Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Ole sabaya atajamba sana leo
 
Karibu chuga nabii Lema nitakuja ofisini unitabirie michongo yangu mkuu kwani nahaso sana man
 
Mwanaume mwenye kende zake unaacha kazi zako unaenda kumpokea mwanaume mwezako?
Na mwanaume mwenye kende zako unaacha kazi zako unapoteza muda kuandika yanayohusu wanaume wenzako?.
Kweli nyani haoni masaburi yake.
 
Nafahamu mmeunda vikundi kunichafua , sababu ni ile ziara kabambe ya Kanda ya Nyasa , lakini waulizeni wanaowatuma , ukitaka kunifahamu zaidi mtafute Mwakyembe akusimulie , dagaa kama nyinyi hamniwezi hata kwa kuloga , Wajinga sana nyie !
pole sana, tatizo unawapiga palepale kwenye mshono lazima wakutafute
 
LEMA amekuja kwa kishindo, leo ukifanyika uchaguzi Arusha anachukua jimbo saa tatu asubuhi, yaani hawa wabunge wa kupewa wakatafute mashamba Iringa kama ALI HAPPY.

#Gambo for Kilimo
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…