ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Pole mkuu,
Kwa vile unaweza kula na kunywa kila siku ili kusurvive, ni sawa tu na hivyo vidonge tofauti ni radha.
Pole sana. Mungu akubariki kwa ujumbe murua.
 
Pole sana mkuu na mshukuru Mungu
 
Mkuu ARV zimamezwa pale kinga zinaposhuka zaidi..siyo tangu ugundulike...
 
ACHENI KUPEANA MATANGO PORI.

DAMU O+ HAINA CHOCHOTE JUU YA HIV ....

YAAN UKIZENGUA, UNAPATA NGOMA KAMA KAWAIDA.


KWAUFUPI DUNIANI WATU WENYE O+ WANACHUKUA 70% YA IDADI YOTE YA WATU.
Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
 
Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Group O + , wanachangia asilimia zaidi ya 75 ya wenye Ngoma wote Duniani.


Endeleen kulishana matango pori, sawa eeeh.
 
Usimnyanyapae bwana...nenda tu
Mmmh! Mtihani huyo imepita miaka mingi sana,toka tuwe karibu,nakutanaga nae sana masika pale ana maduka yake ila nikimuona nabadilisha njia,namkwepa,kiafya wala haoneshi shida.sometimes nahisi aliponiambia kuwa mgonjwa feki naanza kuamini.ila sasa mambo ya ujana nilishavuka, nina watoto wa kuwaangalia,ngoja nipunguze risk zisizo za lazima.

Najua nikijiweka karibu tu lazima nitapita nae,halafu turudi kule kuleee..
 
Wimbo wa oliver mutukudzi ule wa Toddi kaimba vyema mbona vijana wanapata AIDS wakati condom bei chee
 
Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Si kweli huo ni uzushi wa watu kudaganyana Kuna article nilisoma hao 0+ ndo wako hatarini Sana aisee, pia mtu aweza kuwa malaya ila anaanda mtu hachubuki ng'o Sasa wewe IGA ufe
 
😀😀😀 kwamba ana maduka masika!! Anadrive harrier🤭
 
Komaaa wamesema wenyewe utaisha 2030, kwa hiyo sasa hivi unaishi kwa bwana matumaini?

Ila mkuu pamoja na elimu yote hii bado unapata moto!!?
Hivi hujamzoea huyu mleta uzi...sio kwamba yy ndo anaumwa[emoji16][emoji16]

Kaamua tu kuleta uzi afuu asikilizie comment

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii kila mtu anajidai Hana Ngwengwe na ARV hazijui. Bongo raha. Mpaka abanwe mbavu na kuharisha kwenye diapers "pampers" ndo mtu anakubali matokeo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Kwahiyo humu wote tunakana sio?

Joshua bana[emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…