Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Unalishwa na shemeji ndo maana uko mbogamboga fcAcha kuwajaza ujinga!, hayo yote yanatatuliwa kwa kufanya kazi kwa bidii, unlikewise "wanadanga"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalishwa na shemeji ndo maana uko mbogamboga fcAcha kuwajaza ujinga!, hayo yote yanatatuliwa kwa kufanya kazi kwa bidii, unlikewise "wanadanga"
😂😂😂Naambiwa watu wako kibao, Nina ndugu yangu huko Arusha maeneo ya mbauda, anasema ni wengi mno asubuhi hii, kabla hawajaanza kuondoka kituo Cha kuanzia. Ukweli ni kuwa cdm imeshakuwa na watu, na hakuna uwezo wa kuwapunguza tena.
HahahahahaLeo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Mbona mi mstaarabu kinyama? Mi always ni mtu nisiye na makuu nisiyetaka ugomvi na mtu.Tangu nifahamu id hii ya mchizi, lro ndio umeandika post ya kistaarabu sana
acha upotoshaji, 🐒Kama ilivyoelezwa tangu awali , Hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha , Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha .
Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika .
Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri
Usiondoke JF
Jasusi atakujulisha kutalikiana sio kunyimana taarifa.Leo maandamano yako nyumbani, ngoja nipige simu huko nipate taarifa za uhakika za kinachojiri.
Hapa Tanapa ni manyimbo ya Ukombozi nyomi inatiririka kama siafu watu wa DukaMbovu tupo hapa Mzuka mzuka...
Tuache utani hili chama limo mioyoni mwa watu..
Kuna watu wamepora msiba ila kokoro la mafuriko linakwenda kusomba wote na kutapika kwenye viwanja vya relini ...mzuka ni mkubwa sana hapa...nalile goma la Chadema Chadema pipzpowa
Jombaa hainambishi babalakee maharakati chaliiakee kwa Madiba na maminyororo
wacha Wenge mpira ndio kwanza umeanzaLeta picha msije mkabeba watu toka Manyara uko
Huwezi kuona kilichobadilika kwa sababu unakula na kulala kwa shemejiTangu maandamano yaanze nini kimebadilika
Polepole ndio mwendo hata mbuyu ulianza kama mchicha. ! 🙏Tangu maandamano yaanze nini kimebadilika
Mimi ni dereva, niandikapo nipo kasumbaresa nasukuma mchuma, kulia lia ni mambo ya kike mkuu, karibu kwenye malori ule kwa jasho mkuu.Unalishwa na shemeji ndo maana uko mbogamboga fc
Usiondoke JF😂😂😂
Watu wengi bila picha
Katima Mulilo....Mimi ni dereva, niandikapo nipo kasumbaresa nasukuma mchuma, kulia lia ni mambo ya kike mkuu, karibu kwenye malori ule kwa jasho mkuu.
Relax mkuu,maandamano haya wewe hayakuhusu sasa unakerwa na nini?endelea kula mayai ya shemeji yako, ILA tambua huku Nyalamatata watoto wanalimia meno kwenye Tanzania yetu hiiAcha mbambamba weka picha kuunganisha dot kwamba, "Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika"
Ha ha ha, niende huko kaprivi nikafanye nini mkuu 😁Katima Mulilo....
Upumbavu huu,maadam wewe shemeji yako kakuunganisha na fursa sasa unategemea kila mmoja ana fursa hiyo, ufanye kazi kwa juhudi yes hizo kazi zipo wapi?,mazingira gani mtoto wa hapa Lwegu, Unango,Kamachumu kaandaliwa ili awe ku fly mwenyewe?,eti nipo Kasumbalesa border, acha story za vijiweni, wanaovuta semi trailer Dar to Kasumbalesa border ni mashujaa, wewe ukiwa ndani ya barabara za zambia ndio utaelewa madereva wa kitanzania wana roho za ukakamavu na ujasiri, kinachowakwamisha ni lugha tu ya malkia, kinyume cha hapo hii SADC ingetawaliwa na wabongo, kwa sasa wazimbabwe ndio top dog ,reason ni queen's language ILA sio ukakamavu au ujasiriTUPINGE UFUKARA NA HALI NGUMU KWA KUJITEMBEZA MABARABARANI BILA KUFANYA KAZI KWA JUHUDI NA MAARIFA,
N. B, - YAANI WATANZANIA WAACHE KUFANYA KAZI WADANGE MABARABARANI, TUMEWAELEWA CHADEMA,
MACHALII ZANGU WA AR NI WAJANJA SANA SIAMANI KAMA LEO WATASWAGWA CHA UMBE / KAMA NGOMBE, SALUTE CHALII ZANGU, MAMBO YA KIJINGA HAYA, WAGAWANE MAPOSHO KUSWAGWA MSWAGWE MACHALII ZANGU.
Sawa!.Bei ya Sukari haikuhusu?
Unaishi kwa Shemeji?