Asante KAZE tumeiona: Kwa nini Kaze kawazuia washambuliaji wake wote kushambulia hapo mwishoni mwa mchezo?

Asante KAZE tumeiona: Kwa nini Kaze kawazuia washambuliaji wake wote kushambulia hapo mwishoni mwa mchezo?

Kaze kwa Nini anaenda kuzuiya muda wote halafu Hana mashambulizi ya kushtuka ya kufika kwenye boksi la Yanga?
Hili Tatizo lipo kwenye timu karibu zote ndogo ndogo za Nbc...
Wanacheza vizuri kuziba Mashimo Ila kwenye kushambulia bado makocha wanasafari ndefu.
Wachezaji wetu bongo zao nzito sana kwenye kufanya maamuzi ya haraka na yenye tija ...ona km yule winga wa namungo kakosa goli la wazi kbsa akitazamana na diara halafu anaona fresh tu tena wanapeana mikono na mwenzake kupongezana kukosa goli la wazi

Ingekuwa mchezaji wa kigeni pale angejichotea maujiko kiulaiiini
 
Bora sta Namungo wamejitahidi kuzuia , Kuna timu ilicheza na Yanga mpira wa kwanza on target ulipigwa na iyo timu dk ya 76.
Ili pigwa goli mbili na zote refa kazitia mfukoni.
Kwa dk zote 90' haikuweza kumiliki mpira kwa sekunde 45.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na bado Yanga akaambilia patupu kikombe cha kahawa ilhali hiyo timu nyingine ikaondoka na kombe halisi.
 
Aliyetoa pasi ya Mwisho alikuwa Offside Kbs...! Hili ndilo Linalorudisha nyuma Soka Letu...!

Marefa bora Aidha hatunao au Wapo isipokuwa Wanapochezesha hizi timu kubwa Wanakuwa 'under influence'...!
Yao hakuwa offside...

1.Alikimbia toka nyuma akakatiza kati ya mabeki wawili wa timu ya NAMUNGO, then ndio akapiga cross iliyozaa goli.

Nimekuwekea video ya movement ilivyokuwa kwa faida yako, asante.
 
JIBU: Ili kuwaruhusu wachezaji wote wa Yanga washambulie bila hofu ya counter attack!! Tunaposema kilichofanyika ni "IMETHIBITISHWA" muwe mnaelewa!! Na kweli bwana wakapewa kagoli kamoja!!
Umemind.
 
Back
Top Bottom