Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Lazima kama Nchi tuhakikishe vijana wanapata ajira za viwandani au mashambani , kule Kyela siku za nyuma kidogo kulikuwa na vijana waliokuwa wakifanya biashara ya kusafirisha mizigo mizito kwa baiskeli , walijulikana kwa jina la NJEMUKE ( kwa kiswahili ni kama kuchemka au kutobweteka )

Hawa walitumia baiskeli ya Phoenex , sijui ilitengenezwa wapi , walibeba mizigo mizito sana huku wakiendesha baiskeli hizi , lakini baadaye wakaanza kupukutika kwa maradhi ya kifua hadi tukaaanza kuwapa elimu kwamba ni bora waingie kwenye kilimo .

Kwahiyo watu waweza kuwa wanafanya jambo linaloonekana linawasaidia lakini kumbe nyuma yake kuna madhara makubwa
Mkuu, kila kazi hua ina health risk zake.
 
Godbless Lema ni mwanasiasa contraversial na anaependwa sana Jijini Arusha. Kinachompa umaarufu sasa ni kurejea nchini kutoka Canada, ni kama vile bado ana kimuhe muhe cha kutaka kuelezea alichokiona Canada kulinganisha na nyumbani Tanzania.

Ameanza kwa kukosoa kazi za boda boda, vikundi vya Vicoba, na mengine. Swali la kujiuliza ni kwamba, yeye mwenyewe anafanya biashara gani inayomlipa?

Hawa vijana wataenda wapi? Ndio sio sawa ila lazima wapate makazi, chakula na kulea watoto wao vizuri. Je, tuna lolote la kujifunza kutoka kwa Godbless?

What businessess are you in Sir?
Atuonyesha kodi anazolipa serikalini ndio itakuwa uthibitisho ya kwamba anafanya kazi halali yenye kipato,vinginevyo huyu mwamba ni mpiga debe tu ndio maana kila ambae anaonekana kutishia uhai wake wa ubunge ni lazima anagombana nae mfano mchungaji Davie
 
Kongolee Lema endelea kupiga kwenye mishono, Serikali imeshindwa kutengeneza ajira za maana.
Nawashangaa wanaombeza Lema wakati anawasaidia kuwasemea.
 
Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.

From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.

Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.

That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?

Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?

Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.

Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.
Ngoja mkuu Erythrocyte aje alete mrejesho mujarabu
 
Godbless Lema ni mwanasiasa contraversial na anaependwa sana Jijini Arusha. Kinachompa umaarufu sasa ni kurejea nchini kutoka Canada, ni kama vile bado ana kimuhe muhe cha kutaka kuelezea alichokiona Canada kulinganisha na nyumbani Tanzania.

Ameanza kwa kukosoa kazi za boda boda, vikundi vya Vicoba, na mengine. Swali la kujiuliza ni kwamba, yeye mwenyewe anafanya biashara gani inayomlipa?

Hawa vijana wataenda wapi? Ndio sio sawa ila lazima wapate makazi, chakula na kulea watoto wao vizuri. Je, tuna lolote la kujifunza kutoka kwa Godbless?

What businessess are you in Sir?
Huyo dishi lilisha cheza, hamumuelewi tu namna anavyoongea? Ni kama kuna ka waya fulani ka moto kichwani kwake kamekatika, biashara aitoe wapi zaidi ya maneno tu
 
Bora ununue mitumba kuliko nguo za Vunja bei.
Wakuu huyu bwana anayeongea kama amekatwa kichwa Arusha imejaa wauza mitumba kila kona toka ubunge wako mpaka sasa lakini haukusema ni kazi ya laana wala kuonyesha juhudi za kuwasaidia vijana wa Arusha
 
Lema anaweza kuwa na hoja, tatizo ni uwasilishaji wa hoja zake, anavyoongea namuona kama mtu anayejifikiria mwenyewe, anatakiwa aseme sasa badala ya kusajili line wafanye kazi gani nyingine ili wajikimu kimaisha.
Yeye alipokuwa mdogo alikuwa mwizi wa magari
Leo kachagua tena kuwa mkimbizi na kwenda kupokea hela ya kujikimu ambayo hawezi kuwavisha nguo watoto wote kwa mara moja zaidi ya mlo tu

Maisha ya ukimbizi nayajua sana aache ujinga kwani hata yeye watoto wake wanakula child support [emoji1063]
 
Hata canada line zinasajiliwa, na lazima watu wa kuzisajili wawepo.......bodaboda na bajaji ni mbadala wa taxi zinazotumika hata nchini canada.
 
Namsikiliza Mbunge wa zamani Nndg Lema Jembe FM, anahojiwa alipokeaje suala la yeye kufutiwa kesi zake.

Lema anadai moja ya vitu anavyompongeza Mama ni pamoja na yeye kufutiwa mashtaka pia mikutano ya kisiasa...
Hana akili taahira huyo
 
Wakuu poleni na pilikapilika za Mapokezi, hakika leo historia imeandikwa, sasa kwa vile mambo ni mengi na muda ni mchache naomba niingie moja kwa moja kwenye mada.

