WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Kitila ni graduate bwashee anatakiwa akaripoti Singida VETA ili akili zimkae sawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hili swali japo bado halijajibiwa na Prof Kitila Mkumbo lakini linafikirisha sana
Watoto wa Viongozi
Mungu wa mbinguni awabariki!
Mtasema yote sasa hivi. Kumbe ndio maana mnatetea lgbt
- Sababu ndio ilikuwa hiyo, alivaa baibui Ili iwe rahisi kufika kwenye mgodi Wake, kama una sababu nyingine hizo Baki nazo
- Kuvaa baibui mbona pia Mgombea wa ACT pangani alivaa baibui Wakati wa kurudisha Fomu ya Ugombea Ubunge wa Pangani, alivaa baibui Kwa sababu CCM Kwa kushirikiana na Police walikuwa wanapiga Fomu wagon eat wa Vyama vingine wenye nguvu Ili wapite bila kupingwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020
Kama kaweza kuvaa baibui basi kuna vingine anafanya, ni suala la muda tu kabla hatujajua sababu ya kuwatetea lgbtKinachokuuma wewe ni kuvaa baibui au kunasuka?
Lete ushahidiNyerere alivaa baibui kutoka ikulu hadi mjimwema kunusuru maisha yake ....sijui kama unalijua hilo
Hebu fungua hiyo unieleze umegundua nini? Na nini maoni yako?Kama kaweza kuvaa baibui basi kuna vingine anafanya, ni suala la muda tu kabla hatujajua sababu ya kuwatetea lgbt
Kabisa na huenda hata alivaa maziwa na sauti alibadiliKwa hiyo na WOWO alikua analitikisa ili WAJUE kabisa yeye ni demu wa kutongoza? Duuuuuuh, lema bwaaanaa
Hiyo ndio tabia yake acha kusingizia polisiNi mbinu tu hizo za kukwepa polisi Tanzania bwashee, acha kukuza mambo we mtoto wa kiume
Weka reference inayoendana na hoja yako! Usitoe hbr nusunusu hiyo ndio mantiki yang, umeona ni vyema humu tujadili hbr ya Lema kuvaa baibui bas weka hbr kamili tujadili!!Mtu akikuambia amewahi kubakwa, hata akikupa sababu inasaidia nini ikiwa kishabakwa?
Teña kwa ajili ya kwenda kula Bata tuWanaendesha pikipiki Brand ya, Yakohama, BMW, Suzuki...
Soma historia ...ushahidi tosha! Ask Uasi wa Jeshi 1964....soma sana ujue historian inchi yakoLete ushahidi
Malengo ya kuvaa hayo mabuibui ndo yenye kutoa maana ikiwa ni mbaya ama njema.Kwa hiyo hakuna shida lema kuvaa baibui na Madera?
Kuna mtu anavaa nguo fulani bila sababu? Hata wanaovaa suti au Madera huwa na sababu
Hata wa kwangu hawawezi kuendesha hizo bodaboda.Kuna watu watauliza kama watoto wa Lema nao wanaendesha boda au lah 😄
Nakupa historia tu ya Zanzibar baada ya kifo cha mfalme Seyyid Said, watoto wake wawili Majid na Barghash walikuwa wanagombea utawala lakini Waingereza walimtaka Majid kwa vile alikuwa ni mtu maridhia sana kwa amri za Waingereza. Waingereza walipomuona Barghash ni msumbufu walimueka kwenye 'house arrest' kwa kutarajia kuwa pale chakula kitakapokwisha kwenye nyumba yake basi angejisalimisha.Mtoa mada mtafute Shekhe Ponda atakuambia ama tafuta historia za siasa za Zanzibar jinsi hilo vazi lilivyowasaidia. Acha gubu Rama Agger.
Lema Mwana kulitafuta!Siasa sasa zimegeuka kuwa masikhara, yaani suala la bodaboda nalo limekuwa ndiyo gumzo kuu la kisiasa. Hivi hapo usalama wa Rais upo wapi!?
mbona unakatisha hoja yake?Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Hili swali japo bado halijajibiwa na Prof Kitila Mkumbo lakini linafikirisha sana
Watoto wa Viongozi
Mungu wa mbinguni awabariki!