakini hakuna content. Na inaonekana umekosa kabisa hata kuelewa context nzima ya neno hilo lilivyotumika.

Hivi alisema kuwa kazi hiyo ni ya laana kwa sababu ina kipato kidogo? Kama umeshindwa kuelewa msingi wa hoja, hata mchamgo wako wote unakuwa hauna maana.
 
Badaboda sio ajira ni kuhangaika nafsi tuu japo siwezi kuita ni laana
 

Labda kama unafikiri ulisikia na kuona mwenyewe lakini tulimsikia na kumuona akisema hivyo, kuwa bodaboda ni kazi ya Laana.
 
Hana migodi ?au ana migodi kaweka majina ya ndugu zake? Which is which?
Huyo mleta uzi ni taahira asiyejielewa, anaji-contradict mwenyewe kwa ku-force hate post yake hiyo matokea ameonekana zuzu. Hao ndiyo waliodai hawezi kurudi kwani amekimbia madeni sasa wamejigeuza spin masters waigeuze story yao kivingine, haelewi hata jinsi ilivyo rahisi kumiliki migodi kiasi kwamba anadhani Lema hawezi kumiliki migodi.
 
Badaboda sio ajira ni kuhangaika nafsi tuu japo siwezi kuita ni laana

Ndio Kula Kwa jasho Huko Mkuu.
Kila kazi inamahangaiko yake.
Huyo Lema anavyohangaika jukwaani au alivyokimbia nchi hayo sio mahangaiko?,
Ndio maana ya kazi Mkuu.
 
Anadhani kila mtu anaweza kwenda kuolewa canada kama yeye
 

Hoja yako ni ipi hapa?!
 
Lema aache roporopo, nimesikia pia eti anaenda kumuona Sabaya gerezani sijui leo au kesho.
Hicho ni kiherehere.
 
Ushamba tu, kuishi canada hyo miaka sijui 5 ndo anajifanya kasahau maisha ya m'tz
 
Kama hana mashimo anawekaje majina ya ndugu zake.
Akidanganya inaathiri vipi maisha yako na ya wengine
 
Umeandika utoto sana.
 
Idadi ya wapumbavu inasonga mbele, hongera nawe umo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unatukana Vikoba ambavyo Watu wanakusanya Pesa Kwa hiyari Yao, Kwa Pesa Yao ya jasho halali, kisa tuu wanakusanya miambili miambili.
Lema amekwama, na wapo Watu wengi WA mfano wake.
Watu wote wanafiki wanaoshabikia kazi inayoua vijana wetu kwa idadi kubwa wamelaanika maana hawathamani maisha ya vijana wengi wanaoangamia na kupata ulemavu wa kudumu kila siku.

Serikali ithamini maisha ya vijana wetu. Itengeneze mazingira mazuri yatakayoeawezesha watu wafanye kazi halali, zinazowapatia kipato, hata kama ni vipato vidogo, lakini wawe salama.

Tuachane na wanafiki wanaishabikia vijana waendelee kuwa bodaboda, huku kazi yenyewe inawaua na kuwapa ulemavu kwa idafi kubwa, ilihali watoto wao hawawafanyi wawe bodaboda.

Amelaanika mtu yule anayemtumia binadamu mwenzake kufanya matendo ya hatari huku yeye akijinufaisha ama kwa mapato ama kwa umaarufu, wakati mtendakazi akipoteza maisha au kuwa kilema.

Tunafahamu, wapo wengi humu wanaitetea kazi ya bodaboda kwa sababu wamenunua pikipiki na kuwapa vijana wazitumie, huku wao wakiletewa pesa kila siku. Kama kweli ni kazi yenye baraka na salama, kwa nini hawanunui na kuwapa watoto wao wakatafutie pesa ili wawaletee?

Pikipiki ni usafiri wa mtu mmoja mmoja, tena kwa mazingira fulani tu, haustahili kuwa usafiri wa umma. Uendeshaji wa pikipiki una risk kubwa ya kiusalama kwa sababu tatizo dogo la barabarani, mwendesha pikipiki anakuwa victim wa kifo au ulemavu.

Uhalali wa kazi hautokani na ukweli tu kuwa kwa sababu unapata kipato. Leo boda boda mpaka wanatengewa wodi zao mahospitalini, halafu mtu mjinga na mnafiki anatetea kuwa ni ajira inayostahili kuendelezwa! Tusiwe wanafiki, tujali maisha ya vijana hawa kama tunavyoyajali maisha yetu na ya watoto wetu. Vijana hawa wapo tayari kuhatarisha hata maisha yao kwa sababu jamii imeshindwa kuwapa hifadhi. Hili siyo tatizo la waendesha bodaboda bali ni tatizo la jamii yetu nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…