Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaandika ukabila kabila lipi? Huo ukabila unaimpact gani hapo arusha? Na ni kabila lipi maana arusha kuna makabila mengiGambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Wivu unaruhusiwa kwenye siasa. Maumivu yako yanafahamika kwa ukweli uliouona Leo. Hivyo maneno ya kujifariji ruksa.Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Weee utakuwa unawaza kwa kutumia kitako, kwahiyo wale wote walioandamana ni kabila gn???Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Nyie jamaa mna mbinu elfu kidogo! Haya wamekusikia weka contacts wakutafute wenye interests zao za uchafu!Chadema ni mbumbumbu na malofa
Uwezi kuwa Chadema usiwe bwabwa
Mtajuana wenyewe huko huko,wale wanaofaidika wakaze ila binafsi hakuna mwanasiasa anaweza nivuta niache kazi zangu nimfuate labda kama nitakuwa sehemu ya wanamufaika ila sio wale wa kuambuwa kunja ngumi sijui andamana ,that nonsense siko.Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Huyo na shangaa kwanini hawapi ushauri ulio bora wa kuachana na uchafuzi na na kufanya yaliyo halisi😎Nyie jamaa mna mbinu elfu kidogo! Haya wamekusikia weka contacts wakutafute wenye interests zao za uchafu!
Arusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Mnapiga mayowe tulieni myooshwe .....hata huko uswekeni wameanza KuamkaArusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.
Wana miaka Mingi Sasa Toka wawe Wapinzani uliza Cha maana walichopata
Bwashee, hongera kwa kuokoka.Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Maandamano yamekwisha, siku imeenda, viongozi chadema wapo mahotelini, wakipata 2,3 kwa fedha za ruzuku raha mustarehe, enyi nyumbu baada ya maandamano mu hali gani?
Ukiwa ccm unashikiwa akili endelea kuumia hivyohivyo.....huko kote walipopita ni kabila lao pia...Bora ukose Mali upate akili..Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Wahi posho yako kwa bashiteGambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Wanaamka kwenda wapi? Kwa mfano nyie wa mjini mumeamka kwenda wapi?Mnapiga mayowe tulieni myooshwe .....hata huko uswekeni wameanza Kuamka
Kuna kipi wapinzani wanakosa nchi hii Hadi useme hivyo? Mbona nchi yetu Bado ni masikini, au huko kusiko na upinzani ndio Kuna maendeleo sana mfano Tanga na Mtwara?Arusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.
Wana miaka Mingi Sasa Toka wawe Wapinzani uliza Cha maana walichopata
Kwan gambo katishika 🐒Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Unateseka ukiwa wapi mlizani maandamano hayatafanikiwa pamoja na hujuma zenu mmefeli vibaya kidampa mkuu pale Lumumba Lucas mwashambwa Leo hata nyuzi Moja hajapandisha jukwaaniGambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala