Nimeshangaa sana,timu inazuiya muda wote halafu haikai na mali....Ila ninachokifahamu Ni kwa Timu zote ndogo za Tanganyika Tatizo ni Hilo Hilo siku zote watazuiya sana....wanapopata mpira hawana counter attack za kushangaza wachezaji wanakuwa hawana ufanisi wa kufika hata kwenye boksi la mpinzani ikiwa Ni Yanga au Simba....unaona kabisa wachezaji wetu wa ndani bado Sana kwa viwango kuwafikia kina Mayele,Chama,Azizi ki na Max zengeli.
Kichuya aliingia kufanya nini?
Anapata Mali hakai nayo kabisa au kwenda nayo kumsalimia Diarra shkamoo hawezi,itoshe kusema ubora wa ligi yetu kuwa ya tano imeletwa na wageni kutoka Burkinabe,Congo Dr n.k