kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Mbowe alipewa nusu chupa ila Lissu ameandaliwa chupa nzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wafuasi wa siasa za ugoko watakwama zama zao zimeshakwisha.
Tanzania ni moja na tushirikiane kuijenga
sasa shida iko wapi hapo....ulitaka amwitaje"Rais Samia Suluhu Hassan ananiita mdogo wangu mpaka leo. Hata alipokuja Ubelgiji mwaka jana aliwaambia wale wapambe wake 'mmemuona mdogo wangu?" - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu.
..................................................................................
CCM Kila la Kheri katika kuitawala Tanzania kwa hata miaka 5000 ijayo kwani hakuna Upinzani Tanzania bali kuwa Wanafiki na Wachumia Tumbo tu.