Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

Hawa ndiyo hawana akili mkuu, utakaaje pembeni badala ya kuipigania nchi yako na vizazi vyako?
Mm sio exceptional kwa nchi hii, kama unatetea maslahi ya taifa kwa manufaaa ya wengi lakn hao wengi ndo wanatumika na wasiasa kukushambulia ya nn nijitese mwisho wa siku kama haiathiri mazingira yangu ya utafutaji unaachana nayo
 
Nimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.

leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.

watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?

View attachment 2943998
Haya ni matokeo ya ikulu kuwa na muhuni inasababisha nidhamu kushuka kitaifa Samia hafai kuongoza hata inzi
 
Mm sio exceptional kwa nchi hii, kama unatetea maslahi ya taifa kwa manufaaa ya wengi lakn hao wengi ndo wanatumika na wasiasa kukushambulia ya nn nijitese mwisho wa siku kama haiathiri mazingira yangu ya utafutaji unaachana nayo
Itakuja kuathiri wanao au wajuu, muhimu ni kupambana na huo mfumo ovu
 
Nimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.

leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.

watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?

View attachment 2943998
1980s gari za Chama zilitumiwa sana na akina Aligeje kubeba meno ya Tembo pale Iringa 🐼😂😂
 
Nimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.

leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.

watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?

View attachment 2943998
unaelewa masuala ya wahalifu kuvaa sura mbalimbali ni kawaaida🐒

wengine huvaa madera, wengine huvaa mawigi, wengine huvaa kanzu za viongozi wa dini, wengine huvaa rozali na tasubihi kubwa sana, wengine huvaa suti kali sana na tai hii yote mavazi na sura hizi za wema wahalifu huzitumia kutekeleza na kutimiza uhalifu wao 🐒


ukiwa unakubalika na kuaminika zaidi, na wewe ndio turufu ya uhakika wa kufanikisha jambo fulani jema , basi waovu pia hutumia turufu hiyo na hujivika sura yako ili kutimiza malengo yako ya kihalifu 🐒

so,
Nyakati hizi za kipindi cha mfungo wa kwaresma na ramadhani waovu wengi wamejificha juu ya wema wako na wangu, ni vizuri kua chonjo, kuwa rada na makini zaidi kuwagundua mapema 🐒

hao ni wahalifu na waovu waliojivika sura ya wema na fadhila ya CCM ili kufanikisha ubaya wao.

Hilo haliwezi kuiyumbisha CCM,
wahalifu hao watawajibika kwa mauvu yao kwa mujibu wa sheria na CCM inasonga mbele 🐒
 
Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.

Akiongea na AyoTV Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.

“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji” ——— kaimu RPC Manyara. #MillardAyoUPDATES

View attachment 2943836
Mshangao,
-V8 kutumika, gari la mkubwa,tatizo dereva
-V8 yapakia watu 20!
-Bendera ya CCM, maswali mengi, gari la nani?
-Gari lakamatwa Manyara, wamepanda wapi na wangeshuka wapi

Mbombo ngafu!
 
Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.

Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.

“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”


Chanzo: Ayo TV
Kuna siku niliweka uzi watu wengi wanaofanya biashara haramu wako ccm ili kukamilisha biashara zao haramu
 
hao ni wahalifu na waovu waliojivika sura ya wema na fadhila ya CCM ili kufanikisha ubaya wao.

Hilo haliwezi kuiyumbisha CCM,
wahalifu hao watawajibika kwa mauvu yao kwa mujibu wa sheria na CCM inasonga mbele 🐒
imagine ingekua ni gari ya CHADEMA, ungeweza kuandika hivi hivi? Ungesikia kesho msajili wa Vyama ametoa barua kwa CHADEMA kujieleza.
 
Back
Top Bottom