ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Sio siri ule uzi wa kula tunda kimasihara,umekaa kama ni wa burudani kwa vijana walio wengi. Ila amini usiamini unahamasisha ngono hatari. Nina uhakika toka uanze ule uzi umewapeleka vijana wengi kunako.
Vijana wengi wakipitia ule uzi wanajiamini hatari,wanatamani hata kubaka eti ndio kimasihara yenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji41] na ARV utatumia tu
FB_IMG_1623501690459.jpg
 
Ilikuwa mwaka gani hii?...wanaomeza dawa huwezi wakuta na haya maishu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Kweli kabisa, siku hizi hizo dalili za magonjwa nyemelezi hazionekani kabisa, wanaanza kliniki mapema ni mwendo wa kunawiri tu, ukijichanganya tu basi tena.

Ila kwa wale wanaochelewa kuanza kutumia hizo dawa kwakweli wanapitia mateso makali sana. Nina experience ya ndugu yangu mmoja, dah! Yaani kwa maumivu na tabu anazozipata mnajikuta mnaomuhudumia ndo mnamwaga machozi. Lakini tunamshukuru Mwenyezi Mungu baada ya mateso yale alirecover akaanzishiwa dawa....Mpaka muda huu anadunda tu[emoji1431] huwezi kumtambua.

Kama inawezekana kujilinda tufanye hivyo, chini kusitawale vichwa vyetu.
 
W

Wanawake ni watu wa kufikiri sana future za watoto hivyo wengi wakishaingia kwenye ndoa wanatulia but ni vice-versa kwa wanaume wanapiga sana puli kabla ya ndoa na kabla ya kupata noti but wazipatapo wanaanza kutembeza moto na kuleta ukimwi nyumbani, pumbavu zenu wanaume wote malaya
Hakuna mwanaume malaya.
Wanaume ni watombaji tu.
Wanawake ndio malaya.

Kuhusu uwepo wa ukimwi sina uhakika kama upo, kwani hakuna mtu alie muona kirusi cha HIV.

Binafsi uwepo wa Ukimwi ( Upungufu wa kinga mwilini) nakubaliana nao lakini usiniambie kua upungufu huo unatokana na HIV hapo tuta kesha kubishana.
 
2011 jamaa alikuwa fundi ujenzi tulikuwa tukimpatia kazi mfuko mmoja wa cement hawezi maliza hadi tukamkacha.
Ngozi ya usoni ilikuwa imekakamaa halafu imekuwa nyeusii tii ,lips nyekundu utadhani kapaka lipstick.

Ila nilijifunza kitu, kwenye kuchagua mkee wa kuoa ,yule mama alikuwa na mapenzi ya kweli kwa mmewake sio kwa ujasiri ule aliokuwa anaonesha kumsaidia mme wake ,hivi hivi mwingine anakukimbia.
Jamani si Wanasema ukiwa unameza dawa unaishi 20yrs au yy alikuwa hamezi?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.
Duuuh
 
Kama demu humwamini au ni mpya na huna condom kwa wakati huo na vipimo huna, njia rahisi ya kujikinga na ukimwi ni kupiga bao moja la maandalizi na la muda mfupi sana hata dakika 3-5 nyanyuka vaa suruali yako ondoka muache hapo, kama anataka aridhishwe atakutafuta yeye kwa muda wake mpime au mtumie kondom
 
Back
Top Bottom