Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM



Ni kawaida ya ccm, na huyo ni mwenzao.
 
Chawa wa mama huyo atatoka tu
 
Siyo Jambo jipya Hilo, kuna mambo mabaya zaidi ya hili yanafanyika kwa kutumia magari hayo.
 
Kwa ccm hiyo imekuwa kawaida na wananchi tumeizoea kabisa.imeanza muda mrefu lakini Kwa Sasa imekithiri maradufu kuliko ilivyokuwa awali.
 
Moja ya biashara kubwa Duniani ni hii
imetajirisha watu hii hata huko europe pesa yake ni ndefu mfano wa dhahabu.

imagine kuna mwamba alinunua suti kumi za gharama,sehemu ngumu kupita hao jamaa wanaveshwa suti kali,koti jeupe la udaktari na kile kipima moyo shingoni na wanapita vizuri😁,mambo ni moto.
 
Niliwahi kuambia hao jamaa wahabeshi unaeza kuta hapo katoa dola karibu elf 3 ili kufika anakotaka ..maana ni biashara ya mtandao mkubwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…