Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Wakuu natanguliza salamu , poleni kwa Ugumu wa Maisha unaowakabili nchini Tanzania kwa sasa , , basi baada ya pole hizo naingia moja kwa moja kwenye mada

Ile siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi wa Arusha , imekwisha wadia , Unaambiwa usiku wa deni hauchelewi , yaani ukieagama tu kumekucha !

Taarifa kutoka kwenye kamati ya Mapokezi inaonyesha kwamba ndege ya ETH 815 aliyopanda Lema ambaye pia anatambulika kama Nabii wa Mungu , kutokana na unabii wake wote kutimia , imeondoka Addis Ababa , Ethiopia saa 4:40 asubuhi hii na inatarajiwa kutua KIA saa 6:39 mchana .

Tayari njia zilizotangazwa kutumika kwa ajili ya msafara huo Mkubwa na unaotarajiwa kuvunja rekodi , zimekwisha furika Wananchi , huku wengi wakiwa wanapeperusha bendera za Chadema na matawi ya miti , kiukweli shamra shamra ni kubwa kiasi ambacho kimewafanya baadhi ya WATALII KUAHIRISHA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA , huku wakijawa na Shauku ya kutaka kumuona mtu anayesubiriwa kwa kiasi hicho .

Kama kawaida Erythrocyte atawaleta kila kinachojiri .

Usiondoke JF

==========
UPDATES :

Inasemekana Rais Samia naye ametua Arusha , ila bado haijajulikana kama naye atashiriki Mapokezi hayo au ana shughuli nyingine .
Tupo njiani kujumuika nanyi

316321282_169284219119308_6671607567144344084_n.jpg
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.

Pumzika mama ya Chadema siyo size yako
 
mtoa uzi weka hata picha Basi tuone wawakilishi wenzetu .mana wengine tuko mbali tunategemea uzi wako huu.tuone baazi ya wanachadema wenzetu wakipeperusha bendera na majani ya miti...
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.
Lisu angeshukia KIA mapokezi yake yangetisha mno
 
Mapokezi ya Lema yametoa ujumbe mzuri kwa Lissu na wengine ambao sio wa kaskazini kwamba hawathaminiki. Mapokezi ya Lissu yalikuwa ya kawaida sana kiasi kwamba hata Mbowe alisusa kwenda kumpokea. Je, Lema ana thamani kubwa kuliko Lissu? Jibu ni hapana ila kwa wamiliki wa chama Lema ana thamani kubwa kuliko mtu baki Lissu. Hili ni fundisho kwa kina Sugu, Msigwa, Heche, na wakuja wengine. CHADEMA ni kaskazini wengine wote ni viherehere vyenu na kujipendekeza.
Intelligence ya Chadema ni kubwa mno. Wameshampekua Lissu wakammaliza. Lissu hayuko na Chadema kwenye nyuma ya camera Ila mbele ya Camera ni Chadema. Siku si nyingi utakuja kusoma ujumbe huu na utaunga mkono nilichokisema hapa. Muda ni mwalimu mzuri na utasema.
 
wananchi wa kawaida waliokuwa wanampenda Magufuli! Wanaccm siyo wananchi wa kawaida na walikuwa hawampendi Magufuli! Jipange upya.
Mimi na familia yangu na marafiki zangu sio wana CCM lakini tulikua tunampenda Magufuli na japokua kura ya kwanza tulipiga Lowasa, usikariri mkuu
 
Back
Top Bottom