Safi, kikubwa fuata muda vizuri kila siku. Ukifuata utaratibu kwenye kuzitumia huwezi kumwambukiza MTU. Sema shida IPO pale unapomega dry halafu ukaingia kwa manzi mwenye ngoma na hatumii ARV. Man virusi vipya vinazibdua hadi vile vyako ulivyokuwa umevifubaza na dawa. Gonjwa linaanza Upyaaaaaaaaa!! Bora mipango ya kando tumia zana na kwa partner wako unayemwamini ndio dry.Mim mwenyewe mwanzoni nilisumbuka sana kumeza lakini baada ya wiki mbili nikazoea saiv nazimeza na ninadunda nateleza na mabinti tu ...kina muhimu sana
Na ukimwambia akapime anatoka nduki!Nchi hii kila mtu anajidai Hana Ngwengwe na ARV hazijui. Bongo raha. Mpaka abanwe mbavu na kuharisha kwenye diapers "pampers" ndo mtu anakubali matokeo
Kwa ufahamu wangu, Carrier ni yule MTU ana HIV na kapima kabisa yupo +ve. Sema zile Virus hazimdhuru kwa chochote na hatumii ARV. Sasa hawa O+ wenyewe hawapati kabisa HIV.Ni kwamba mnakuwa carriers mnatransmit kwa wengine.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Unajaza watu hofu tu, Ukimwi ni upo hili halina mjadala. Lakini si kweli kwamba ukiupata unakuuwa. ARV zinasaidia sana. Sema shida ya hizi dawa zina masharti ya kuzinywa. Bora Chakula unaweza kujipangia muda wa kula.huu uzi umenikumbusha mbali sana..kipindi hicho nafanya Diploma pale chuo cha Ushirika kuna manzi alikuwa ananizimia kinoma...sasa shida mm nilikuwa muoga sana na mazingira ya home yalikwa yamekaa kiwaki sana..kuingia home mwisho saa kumi na mbili ..hata muda wa kuruka nae nilikuwa sina....sasa siku ambayo haina
Mzee kwani umeungua?Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Majimama yameungua pia hayana pesa (full mizinga)
[emoji28][emoji28][emoji2357][emoji2357]watakuuwa mdogo wangu..hawa majimama hawana maana...
Haaaahaaaaaa! hizo sasa hasiraUmenitisha ngoja nimpigie simu demu flani nimwambie tuachane
Weweh!Alaf ARV za skuizi ni chachu chachu sijui kama mmegundua hilo
Mmoja kati ya wahusika hao 3 amefariki mwezi uliopita.Dah mkuu mimi niliuza mechi moja hatri sana seven years passed ila kila nkikumbuka tumbo linauma
Skuwahi kuuza mechi tena tangu skuile,,
Na wala skuwahi pima.
Hahahaha..mkuu kwann uspime wwMmoja kati ya wahusika hao 3 amefariki mwezi uliopita.
Wamebaki 2
Nataka niwapime kwa lazih
Au piga nyagi sana chukua bioline jichomeMkuu nazidi kuvuta vuta nguvu sku moja haina jina ntapitiliza t ad ndani nijilipue,,
Kuish kwa waswas sio kbsa.
Hahahaha mkuu hii kitu naskia ukujigundua unayo alaf uko mwenyew ni hatr sana.Au piga nyagi sana chukua bioline jichome
Ila mkuu we kiboko miaka saba hujapima? 2013[emoji16][emoji16][emoji849]Hahahaha mkuu hii kitu naskia ukujigundua unayo alaf uko mwenyew ni hatr sana.
Bora uipandie gari ukapime ata moro apo hakujui mtu.
upewe ma hope ukikutwa nalo.
Acha t mkuu ..Ila mkuu we kiboko miaka saba hujapima? 2013[emoji16][emoji16][emoji849]
Una roho ngumu
Ukipima ndo umekwisha mkuu.Mkuu nazidi kuvuta vuta nguvu sku moja haina jina ntapitiliza t ad ndani nijilipue,,
Kuish kwa waswas sio kbsa.
π π ..mkuu ndo kinachonipa energy iko,Ukipima ndo umekwisha mkuu.
Kwa nini uishi kwa wasiwasi wakati hakuna kilichobadilika kabla na baada.
Ila acha zinaa ππ
Uliahirisha mechi hiyo siku?huu uzi umenikumbusha mbali sana..kipindi hicho nafanya Diploma pale chuo cha Ushirika kuna manzi alikuwa ananizimia kinoma...sasa shida mm nilikuwa muoga sana na mazingira ya home yalikwa yamekaa kiwaki sana..kuingia home mwisho saa kumi na mbili ..hata muda wa kuruka nae nilikuwa sina....sasa siku ambayo haina jina..nikahamia gheto kwa wana kwa maandalizi ya UE...wana wakajiza maujinga ooohh acha uzembe wewe pita naye tu...ooohh utaonekana senge wewe...na mm kwa ujinga nikajaa...mm na manzi tukapeana appointment ya kuja gheto...jion manzi huyu hapa..wana wasaliti kama kawaida yao wakaniachia gheto....manzi akaingia ndani tukapiga stori za ukweli na uongo kusogeza muda ....muda si ukafika nikaenda kufunga madirisha na mlango kujiandaa kula visivyoliwa .....ila nawashukuru wana walikuwa na box la ndom gheto....nilikuwa naogopa kinyama kumla yule manzi....
kabla hata ya kuanza kufanya upuuzi wetu manzi akaanza kumwaga kilio..bembeleza wapi ..bibie analia tu...mwishowe baada ya kubembelza sana akaamua kunimwagia ukweli...kwamba yeye ni mwasirika na aliupate kwa mwanaume aliyezaa naye na aligundua kuwa anamaambukizi alipoanza kuhudhuria kliniki...aisee mwili ulipigwa na baridi na ganzi ..sikuamini kile alichokuwa ananiambia yule manzi...kwa mwonekano hauwezi kumzania kabisa manzi anamafuata ya kutosha na anamkia wa haja...dah ni Mungu tu aliniepusha..yule manzi mpaka leo ni rafiki yangu na tunazungumza mengi...siyo siri kwa maelezo yake anapitia changamoto nyingi mno..hususani za kisaiklojia...
wana ukimwi upo na unauwa ...tuchukue tahadhari tuachane na ulimbukene wa sijui blood group O kupata ni ngumu...ukinasa ujuwe wazi utapambana nao wewe mwenyewe.....na unatembea nao popote unapoenda na hata ukifa unakufa nao...hata kama kuna kufufuka ujue utafufuka nao....ππππππ
Tukio lilikuwaje kwani?π π ..mkuu ndo kinachonipa energy iko,
Mbona niko sawa t miaka yote iyo,,
Ila nkikumbuka lile tukio tumbo linauma.