Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuko LiveKama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga Nuswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha...
MnooooTunawafuatilia kwa karibu
Karibu sanaTunawafuatilia kwa karibu
vuta subra aedit kwanza,tehe,,,tehe😁Picha iko wapi
vuta subra aedit kwanza,tehe,,,tehe
Wewe ni toto la Arusha kumbe?Leo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Kwahiyo hizi taarifa za mleta mada sio za uhakika kumbe?Leo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Intelijensia ilinde mipaka yetu imekua porous na cartels zote zina operates ndani ya nchi under tiss, hivi ile meli iliyokamatwa kilwa na drugs nyingi sana,case yake iliishia wapi?Mnafuatiliwa kwa karibu. Intelijensia ipo kazini
Naam.Wewe ni toto la Arusha kumbe?
Wanasiasa sio wa kuamini sana.Kwahiyo hizi taarifa za mleta mada sio za uhakika kumbe?
😎