As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Bro unajua nn unajitekenya afu unacheka mwenyew ila ukwel unaujua unachokifananisha, ila ukweli ni kwamba hamtufikii kwny uwekezaji wa michezo labda ungesema currencies issues ndio maana ata watu wanakuwa wanakupotezea. Ukwel ni kwamba kweny suala la uwekezaji wa football hamtufikii hata robo ata shirika lako la mpira kenya linajua ilo.

Kila mchezaji anaecheza premium Kenya kwenye akili yake kwa EAC TANZANIA ni sehemu ana wish kucheza hii ligi sababu ligi ni Bora kuanzia ushindani mpaka uwekezaji.
Endelea kulia. Kama hizi ndio viuwanja bora basi ni kama Tanzania is not in planet earth [emoji23] [emoji23]
View attachment 1510350View attachment 1510351
 
Bro unajua nn unajitekenya afu unacheka mwenyew ila ukwel unaujua, unachokifananisha ni hamtufikii kwny uwekezaji wa michezo labda ungesema currencies issues ndio maana ata watu wanakuwa wanakupotezea. Ukwel ni kwamba kweny suala la uwekezaji wa football hamtufikii hata robo ata shirika lako la mpira kenya linajua ilo. Kila mchezaji anaecheza premium Kenya kwenye akili yake kwa EAC TANZANIA ni sehemu ana wish kucheza hii ligi sababu ligi ni Bora kuanzia ushindani mpaka uwekezaji.
Please remind me the AFCON results between Kenya and Tanzania.
 
Heheheheheeee nlitaka nishangae tangu lini kenya ikawa na mkeka uliotulia km Tz, hii hapa inaitwa outer ring road a.k.a the most dangerous road unaeza kuona na takataka along the road ila waliipiga make up unaeza sema road kweli[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-07-18-18-36-35.jpeg
Screenshot_2020-07-18-18-36-18.jpeg
Screenshot_2020-07-18-18-36-25.jpeg
 
Bro unajua nn unajitekenya afu unacheka mwenyew ila ukwel unaujua unachokifananisha, ila ukweli ni kwamba hamtufikii kwny uwekezaji wa michezo labda ungesema currencies issues ndio maana ata watu wanakuwa wanakupotezea. Ukwel ni kwamba kweny suala la uwekezaji wa football hamtufikii hata robo ata shirika lako la mpira kenya linajua ilo. Kila mchezaji anaecheza premium Kenya kwenye akili yake kwa EAC TANZANIA ni sehemu ana wish kucheza hii ligi sababu ligi ni Bora kuanzia ushindani mpaka uwekezaji.
Achana nae uyo kwnz Simba na Yanga zina mashabiki mpk Kenya wkt tm zao wala hatuzijui huku kwetu hyo ni kwasabu hii nchi ni blessed sema viongozi walikuwa wanazngua.
 
Barabara zenu zinajulikana rangi yake ndo mana nataka kuifatilia hii road cz nyie ni wezi wa roads za watu, hehehehee teargrass nakuahidi hii road ntaifatilia na nina uhakika hii road haipo kenya[emoji3][emoji3]
Cc: mk254 jamaa keshakubali km barabara zetu ni habari nyingine
 
Ukifananisha usifanye hvyo, mfano Coratia ilipoifunga Germany haimaanishi kwamba kweny rank za ubora Coratia itaizidi Germany NOO, lakini ukwel ni kwamba uwekezaji Bora wa ligi na miundombinu mizuri ya mpira wa Germany ni zaidi ya Coratia, kwahyo results ni unpredictable hata leo hii nyinyi Kenya mnaweza kufunga England ila haitobadili ukwel
Please remind me the AFCON results between Kenya and Tanzania.
 
Cc: mk254 jamaa keshakubali km barabara zetu ni habari nyingine
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Heheheheheeee nlitaka nishangae tangu lini kenya ikawa na mkeka uliotulia km Tz, hii hapa inaitwa outer ring road a.k.a the most dangerous road unaeza kuona na takataka along the road ila waliipiga make up unaeza sema road kweli[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1510363View attachment 1510364View attachment 1510365
 
Achana nae uyo kwnz simba na yanga zina mashabiki mpk kenya wkt tm zao wala hatuzijui huku kwetu hyo ni kwasabu hii nchi ni blessed sema viongozi walikuwa wanazngua.
Shabiki wa simba na yanga huku uwaone wape..
Kumbe mnajifurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tangia nianze kushabikia mpira sijaskia mtu yyte akijimwambafai na hzo timu zenu
 
Ni Bora ata ww unazijua Simba na Yanga ata mtoto wa miaka10 Kenya ukimtajia hayo majina ana idea kichwani, uku timu ukimuuliza mtu timu mbili za ligi Kenya hazijui. Kama mm nilikuwa naiskiaga niniPaka ndio nlikuwa nataka kuiskia sababu ya neno paka ilo, hyo gormahia nimeijua juz sababu ya Everton na staa wa Simba medie Kagere ila nilikuwa siijui
Shabiki wa simba na yanga huku uwaone wape..
Kumbe mnajifurahisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tangia nianze kushabikia mpira sijaskia mtu yyte akijimwambafai na hzo timu zenu
 
Nlikuwa nataka nimtafutie but shukran mkuu, wapo wengi mno Wakenya mashabiki wa simba na yanga na co Kenya tu ni across East and Central of Africa.
Kwhyo huyo mwngine naye ni shabiki wa hyo jezi aliyovaa sio[emoji23][emoji23]

Eti mtu wa machakos na hicho kiswahili, "wekundu wa msimbazi"[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom