Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Ndio maana mjanjaNaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana mjanjaNaam.
Mbona hujatupia picha ndugu? Tupia picha kadhaa chap chap kuwatia moyo na wengine.Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri
Usiondoke JF
KapichaHapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..
Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa
Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
Mamiloo Nifah hapa Ngareroo masalam uyapokeeLeo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Tangu maandamano yaanze nini kimebadilikaKama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri
Usiondoke JF
Ingia TibisiiBila picha ni uzushi
Arusha hatoki fala. Si unawaona wazee wetu Sokoine na Lowassa?Ndio maana mjanja
Tangu nifahamu id hii ya mchizi, lro ndio umeandika post ya kistaarabu sanaMbona hujatupia picha ndugu? Tupia picha kadhaa chap chap kuwatia moyo na wengine.
Yechu yechu.Mamiloo Nifah hapa Ngareroo masalam uyapokee
Ndugu achaga uongo haukusaidii na ndiyo maana kuna wanazi wa siasa huwa wanawasaidia kuweka ukweli mnawakasirikia.Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri
Usiondoke JF
Mapambano daimaHapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..
Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa
Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
Unateseka ?Ndugu achaga uongo haukusaidii na ndiyo maana kuna wanazi wa siasa huwa wanawasaidia kuwekwa ukweli mnawakasirikia.
Unaposema "Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika" mbona hatuoni kitu cha kututhibishia hilo au huna smartphone?.
Wakirusha drone kuwananga na uongo wako unavimba kuwa hujuma huku wewe mwenyewe unaandika hujuma kwa raia how?.
HakikaCCM waendelee kuzika watu wao waliowatoa kafara sisi tuandamane kupinga dhuluma
Acha mbambamba weka picha kuunganisha dot kwamba, "Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika"Unateseka ?
HahahahaHaiyayaa chademaa....haiyayaa chademaa chademaa unajikuta sarafina 😃😃😃😃wa SA.
Pipooooz......
Kweli ni wanaumeArusha hatoki fala. Si unawaona wazee wetu Sokoine na Lowassa?