As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

Hakuna uwanja unaojengwa wala kutegemea Morocco.





Juzi nilikuambia data zako nyingi hazipo updated.

Halafu hivyo viwanja vya kuchezea rede ndio unafananisha na viwanja vya Tz embu kuwa na adabu.

Halafu mbona hivyo viwanja havifanani na vile mlivyo pewa ahadi na jubilee [emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo la wakenya hawana habari za kutosha kuhusu Tanzania,
 
Kenya iko na competition mingi zenye zinajulikana lakini stadium yao haiwezi bemba watu wengi kuliko ya majirani wao.


Tanzania country of one competition which is known lakini National Stadium ya TZ inabemba watu wengi kuliko ya Kenya .

KE 🇰🇪
Stadium Nyayo
Capacity 30000

Screenshot_20200720-025045~2.png


TZ 🇹🇿
Benjamin Mkapa
Capacity 60000
Screenshot_20200720-025021~2.png

Stadium zenye zinajulikana
 
Waliokufa mpka sasa hko mitaani mumewapima corona kwan..
Mbna mnaweweseka sana na wakati kwenu hampimi maiti..

Ama ulihakikishiwa km corona inaua kila mtu
Sasa kama we unayo akili Kwan hapo zaman kabla ya korona watu huko mtaani walikua hawafi au ndio mawazo ya njaa? Watu wanakufa Kwa magonjwa kibao inakuaje mtu akifa apimwe korona tu kwanini musipigie debe kupima kisukari, presha, maralia, na TB. Sasa toka kakayenu aje haijui barakoa na ndio umeona anachanganyika na watu kama vili lakini ajaumwa hata mafua tu mwezi unaenda wa tatu huu. Akili yenu kuwa kiduchu kichwan ndio inayowagharimu mutaupigia promo sana huo ugonjwa Kwa niaba ya wazungu
 
mswahili hovyo sanaa dah! lini ataacha kumlamba lamba mwarabu mazee !![emoji23]
Nasikia nyinyi ndiyo maana hamtaki kuchamba mkienda chooni kisa hamtaki kumuiga muarabu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kenya iko na competition mingi zenye zinajulikana lakini stadium yao haiwezi bemba watu wengi kuliko ya majirani wao.


Tanzania country of one competition which is known lakini National Stadium ya TZ inabemba watu wengi kuliko ya Kenya .

KE 🇰🇪
Stadium Nyayo
Capacity 30000

View attachment 1511393

TZ 🇹🇿
Benjamin Mkapa
Capacity 60000
View attachment 1511392
Stadium zenye zinajulikana
Our main stadium is Kasarani with the capacity of 60,000.
DEcCqfXXUAAKWSs.jpg
 
Sasa kama we unayo akili Kwan hapo zaman kabla ya korona watu huko mtaani walikua hawafi au ndio mawazo ya njaa? Watu wanakufa Kwa magonjwa kibao inakuaje mtu akifa apimwe korona tu kwanini musipigie debe kupima kisukari, presha, maralia, na TB. Sasa toka kakayenu aje haijui barakoa na ndio umeona anachanganyika na watu kama vili lakini ajaumwa hata mafua tu mwezi unaenda wa tatu huu. Akili yenu kuwa kiduchu kichwan ndio inayowagharimu mutaupigia promo sana huo ugonjwa Kwa niaba ya wazungu
Sasa ndio msiweweseke na vifo vya huku, ilhali hko kwenu hampimi maiti.

Bongo kw sasa unaweza ukaafa kw maradhi mengine lkn corona iwe ndio imechangia zaidi.

Bt hampimani sasa mtajuaje km hko kwenu haiuwi watu
 
Kukuwa jobless ni kitu mbaya sana? Wewe uko online everytime, iwe usiku, iwe asubuhi, iwe mcha na pia hata jioni utapatikana online. Toka kwa nyumba ya mamako wewe, inafanya huwe lazy.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hyo ndiyo maana halisi ya maisha bora, yn mtu unatakiwa uwe na muda wa ku relax, ss ww mwalimu na isitoshe mpo wachache shule nzima mpo walimu 10 huwezi pata muda wa kurelax.
 
Sasa ndio msiweweseke na vifo vya huku, ilhali hko kwenu hampimi maiti..
Bongo kw sasa unaweza ukaafa kw maradhi mengine lkn corona iwe ndio imechangia zaidi..
Bt hampimani sasa mtajuaje km hko kwenu haiuwi watu
Sasa kwani Corona inauwa bila kuugua ? , Mtu anapimwa pale anapoonekana na dalili ndio anaenda kwenye vituo anapima sio kila kukicha kupima Corona tu uumwe usiumwe we kupima tuuu kama kazi za kufanya hamna ndio maana ukaambiwa unachokitafuta utakipata .huku mtu akifa anazikwa kama Zamani tu na familia yake na jamii inayomzunguka ,ndugu na wengineo kibao sasa kama kungekua na kurona TZ kama munavyofikiria ninyi kwa mazingira hayo cjui ingekuaje!!
 
Heheheheheeee wallahi WaTz cku hz tumekuwa mbogo, mpk watu wanataka kutupangia mda wa kuwa online[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] that is the real meaning of a better life, yn one should have time to relax, ss ww teacher and countless give a few whole school give 10 teachers you can not find time to relax.
Tafuta kitu ufanye kijana
 
Back
Top Bottom