ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Mim mwenyewe mwanzoni nilisumbuka sana kumeza lakini baada ya wiki mbili nikazoea saiv nazimeza na ninadunda nateleza na mabinti tu ...kina muhimu sana
Safi, kikubwa fuata muda vizuri kila siku. Ukifuata utaratibu kwenye kuzitumia huwezi kumwambukiza MTU. Sema shida IPO pale unapomega dry halafu ukaingia kwa manzi mwenye ngoma na hatumii ARV. Man virusi vipya vinazibdua hadi vile vyako ulivyokuwa umevifubaza na dawa. Gonjwa linaanza Upyaaaaaaaaa!! Bora mipango ya kando tumia zana na kwa partner wako unayemwamini ndio dry.
 
huu uzi umenikumbusha mbali sana..kipindi hicho nafanya Diploma pale chuo cha Ushirika kuna manzi alikuwa ananizimia kinoma...sasa shida mm nilikuwa muoga sana na mazingira ya home yalikwa yamekaa kiwaki sana..kuingia home mwisho saa kumi na mbili ..hata muda wa kuruka nae nilikuwa sina....sasa siku ambayo haina
Unajaza watu hofu tu, Ukimwi ni upo hili halina mjadala. Lakini si kweli kwamba ukiupata unakuuwa. ARV zinasaidia sana. Sema shida ya hizi dawa zina masharti ya kuzinywa. Bora Chakula unaweza kujipangia muda wa kula.
 
Hajaanza Leo kumbe!
 
Dah mkuu mimi niliuza mechi moja hatri sana seven years passed ila kila nkikumbuka tumbo linauma
Skuwahi kuuza mechi tena tangu skuile,,
Na wala skuwahi pima.
Mmoja kati ya wahusika hao 3 amefariki mwezi uliopita.
Wamebaki 2
Nataka niwapime kwa lazima
 
Hahahaha mkuu hii kitu naskia ukujigundua unayo alaf uko mwenyew ni hatr sana.
Bora uipandie gari ukapime ata moro apo hakujui mtu.
upewe ma hope ukikutwa nalo.
Ila mkuu we kiboko miaka saba hujapima? 2013[emoji16][emoji16][emoji849]

Una roho ngumu
 
Mkuu nazidi kuvuta vuta nguvu sku moja haina jina ntapitiliza t ad ndani nijilipue,,
Kuish kwa waswas sio kbsa.
Ukipima ndo umekwisha mkuu.

Kwa nini uishi kwa wasiwasi wakati hakuna kilichobadilika kabla na baada.

Ila acha zinaa 😀😂
 
Ukipima ndo umekwisha mkuu.

Kwa nini uishi kwa wasiwasi wakati hakuna kilichobadilika kabla na baada.

Ila acha zinaa 😀😂
😅😅..mkuu ndo kinachonipa energy iko,
Mbona niko sawa t miaka yote iyo,,
Ila nkikumbuka lile tukio tumbo linauma.
 
huu uzi umenikumbusha mbali sana..kipindi hicho nafanya Diploma pale chuo cha Ushirika kuna manzi alikuwa ananizimia kinoma...sasa shida mm nilikuwa muoga sana na mazingira ya home yalikwa yamekaa kiwaki sana..kuingia home mwisho saa kumi na mbili ..hata muda wa kuruka nae nilikuwa sina....sasa siku ambayo haina jina..nikahamia gheto kwa wana kwa maandalizi ya UE...wana wakajiza maujinga ooohh acha uzembe wewe pita naye tu...ooohh utaonekana senge wewe...na mm kwa ujinga nikajaa...mm na manzi tukapeana appointment ya kuja gheto...jion manzi huyu hapa..wana wasaliti kama kawaida yao wakaniachia gheto....manzi akaingia ndani tukapiga stori za ukweli na uongo kusogeza muda ....muda si ukafika nikaenda kufunga madirisha na mlango kujiandaa kula visivyoliwa .....ila nawashukuru wana walikuwa na box la ndom gheto....nilikuwa naogopa kinyama kumla yule manzi....
kabla hata ya kuanza kufanya upuuzi wetu manzi akaanza kumwaga kilio..bembeleza wapi ..bibie analia tu...mwishowe baada ya kubembelza sana akaamua kunimwagia ukweli...kwamba yeye ni mwasirika na aliupate kwa mwanaume aliyezaa naye na aligundua kuwa anamaambukizi alipoanza kuhudhuria kliniki...aisee mwili ulipigwa na baridi na ganzi ..sikuamini kile alichokuwa ananiambia yule manzi...kwa mwonekano hauwezi kumzania kabisa manzi anamafuata ya kutosha na anamkia wa haja...dah ni Mungu tu aliniepusha..yule manzi mpaka leo ni rafiki yangu na tunazungumza mengi...siyo siri kwa maelezo yake anapitia changamoto nyingi mno..hususani za kisaiklojia...


wana ukimwi upo na unauwa ...tuchukue tahadhari tuachane na ulimbukene wa sijui blood group O kupata ni ngumu...ukinasa ujuwe wazi utapambana nao wewe mwenyewe.....na unatembea nao popote unapoenda na hata ukifa unakufa nao...hata kama kuna kufufuka ujue utafufuka nao....😁😁😁😁😁😁
Uliahirisha mechi hiyo siku?
 
Back
Top Bottom