Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri

Usiondoke JF
Mbona hujatupia picha ndugu? Tupia picha kadhaa chap chap kuwatia moyo na wengine.
 
Hapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..

Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa

Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
Kapicha
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri

Usiondoke JF
Tangu maandamano yaanze nini kimebadilika
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri

Usiondoke JF
Ndugu achaga uongo haukusaidii na ndiyo maana kuna wanazi wa siasa huwa wanawasaidia kuweka ukweli mnawakasirikia.
Unaposema "
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika" mbona hatuoni kitu cha kututhibishia hilo au huna smartphone?.

Wakirusha drone kuwananga na uongo wako unavimba kuwa hujuma huku wewe mwenyewe unaandika hujuma kwa raia how?.
 
Hapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..

Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa

Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
Mapambano daima
 
Ndugu achaga uongo haukusaidii na ndiyo maana kuna wanazi wa siasa huwa wanawasaidia kuwekwa ukweli mnawakasirikia.
Unaposema "
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika" mbona hatuoni kitu cha kututhibishia hilo au huna smartphone?.

Wakirusha drone kuwananga na uongo wako unavimba kuwa hujuma huku wewe mwenyewe unaandika hujuma kwa raia how?.
Unateseka ?
 
Back
Top Bottom