Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Vicoba sio kuhifadhi pesa. Wanakopeshana na riba inakuwepo, kuna faini ndogo ndogo pia. Ni kanuni ya Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. Kama vicoba havina kazi, basi mfumo wa kukopa pesa nyingi benki na kurudisha nyingi kuliko uliyokopa haina maana pia.
Inaonesha Godiblesi yeye haheshimu complexity ya maisha.
Inaonesha Godiblesi yeye haheshimu complexity ya maisha.