Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Kamanda wetu: Erythocyte usitishike na hao wapuuzi, tunakushukuru sana kwa taarifa unazotuwakilishia pambana kamanda wengine jf ndiyo tegemeo letu, ninapoona taarifa zako huwa nafarijika sana.ENDELEZA HONGERA, PAMOJA SANA.
 
Inasikitisha kuona akili za watu wengi Bado haziko huru pamoja na kutangaziwa uhuru bandia.Hatimaye wameharibu mapokezi Kijanja wakaona haitoshi wamekuja kuharibu Uzi kijanja
 
Kamanda wetu: Erythocyte usitishike na hao wapuuzi, tunakushukuru sana kwa taarifa unazotuwakilishia pambana kamanda wengine jf ndiyo tegemeo letu, ninapoona taarifa zako huwa nafarijika sana.ENDELEZA HONGERA, PAMOJA SANA.
Amen
 
Inasikitisha kuona akili za watu wengi Bado haziko huru pamoja na kutangaziwa uhuru bandia.Hatimaye wameharibu mapokezi Kijanja wakaona haitoshi wamekuja kuharibu Uzi kijanja
Uzi wa kijinga huu umeandikwa na mjinga. Lema ni mmoja wa wajinga
 
Ziara ya Rais Samia ni ya ghafla Arusha au ilikuwa kwenye ratiba zake?, kama Polisi walijua Rais Samia anakuwa Arusha leo kwanini wasishauliane na CDM na Lema achague siku nyingine? maana kwa kinachoendelea kuna hatari ya vurugu kutokea na lawama kuanza..
 
Nafahamu mmeunda vikundi kunichafua , sababu ni ile ziara kabambe ya Kanda ya Nyasa , lakini waulizeni wanaowatuma , ukitaka kunifahamu zaidi mtafute Mwakyembe akusimulie , dagaa kama nyinyi hamniwezi hata kwa kuloga , Wajinga sana nyie !
😂😂😂 Umefura 😆😆!!
 
Back
Top Bottom