As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Its a total joke ma bro. Tanzania National Stadium is very far behind you dude. Usifananishe Mkapa Stadium na mambo yenu ya kijinga.
Thanks for confirming that Tanzanian national Stadium is very far behind Kasarani
 
We nawe fala tu hebu taja mambo ambayo wapo mbele ya Tz.
 
Ipo mbele ila c Kwa viwanja wala ligi bora kama ulikua hujui
 
We nawe fala tu hebu taja mambo ambayo wapo mbele ya Tz.
Economy
Health
Mombasa port doubles all Tanzanian ports combined
JKIA handles more passengers than all Tanzanian airports combined.
Education
Roads
Trade
Agriculture
Our cities are better than all your cities
Among many more.
 
Nimewaisikia Tanzania wamejengewa choo ya msaada.
Uyo mbn kawaida tu wahitaji wapo wengi na wahisani pia ni wengi km nyie mnavyopewa hisani ya chakula, mask na pesa za covid-19 ambazo GoK inajengea barabara [emoji3][emoji3]
 
Hawa jamaa nao hawachoki kutuchokonoa Kila kukicha! So waendelee tu na ujenzi na sisi tuendelee na wetu na baada ya kumaliza ndio tuanze kuongea Sasa tuona Nani kafanyaje na thamani gani ya fueza!
 
Najua umekasirika sana venye umeona kuwa Mombasa county is doing what your government can`t do.
Jifunze Kiswahili fasaha kwanza! Nyie fanyeni na corruption zenu, sisi tunawahusisha wataalamu na kuwaajiri maana tu matajiri!
 
Jifunze kiswahili fasaha kwanza! Nyie fanyeni na corruption zenu, sisi tunawahusisha wataalamu na kuwaajiri maana tu matajiri!
Where will Kiswahili take me? Or how it help me?
 
Economy
Health
Mombasa port doubles all Tanzanian ports combined
JKIA handles more passengers than all Tanzanian airports combined.
Education
Roads
Trade
Agriculture
Our cities are better than all your cities

Among many more.
We bwege kweli ww[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

Economy iko wapi hyo economy ambapo karne hii mnapewa msaada wa chakula, mnakufa kwa cholera mpk leo karne ya 21.

Health iko wapi ikiwa mpk leo Wakenya maelfu kwa maelfu wanakuja kutibiwa Tz and FYI hakuna nchi inawezana na Tz ktk modern health facilities narudia tena hakuna.

Agriculture huna ardhi ww ya kutunishiana msuli na Tz, dunia nzima inajua kenya ni wakala wa kuuza mazao na co mzalisha mazao, kitu pekee mnalima ni maua ambayo pia % kubwa yanatokea Tz.

Trade, angalau kdg hapo kwenye trade cz nyie ni ma agent lkn hata hyo pia ishafutika cz makampuni mengi yaliyopo kenya yameanza kukimbilia Tz.

Education, [emoji3][emoji3][emoji3] mna elimu gn nyie mafala, elimu ambayo inawafanya mshindwe kuvumbua hata dawa ndogo tu ya corona mmebaki kuomba misaada km wanawake malaya, elimu gn mliyonayo mnashindwa hata kupanga mambo yenu wenyewe mnapangiwa na watu wa nchi zngne, elimu gn mnayo zaidi ya ku copy mambo kutoka Tz?

Infrastructure, huna za kulinganisha na Tz ambazo ni modern na economocally viable zaid zaid tu mnaringia miundombinu aliyowaachia mkoloni but nyie mmeishia kujenga mautopolo na kununua ma second hand.

Hayo mengine cna hata haja ya kuelezea cz yapo wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…