Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala

Ungewahi hospitali. Siyo kinachokujia akilini lazima ukilete JF. JF ipo kwaajili ya mijadala yenye mantiki.

Ulichofanya ni kuropoka!! Hujatoa sababu, wala uthibitisho, au hata msingi wa hayo mawazo yako.
 
Wivu unaruhusiwa kwenye siasa. Maumivu yako yanafahamika kwa ukweli uliouona Leo. Hivyo maneno ya kujifariji ruksa.

Inaonekana hayo maandamano ya huko Arusha yamemletea uwendawazimu mleta mada? Maana alichoandika ni upuuzi usio na hoja yoyote ndani yake.
 
Unateseka ukiwa wapi mlizani maandamano hayatafanikiwa pamoja na hujuma zenu mmefeli vibaya kidampa mkuu pale Lumumba Lucas mwashambwa Leo hata nyuzi Moja hajapandisha jukwaani
Nasikia Lucas amefungwa papmasi maana hawezi kwenda chooni hajiwezi
 
Dr. Mwigulu amelieleza suala hili vizuri kweli leo hii 27/2/2024.
Tafuteni hotuba yake mtafahamu mengi sana.
Hili nalo kalieleza nani ?

Screenshot_2024-02-27-23-42-53-1.png
 
"Maandamano ya kupinga dhiki"

Hii kauli inaweza kuwa ngumu sana kueleweka kwa wale ambao wameshakubali umaskini wao ni mipango ya Mungu, hao lazima wawaone Chadema wasanii.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tatizo la nchi hii ni ujinga!
Kuna mama alienda sokoni kwenye manunuzi yake akawa analalamika bei zipo... Anaorodhesha changamoto kibao: Sukari... Nyama... Maji... Umeme...
Kwenye usafiri nako analalamika nauli zipo juu sana!
Nikamuuliza ushiriki maandamano akasema haweZi kamwe kuipinga serikali. Yote yeye anamuachia mungu.
 
Kama ilivyoelezwa tangu awali, hatimaye ile Neema ya Maandamano ya Kupinga Ugumu wa Maisha, Dhiki na Ufukara ikiwa ni pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi Imeingia Jijini Arusha.

Watu ni wengi kwelikweli na karibu vituo vyote vya kuanzia maandamano hayo vimefurika.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hapa kukulete kila kinachojiri.

Usiondoke JF.

Lissu kazini

[CENTE polisi kazi yako ni kulinda raia
 
Maandamano yamekwisha, siku imeenda, viongozi chadema wapo mahotelini, wakipata 2,3 kwa fedha za ruzuku raha mustarehe, enyi nyumbu baada ya maandamano mu hali gani?
Unataka walale na kula wapi, au wamebeba vyakula na nyumba zao huko Arusha? Viongozi wa ccm wakifanya safari huko mikoani huwa wanaenda kulala na kula kwenye nyumba za wanachama? Au wanachama wa ccm wote huwa wanakusanyika huko mahotelini na kula nao? Mmepanic mpaka mmebaki kuongea utoto.
 
Unataka walale na kula wapi, au wamebeba vyakula na nyumba zao huko Arusha? Viongozi wa ccm wakifanya safari huko mikoani huwa wanaenda kulala na kula kwenye nyumba za wanachama? Au wanachama wa ccm wote huwa wanakusanyika huko mahotelini na kula nao? Mmepanic mpaka mmebaki kuongea utoto.
Kwenye article yako, ondoa neno "mmepanic" we don't feel anything else, tunaona mnajitesa kwa jambo ambalo ni empty /zero.
 
Hii sampling ni Lucas style,naona umechora na cartoon za akili mbofu mbofu kwenye waslisho lako.Chadema mambo yamenyoooka hadi mtaseeeemaaa[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Sisi ndiyo madicteta tunao amini kwenye udicteta wa kizalendo wahuni mnatuita sukuma gang
 
Yeye alisema kaibiwa so kauli yake ni nzito kuliko yako 🐼

Kwani akisema ameibiwa ndiyo inakuwa kweli? Kama ni kweli mbona kashindwa kuthibitisha popote kuwa aliibiwa .... badala yake ni yeye ndiye alikuwa wa kwanza kumpigia Secretary of State wa Georgia amchakachulie kura 11000.
 
Back
Top Bottom