melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Tanguliza Mungu kuwa umeoteshwa, watanzania watabadilika! Kama wanawaamini wahuni kuwa ni manabii/watume wa Mungu why not him! Watu wanaamni kukanyaga mafuta kutawaletea neema hao waambie lolote husisha na mungu watakufuata
Acha upumbavu wa kutumia neno Watanzania, hivi wewe mjinga unajua kuwa mdomo unaumba? Sema ‘kuna watanzania wengine’
Lakini usituweke sisi wengine kwenye malaana yako[emoji35]
Idiot!