Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu achaga uongo haukusaidii na ndiyo maana kuna wanazi wa siasa huwa wanawasaidia kuweka ukweli mnawakasirikia.
Unaposema "
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika" mbona hatuoni kitu cha kututhibishia hilo au huna smartphone?.

Wakirusha drone kuwananga na uongo wako unavimba kuwa hujuma huku wewe mwenyewe unaandika hujuma kwa raia how?.
Watu wengi ni kuanzia Wawili bwashee 😂😂😂
 
Wapuuzi wanafuji pesa za uma, rasimali zetu zinatumiwa hovyo, tuna madini, mito, maziwa, milima mirefu, bahari, mbuga za wanyama, gesi n.k lakini havitusaidii chochote wachache ndio vinawanufaisha lkn tunakomaa na sukari eti ndio ajenda... Wanasiasa ni watu wa ovyo sanaa.. Siku hizi mangi mwenye kibanda chake mtaani akiuza mauzo kwa siku eg 100k hapo faida haambulii hata elfu 10 sababu ya bidhaa bei zimepanda kwa makodi rukuki kutoboa inakuwa mbinde unakuta unazungusha ringi miaka inaenda unaambulia hela ya kula tu
 
Dawa za meno ndogo tunauziwa 5500 kutoka elfu 3 bei ya zamani yani unalazimika uuze rejareja mia 6 kwa pisi uambulie buku tu, katoni ndogo za juisi tunauziwa elfu5 rejareja uuze jero uambulie buku hapo hujapoza, usafiri, kodi ya pango n.k hapo utatoboa lini mwananchi mwenye mtaji mdogo?. Pesa imebaki kwa wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa mafisadi sisi wacha tuendelee kuganga njaa
 
Zamani bando la data unlimited ulikuwa unalipata hata kwa buku sasa hvi voda gb1 ni elfu 3. Tukiwauliza viongozi wetu wanatujibu majibu ya kejeri ya kisiasa
 
Umeme tunakatwa 1500 kila mwezi eti kodi ya pango kuna ulazima gani wa kukatwa pesa hzo ili hali nchi yetu inautajiri wa rasilimali nyingi kwanin wasichukue kodi huko?
 
Sukari ni mfano tu......kuna shida nyingo mno.
mkuu mimi nimeanza mapambano ya kujitafutia enzi za jk mwishon mwa utawala wake naiona tofauti kubwa sana. Yani kujenga kibanda chako cha mbavu zako kwa sasa ni mbinde wamekaba kila kona hata kile kidogo unachokipata wanakitaka
 
Dawa za meno ndogo tunauziwa 5500 kutoka elfu 3 bei ya zamani yani unalazimika uuze rejareja mia 6 kwa pisi uambulie buku tu, katoni ndogo za juisi tunauziwa elfu5 rejareja uuze jero uambulie buku hapo hujapoza, usafiri, kodi ya pango n.k hapo utatoboa lini mwananchi mwenye mtaji mdogo?. Pesa imebaki kwa wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa mafisadi sisi wacha tuendelee kuganga njaa
Wenyewe wako bize kusifiana tu kwa kuwa wanakula Kodi zetu
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri

Usiondoke JF
TUPINGE UFUKARA NA HALI NGUMU KWA KUJITEMBEZA MABARABARANI BILA KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA,
N. B, - YAANI WATANZANIA WAACHE KUFANYA KAZI WADANGE MABARABARANI, TUMEWAELEWA CHADEMA,
MACHALII ZANGU WA AR NI WAJANJA SANA SIAMANI KAMA LEO WATASWAGWA CHA UMBE / KAMA NGOMBE, SALUTE CHALII ZANGU, MAMBO YA KIJINGA HAYA, WAGAWANE MAPOSHO KUSWAGWA MSWAGWE MACHALII ZANGU.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wenyewe wako bize kusifiana tu kwa kuwa wanakula Kodi zetu
wamekabidhi rasilamili zetu kwa wageni wamesainishana mikataba ya kifisadi wanagawana pasent wew utaendelea kuhubiriwa nchi hii inatajiri wa mali lkn wanufaikaji ni viongozi wachache...
 
TUPINGE UFUKARA NA HALI NGUMU KWA KUJITEMBEZA MABARABARANI BILA KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA,
N. B, - YAANI WATANZANIA WAACHE KUFANYA KAZI WADANGE MABARABARANI, TUMEWAELEWA CHADEMA,
MACHALII ZANGU WA AR NI WAJANJA SANA SIAMANI KAMA LEO WATASWAGWA CHA UMBE / KAMA NGOMBE, SALUTE CHALII ZANGU, MAMBO YA KIJINGA HAYA, WAGAWANE MAPOSHO KUSWAGWA MSWAGWE MACHALII ZANGU.
Unateseka ukiwa wapi??Wasalimie majini wenzeo hapo Lumumba
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri

Usiondoke JF
Jambo hili mnalolifanya CHADEMA ni upako wa kuikomboa nchi kutoka kwenye lindi la unyonge, kukandamizwa na kukosa utawala bora.

Hadithi yenu itaandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye historia ya Tanzania
 
Hapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..

Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa

Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
Nipo duka bovu KAMANDA tunakinukisha
 
Jambo hili mnalolifanya CHADEMA ni upako wa kuikomboa nchi kutoka kwenye lindi la unyonge, kukandamizwa na kukosa utawala bora.

Hadithi yenu itaandikwa kwa wino wa dhahabu kwenye historia ya Tanzania
Acha kuwajaza ujinga!, hayo yote yanatatuliwa kwa kufanya kazi kwa bidii, unlikewise "wanadanga"
 
Leo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Naambiwa watu wako kibao, Nina ndugu yangu huko Arusha maeneo ya mbauda, anasema ni wengi mno asubuhi hii, kabla hawajaanza kuondoka kituo Cha kuanzia. Ukweli ni kuwa cdm imeshakuwa na watu, na hakuna uwezo wa kuwapunguza tena.
 
Back
Top Bottom