Wakati wewe ukipiga u dei waka wa uchawa Lumumba.Lisu alikuwa anauza Vitabu huko Ubelgiji
🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wewe ukipiga u dei waka wa uchawa Lumumba.Lisu alikuwa anauza Vitabu huko Ubelgiji
Na sasa Lisu tunaye hapa CHAWA stWakati wewe ukipiga u dei waka wa uchawa Lumumba.
🤣🤣
Huyu kala za beberu sasa anakula za Samia."Rais Samia Suluhu Hassan ananiita mdogo wangu mpaka leo. Hata alipokuja Ubelgiji mwaka jana aliwaambia wale wapambe wake 'mmemuona mdogo wangu?" - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
..................................................................................
CCM Kila la Kheri katika kuitawala Tanzania kwa hata miaka 5000 ijayo kwani hakuna Upinzani Tanzania bali kuwa Wanafiki na Wachumia Tumbo tu.
Na sasa Lisu tunaye hapa CHAWA st
Waliosumbua kununuliwa.awamu ile ni Mwamba na Ni YeyeKulikoni hamna jipya kuwahusu wale vipenyo, si mnao?
Waliosumbua kununuliwa.awamu ile ni Mwamba na Ni Yeye
Mungu ni Mwema CCM ni Chama kikubwa sana chenye mbinu mbalimbali, hatimaye Wawili hao wameripoti kambini!
John bwanaLisu alikuwa anauza Vitabu huko Ubelgiji
Sema Wewe ndio hudanganyiki usiwasemee wanalamba asali tayari!Kwa kuhangaika huku mnakoonyesha si bure kitakuwa kimeumana. Mfanyeje sasa Yarabi?
Hatudanganyiki!
Habari ndiyo hiyo.
Akomae, asimchekee na amtie Jamba Jamba na siyo Kunyenyekea na Kujipendekeza kama afanyavyo na Wafanyavyo.Nini kimekubugudhi hapo ulitaka asemaje
Katika Maelezo yako yote nimependa sana hapo uliposema kuwa Walipendana hivyo nami nimekuelewa vyema Kiongozi wangu.Lissu na Samia wana historia ndefu sana. Hawakukutania Barabarani.
Wamefanya kazi Shirika moja la kimataifa la mazingira. Walikuwa wakipendana wakati wa Bunge lq Katiba Mpya.
Ndio Maana alipopigwa Risasi yule bwana alizuia watu wasimuone Lissu lakini Mama alijitosa liwalo na liwe.
😅😅😅Katika Maelezo yako yote nimependa sana hapo uliposema kuwa Walipendana hivyo nami nimekuelewa vyema Kiongozi wangu.
Hifadhi posts uzirejee baada ya makombora #2. Makombora #1 yalikuwa Furahisha, Tarime na Bulyaga.Sema Wewe ndio hudanganyiki usiwasemee wanalamba asali tayari!
Kama jpm aliweza kuwa rais sidhani kama kuna mtu anaweza kushindwaHuyu kala za beberu sasa anakula za Samia.
Hii nchi ndio maana kila mtu anataka awe Rais.
Watanzania mmeshindwa kuichukua nchi yenu? Mpaka mnawaachia Upinzani? Endeleeni kusubiri"Rais Samia Suluhu Hassan ananiita mdogo wangu mpaka leo. Hata alipokuja Ubelgiji mwaka jana aliwaambia wale wapambe wake 'mmemuona mdogo wangu?" - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
..................................................................................
CCM Kila la Kheri katika kuitawala Tanzania kwa hata miaka 5000 ijayo kwani hakuna Upinzani Tanzania bali kuwa Wanafiki na Wachumia Tumbo tu.
Tundu mwenyewe yuko ofisi ndogo ya Bunge anashughulikia mambo yake kiserikali zaidi!Hifadhi posts uzirejee baada ya makombora #2. Makombora #1 yalikuwa Furahisha, Tarime na Bulyaga.
Tulipo tunasubiri list of shame. Kaa mkao wa kuliwa PDF liko njiani.
Kuna kitu gani kibaya hapo? Maana siasa ni kukosoana kwenye sera, sio bunduki"Rais Samia Suluhu Hassan ananiita mdogo wangu mpaka leo. Hata alipokuja Ubelgiji mwaka jana aliwaambia wale wapambe wake 'mmemuona mdogo wangu?" - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
..................................................................................
CCM Kila la Kheri katika kuitawala Tanzania kwa hata miaka 5000 ijayo kwani hakuna Upinzani Tanzania bali kuwa Wanafiki na Wachumia Tumbo tu.
Jamani rudini ubaoni! Jiwe is no more! Lakini jiwe alikuwa na lengo la upigaji kwa vitisho! Huku china yale mabilioni nani anayafaidi!?CCM hatuchukiani asilani kwa sababu fursa ni nyingi na tunatesa kwa zamu humu humu Ndani ya CCM
Chuki ziko ufipa Kwenye njaa kali hadi Mbowe anakumbuka mabilioni yake!