Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Ni hiyari sio lazima.ndio maana niliyoona hataki sikumlazimisha,nikaachana nae.kwanini alikataa kwenda kucheki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hiyari sio lazima.ndio maana niliyoona hataki sikumlazimisha,nikaachana nae.kwanini alikataa kwenda kucheki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah kwa utam utam ule wacha tuu tufe nao ila hatuachi ng'ooo
Mungu au shetani?? Shetani ndio kaliweka hapo bwana ili atunase vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah ni noumer.Kuna mtu ananiambiaga wala hivi vidonge havina ishu kiviile but at the same time ni mgumu kuvimeza anasema vinaotesha ndoto za ajabu...so anavisaga unakuwa unga anaweka maji anakunywa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
yeah mzee tena mara kibwena baada ya kufanikiwa day one kula kimasihara nikanogewa nikawa nanyata alipopanga nakula maini mpaka mida ya alfajiri nasepaUlikula kavu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio siri ule uzi wa kula tunda kimasihara,umekaa kama ni wa burudani kwa vijana walio wengi. Ila amini usiamini unahamasisha ngono hatari. Nina uhakika toka uanze ule uzi umewapeleka vijana wengi kunako.
Vijana wengi wakipitia ule uzi wanajiamini hatari,wanatamani hata kubaka eti ndio kimasihara yenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan mi apa nachekaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli unaishi...Mbona wanasema hata miaka 20 unaishi ukiwa unameza tembe?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Issue sio kutema mate, imagine unaruka na watu mia mbili likikupata la kupata ushtuke why, Mimi nikijiachia kwa kuruka siwezi juta matokeo nitasikitika kwa walio bakwa bila ridhaadada tema mate chini kama una imani sema Asante Mungu maisha kwa ujumla wake yana mengi sana
Sasa hapo unakuwa unazuia nini mkuu?PEP ndio ARVs zenyewe hizo.
Ilikuwa mwaka gani hii?...wanaomeza dawa huwezi wakuta na haya maishu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Uko kama mimi...madonge uwii nikiviona nalia[emoji22]Je mimi mwoga wadawa siku dokta anambie naukimwi nitakufa kwa presha ya kumeza madonge.
Hakuna mwanaume malaya.W
Wanawake ni watu wa kufikiri sana future za watoto hivyo wengi wakishaingia kwenye ndoa wanatulia but ni vice-versa kwa wanaume wanapiga sana puli kabla ya ndoa na kabla ya kupata noti but wazipatapo wanaanza kutembeza moto na kuleta ukimwi nyumbani, pumbavu zenu wanaume wote malaya
Sante Josh....mchaga wako hajambo?[emoji16]Jeuri dawa Yale kiburi Madam. Karibu Kerege
Jamani si Wanasema ukiwa unameza dawa unaishi 20yrs au yy alikuwa hamezi?2011 jamaa alikuwa fundi ujenzi tulikuwa tukimpatia kazi mfuko mmoja wa cement hawezi maliza hadi tukamkacha.
Ngozi ya usoni ilikuwa imekakamaa halafu imekuwa nyeusii tii ,lips nyekundu utadhani kapaka lipstick.
Ila nilijifunza kitu, kwenye kuchagua mkee wa kuoa ,yule mama alikuwa na mapenzi ya kweli kwa mmewake sio kwa ujasiri ule aliokuwa anaonesha kumsaidia mme wake ,hivi hivi mwingine anakukimbia.
Au moyoUkimwi Daresalam especially kwa hawa celebrities uchwara na mjengoni Dom ni kama pete na kiganja.Utasikia Mheshimiwa aliondoka na preshaa.
DuuuhKuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.