Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.

Hisia zako mwenyewe ndiyo imefikia hapo🤣🤣
 
Hiii ni Edinburgh org

UN northern Kongo ....upo chalii aliyepanga hiyo ziara ndo ajipime.....mafuriko Kia ndo yamezidi...hata yeye bila kujuwa kajikuta katika mapokezi ya Nabiii Chadema ni upendo...tunamkaribisha sana katika mapokezi
Hangaya apewe mic
 
FB_IMG_1677667883311.jpg
 
Unaweza ukawapa taarifa Hao JF waweke uzi wao ili uchangie kule , niko tayari huu wangu uungwe kule ili wewe uridhike , usichokijua ni kwamba hizi nyuzi tunaziweka humu jf kwa lengo la kuleta taarifa tu , hatutafuti sifa au utukufu wowote ule , huwezi kuwa maarufu kwa ID fake .

Mimi huleta habari za Chadema ili kusaidia chama changu tu , sitafuti chochote , sasa ukiona uzi nimeweka mimi huna haja ya kuumia , silipwi hela yoyote , wewe achana nao upuuze , mbona nyuzi za ccm humu za Chongolo na kinana zimo nyingi tu , changia hizo mkuu , hata wewe unaweza kuanzisha uzi kuhusu Samia kwenda Arusha , usikerwe na mimi , ukiangalia profile yangu sijafollow yeyote yule , najiwakilisha tu , ingekuwa JF INAWALIPA WAANZISHA NYUZI UNGEKUWA NA HAKI YA KUUMIA , lakini hatulipwi mkuu wangu , usije ukaniloga bure .

Nasikitika sana kukuandikia haya , huwa sipendi malumbano hasa ya kijinga , napenda kujikita kwenye hoja tu .

Kingine unaweza kuniweka kwenye Ignore list ili huu upuuzi wangu ninaouandika humu jf usiuone , ukishindwa waombe moderators wakusaidie kuni ignore .
Leo manka umechefukwa?
 
Sijaona kwasababu hao ni wananchi wa kawaida waliokua wanampenda Magufuli, hii video ni ya msiba wa Magufuli

Thank you!
Leo tume tumegundua uwongo wao walahi!
Chadema hamna kitu aisee[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Back
Top Bottom