Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM Oyeeeee !!!CCM Mbele Kwa Mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM Oyeeeee !!!CCM Mbele Kwa Mbele
Duuh dau refu sana.Wauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Wangeamini ni ndugu wa Bashe na KinanaHapo angewavesha sare na anafungulia nyimbo za Capt Komba na Chidumule
Itakuwa amechomewa. Halafu kuwapeleka uhamiaji nako ni kuwapelekea tu ulaji.Wauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Sana angetoboa hapo siyo mwenzetu ndio maana utajiri una siri nzito sana hao wapo 20 kila kichwa minimum usd 2000 maana yake alikuwa anapiga 100m kama amesimamaHii biashara ya kuwavusha hawa viumbe kuvuka mpaka inapesa ndefu mfano wa dhahabu.
Hapo angewavesha tisheti na kofia, ukiulizwa unawaambia wajumbe wametoka HanangWangeamini ni ndugu wa Bashe na Kinana
Kabisa.Hapo angewavesha tisheti na kofia, ukiulizwa unawaambia wajumbe wametoka Hanang
Hiki Chama nimeshawaonya hata ndugu zangu......ukikaa na Member wa Chama hiki My frienda Keep Your eyes Open.Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 am
Chanzo: Ayo TV
Kakosea, labda $ 3,000/=Una uhakika hujakosea lkn
Hapo kuna mnafki kachoma issue, sheria nyingine za kikoloni sioni tatizo msomali akikatiza bongo kwenda zake southafrica , sisi kama tanzania tunapungukiwa na nini? Ni sheria aliziweka mkoloni kutucontrol na kutudhibiti tusizamie kwao huko dunia ya kwanzaHapo angewavesha sare na anafungulia nyimbo za Capt Komba na Chidumule