Baada ya Mapokezi mazito ya Nabii wa Mungu Godbless Lema, Jioni hii tena kuna Mkutano kabambe wa hadhara unaofanyika viwanja vya relini Jijini humo.

Tayari viwanja hivyo vimenona, Wananchi kwa maelfu wamejitokeza.

Hali ndio kama mnavyoiona.

View attachment 2533853View attachment 2533854

Kwa vile leo wazungumzaji ni wengi, akiwemo Baba Askofu Mwamakula basi tutaweka, vipande vya hotuba vya kila msemaji kwa ufupi ufupi.

Kama kawaida Mtumishi wenu Erythrocyte nitawaletea yote kwa uaminifu mkubwa.

Usiondoke JF

==========
UPDATES

Sugu amemuomba Gambo ajenge nyumba mapema ili asije akarudi kwenye ghetto la ukoo Ilala.
 
Mdogo wangu aliajiliwa makampuni ya solar akawa anazurula kutwa nzima mwisho wa mwezi anapewa elf 30 nikamwambia acha hio kazi au nikufukuze kwangu aka anza kufuga kuku sasa hivi yupo vizuri ana duka la mtaani mwanga anauona
Ulimfungua akili
 
Mpe mwanao bodaboda Kama ni kazi nzuri u can never appreciate suffering of others if ur smart upstairs period , Lema is hating fucking life made by Ccm regime

Hao waliochukua Boba boda hawana mtu wa kumlaumu, wakati Baba yangu anatembea kwa miguu na kuongea mwenyewe akihakikisha ninasoma, kuna marafiki zangu alikuwa wazazi wao wana magari wanaendesha hawakuthamini shule.

Wakati Elimu yangu imenipa ajira, wao Baba zao walishazeeka, na wengine wamekufa kwa presha baada ya hao watoto wao kutosoma na kulazimisha kupata chochote kwa mali zao.

Kwa sasa hawana kitu, boda boda inawapa chakula, hiyo boda boda haikuwa laana, labda Baba yao hakuwa makini, na hawana namna zaidi ya hiyo boda boda.

Kuwa boda boda ni uchaguzi, ungeweza kufungua butcher, au kufanya kilimo au kuuza genge, hamuwezi laumu serikali wewe na mjinga mwenzio Lema because of your choices.
 
Hili SAKATA lina scenarios kubwa TATU.

1. Lema ni mpumbavu.

2. CCM ni SHETANI

3. Boda boda, Mama Lishe, wanaobeti nk ni WAPUMBAVU sana.

MTAZAMO.

- Lema ni mpumbavu kutokana na hulka fulani ya kujiona yeye ni GENIUS na MJANJA kinoma, 😂 kwa kufanya biashara kubwa nyiingi na za mapesa mengi.

Yaani Lema ni limbukeni uchwara, faker na mangi mwenye hulka fulani ya kujiona, mangi ni mangi mtu wa pesa. Anajiona mjanja wa Crypto currency, forex trading Mara madini lakini kiuhalisia SIASA ndio Ajira yake.

- CCM ni MAPUMBAVU Kwasababu yenyewe kazi yao ni KUTAFUNA tu KEKI YA TAIFA na hayapendi kabisa Usumbufu Wala KUJIUMIZA AKILI kutafuta SULUHU ya MATATIZO.

Yanachotaka ni KULA bila kelele na kurithisha MITOTO YAO ULAJI BILA KELELE.

Kwasababu hiyo, hayajishughulishi kutafuta solutions. Mwaka Jana kulikuwa na MKALI SANA WA UMEME, HAKUNA chochote yalifanya, ni KUSUBIRIA MVUA INYESHE TU.

Hata Sasa Kama mwakani kutakuwa na ukame, HALI ni hiyo hiyo.

Sasa suala la Ajira haliwezekani, Cha kufanya MACCM yamejiongeza kujifanya Kazi ni kazi I'll kelele za Ajira zisiwepo.

Boda boda, Mama Lishe na wao wamehalalishiwa kazi yao, hivyo hawana Cha kudai maana Wana kazi tayari.

Ingawa kiuhalisia hizo kazi watu huwa wanafanya AS A STEPPING STONE ili kunusuru NJAA na dream Jobs
Hapo kwa Boda Boda na mama lishe naomba uzingatie Speed governor.
Katika hilo kundi kuna literate na illiterates.

The forementioned wana extra options sababu wako na academic certificates ambazo ni kama silaha kwa nchi yetu hii wanaajirika when neccessary.

The later wao hawana option zaidi ya kugaragara kwenye uchuuzi tu na boda boda. Watabadilisha kazi ila ni humo humo labda wahamie kwenye kuchoma kuku barabarani.

I Agree with you kuwa Lema ni duanzi na serikali lazma ifanye majukumu yake.
 
Back
Top Bottom