Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Atashiriki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Atashiriki.
wanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana
Kaja kumpokea Lema....
Kaja kumpokea Lema....
wananchi wa kawaida waliokuwa wanampenda Magufuli! Wanaccm siyo wananchi wa kawaida na walikuwa hawampendi Magufuli! Jipange upya.Sijaona kwasababu hao ni wananchi wa kawaida waliokua wanampenda Magufuli, hii video ni ya msiba wa Magufuli
Hangaya kishaenda zakeHii ya barabara kufungwa inaweza kuwa na maana yake. Wahuni si watu wazuri.
Tulieni dawa iwaingie!Lema angepewa uenyekiti wa Chama tu, Mbowe hana ushawishi na watu wengi ni kama vile hawamuamini tena
Kumuona kwa mbali pia ni kushiriki, wanachi wengi waliopa mjini Arusha watamuona kwa mbali, huo ndio ushiriki wao.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huyo yuko KyelaAlafu kijana Erythrocyte usitufanye wengine humu ni vijana wenzako.
Unaposema utatuletea live coverage, you mean kila kinachojiri basi iwe hivyo na siyo waje JF wakaweka LIVE ndipo uzi wako upate heading NO.
Unaposema wananchi wanapeperusha bendera na matawi ya miti, hebu simu yako itumike kuonyesha hao watu, usisubiri JF iweke LIVE ili uzi wako upate heading NO.
Nowadays simu ni kila kitu, hata live ya 10sec kwa eneo ulipo itakupa credit kubwa kuliko kuhadaa watu wazima hapa!.
Mkuu tupunguze maneno sijui angle mbaya mara sijui kiongozi anapita, weka picha eneo ulilopo mambo ya kusuburi JF waweke LIVE ili uzi wako ubebwe as first informer hatutaki.Halafu ikitokea yeyote akasaidia kuweka tukio sidhani kama ni vibaya , mimi siwezi kuwa engo zote
Huyu yuko Kyela hayuko KIAMkuu tupunguze maneno sijui angle mbaya mara sijui kiongozi anapita, weka picha eneo ulilopo mambo ya kusuburi JF waweke LIVE ili uzi wako ubebwe as first informer hatutaki.
Siku ukipata Kazi utaacha kupoteza muda wako.Nipo hapa uwanjani bado kidogo tuu ndege itatua🛬🛬🛬
Hao ni wale wasio na kaziMwanaume mwenye kende zake unaacha kazi zako unaenda kumpokea mwanaume mwezako?
Unaweza ukawapa taarifa Hao JF waweke uzi wao ili uchangie kule , niko tayari huu wangu uungwe kule ili wewe uridhike , usichokijua ni kwamba hizi nyuzi tunaziweka humu jf kwa lengo la kuleta taarifa tu , hatutafuti sifa au utukufu wowote ule , huwezi kuwa maarufu kwa ID fake .Mkuu tupunguze maneno sijui angle mbaya mara sijui kiongozi anapita, weka picha eneo ulilopo mambo ya kusuburi JF waweke LIVE ili uzi wako ubebwe as first informer hatutaki.
Unatakaje ?Huyu ni Mwanachadema mwenzetu huwa nyuzi zake sizielewagi zinakuwaga shalo sana
Raisi ana ratiba zake na seminar kwa watendaji wakubwa wote kesho asubuhi, aende Kumpokea mwizi wa magari?Kaja kumpokea Lema....