Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

wanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana

Mama naye kaingizana huko unannounced kaa Kwa kutulia mjomba:

Screenshot_20230301-124407.jpg
 
Alafu kijana Erythrocyte usitufanye wengine humu ni vijana wenzako.

Unaposema utatuletea live coverage, you mean kila kinachojiri basi iwe hivyo na siyo waje JF wakaweka LIVE ndipo uzi wako upate heading NO.

Unaposema wananchi wanapeperusha bendera na matawi ya miti, hebu simu yako itumike kuonyesha hao watu, usisubiri JF iweke LIVE ili uzi wako upate heading NO.

Nowadays simu ni kila kitu, hata live ya 10sec kwa eneo ulipo itakupa credit kubwa kuliko kuhadaa watu wazima hapa!.
Huyo yuko Kyela
 
Kapokelewa lisu hakuna jipya

Kupokelewa lema hakuna jipya
 
Halafu ikitokea yeyote akasaidia kuweka tukio sidhani kama ni vibaya , mimi siwezi kuwa engo zote
Mkuu tupunguze maneno sijui angle mbaya mara sijui kiongozi anapita, weka picha eneo ulilopo mambo ya kusuburi JF waweke LIVE ili uzi wako ubebwe as first informer hatutaki.
 
Nitashangaa kama Jeshi la Polisi litaacha kumkamata Lema maana hajafutiwa kesi yeye kama Mbowe na Lissu. Tuheshimu sheria.
 
Huyu ni Mwanachadema mwenzetu huwa nyuzi zake sizielewagi zinakuwaga shalo sana
 
Mkuu tupunguze maneno sijui angle mbaya mara sijui kiongozi anapita, weka picha eneo ulilopo mambo ya kusuburi JF waweke LIVE ili uzi wako ubebwe as first informer hatutaki.
Unaweza ukawapa taarifa Hao JF waweke uzi wao ili uchangie kule , niko tayari huu wangu uungwe kule ili wewe uridhike , usichokijua ni kwamba hizi nyuzi tunaziweka humu jf kwa lengo la kuleta taarifa tu , hatutafuti sifa au utukufu wowote ule , huwezi kuwa maarufu kwa ID fake .

Mimi huleta habari za Chadema ili kusaidia chama changu tu , sitafuti chochote , sasa ukiona uzi nimeweka mimi huna haja ya kuumia , silipwi hela yoyote , wewe achana nao upuuze , mbona nyuzi za ccm humu za Chongolo na kinana zimo nyingi tu , changia hizo mkuu , hata wewe unaweza kuanzisha uzi kuhusu Samia kwenda Arusha , usikerwe na mimi , ukiangalia profile yangu sijafollow yeyote yule , najiwakilisha tu , ingekuwa JF INAWALIPA WAANZISHA NYUZI UNGEKUWA NA HAKI YA KUUMIA , lakini hatulipwi mkuu wangu , usije ukaniloga bure .

Nasikitika sana kukuandikia haya , huwa sipendi malumbano hasa ya kijinga , napenda kujikita kwenye hoja tu .

Kingine unaweza kuniweka kwenye Ignore list ili huu upuuzi wangu ninaouandika humu jf usiuone , ukishindwa waombe moderators wakusaidie kuni ignore .
 
Back
Top Bottom