Asante KAZE tumeiona: Kwa nini Kaze kawazuia washambuliaji wake wote kushambulia hapo mwishoni mwa mchezo?

Asante KAZE tumeiona: Kwa nini Kaze kawazuia washambuliaji wake wote kushambulia hapo mwishoni mwa mchezo?

Nimeshangaa sana,timu inazuiya muda wote halafu haikai na mali....Ila ninachokifahamu Ni kwa Timu zote ndogo za Tanganyika Tatizo ni Hilo Hilo siku zote watazuiya sana....wanapopata mpira hawana counter attack za kushangaza wachezaji wanakuwa hawana ufanisi wa kufika hata kwenye boksi la mpinzani ikiwa Ni Yanga au Simba....unaona kabisa wachezaji wetu wa ndani bado Sana kwa viwango kuwafikia kina Mayele,Chama,Azizi ki na Max zengeli.

Kichuya aliingia kufanya nini?
Anapata Mali hakai nayo kabisa au kwenda nayo kumsalimia Diarra shkamoo hawezi,itoshe kusema ubora wa ligi yetu kuwa ya tano imeletwa na wageni kutoka Burkinabe,Congo Dr n.k
Wewe na mpira bado sana.... Ikikupendeza achana nao.
 
Bora sta Namungo wamejitahidi kuzuia , Kuna timu ilicheza na Yanga mpira wa kwanza on target ulipigwa na iyo timu dk ya 76.
Ili pigwa goli mbili na zote refa kazitia mfukoni.
Kwa dk zote 90' haikuweza kumiliki mpira kwa sekunde 45.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kadri muda unavyosonga mbele hiyo timu ufanisi wake unazidi kupungua ndomana unaona wakina Namungo wanacheza nayo fresh tu.

Nakufikia mechi ya 10 watakua wamebaki na uzoefu pekee, kama hutaki endelea kukaza fuvu, halafu muda utakujibu.
 
Yao hakuwa offside...

1.Alikimbia toka nyuma akakatiza kati ya mabeki wawili wa timu ya NAMUNGO, then ndio akapiga cross iliyozaa goli.

Nimekuwekea video ya movement ilivyokuwa kwa faida yako, asante.View attachment 2756383
Samahani Chifu, unaweza kumchukua Mleta mada umrudishe Mirembe kwa matibabu zaidi ya afya ya akili?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Aliyetoa pasi ya Mwisho alikuwa Offside Kbs...! Hili ndilo Linalorudisha nyuma Soka Letu...!

Marefa bora Aidha hatunao au Wapo isipokuwa Wanapochezesha hizi timu kubwa Wanakuwa 'under influence'...!
Wewe umesimuliwa.
 
Ngoja tujikite kwenye lawama na maana hatujui tatizo letu ni Yanga, Robertinho, vingozi au wachezaji siku akili zikirudi jamaa wana makombe sita mfurulizo
 
Ngoja tujikite kwenye lawama na maana hatujui hata tatizo letu ni Yanga, Robertinho, uongoziau wachezaji siku akili zikirudi jamaa wana makombe sita mfurulizo
Mbona kama sijaelewa ulichokiandika....
 
20230921_061148.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namungo jana wametoa mpaka kafara.
Kafara watu wanne walikufa, zile ndio zilikuw goli nne jumlisha na hilo moja ni tano.
 
JIBU: Ili kuwaruhusu wachezaji wote wa Yanga washambulie bila hofu ya counter attack!! Tunaposema kilichofanyika ni "IMETHIBITISHWA" muwe mnaelewa!! Na kweli bwana wakapewa kagoli kamoja!!
Haya ndiyo matatizo ya kula sana mpaka kuvimbiwa. Yaani ukibeua, harufu yake ndiyo kama hii sasa.
 
Aliyetoa pasi ya Mwisho alikuwa Offside Kbs...! Hili ndilo Linalorudisha nyuma Soka Letu...!

Marefa bora Aidha hatunao au Wapo isipokuwa Wanapochezesha hizi timu kubwa Wanakuwa 'under influence'...!
Ndugu, punguza ujuaji. Maana unaonekana kituko kwenye jamii ya wanamichezo.
 
Bora sta Namungo wamejitahidi kuzuia , Kuna timu ilicheza na Yanga mpira wa kwanza on target ulipigwa na iyo timu dk ya 76.
Ili pigwa goli mbili na zote refa kazitia mfukoni.
Kwa dk zote 90' haikuweza kumiliki mpira kwa sekunde 45.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mnapenda kututafuta nyie vyura😁
 
Huyu kaze so ndio walituambia no kocha wa Barcelona, huu ndio mpira alikuwa akifundisha Barcelona?
 
Aliyetoa pasi ya Mwisho alikuwa Offside Kbs...! Hili ndilo Linalorudisha nyuma Soka Letu...!

Marefa bora Aidha hatunao au Wapo isipokuwa Wanapochezesha hizi timu kubwa Wanakuwa 'under influence'...!
Bro nyie mnaleta ushabiki maandazi na.mpora ni mchezo wa wazi. Mkuu ile haikuwa offside, ebu muwe mnaona aibu na sio kubisha ka kuleta ushabikinkwa kila jambo.
 
Back
Top Bottom