Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #341
LimepokelewaErythrocyte liwekeni kwenye agenda ya mikutano tuwazoe wazee wote na prospective wastaafu kuwa KIKOKOTOO kinaua wastaafu na kuwadhulumu haki zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LimepokelewaErythrocyte liwekeni kwenye agenda ya mikutano tuwazoe wazee wote na prospective wastaafu kuwa KIKOKOTOO kinaua wastaafu na kuwadhulumu haki zao
Mkuu Mama yako kuwa katibu kata haimaanishi kwamba ccm ni yenuIko wapi pumzi za mwisho kwa roho kuacha mwili kupaparika ni lazima!
Zile huwa zinapigwa na Machawa ya Tulia Ackson kwa lengo la kuonyesha kuwa zile fedha wanazogawa ili watu wasihudhurie kwenye Maandamo kwa hiyo huwa wanapiga mwanzo wa Maandamano.Nasubiria zile picha za juu [emoji3][emoji3]. Hongereni Arusha
Waahidini na ndivyo ukweli ulivyo kuwa kikokotoo hiki tutakifuta (na kulipa arrears) angalau kirudie cha zamani.Limepokelewa
Ivo yaan✌️✌️✌️✌️
Huu MTITI wa jana kuna chawa kafukuzwa kazi Arusha.....
Ohoooooooo !!!Huu MTITI wa jana kuna chawa kafukuzwa kazi Arusha.....