Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Wewe akili yako ni mbovu! Kampuni iko wapi? Wafanyikazi ni wa wapi? Nchi inayosambaza hivyo vifaa ni ipi? Tax inaingia kwa serikali ipi? Mwisho nikuulize, Tanzania include Bank of Baroda, Bank of India, Canara Bank, MeTL Group, Dangote Industries Tanzania, Vodacom Tanzania, Viettel Tanzania... nk, nijuhudi za Watanzania??????? 😂 😂 😂 😂 😂Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Hakuna Mhindi aliye lobby kokote, walikidhi stardands za vifaa vyao kwa quality ndio maana wakapewa go ahead kuzisambaza. To be clear, hiyo kampuni iko Kenya toka kitambo tu, sahi ndio mnaijua nyie wazembe.😂😂Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Wahindi nomaIn the latest conquest, Kilifi-based medical supplies company Revital Healthcare EPZ Limited has inked a deal with Tanzanian government estimated to be...
Revital Healthcare EPZ Ltd received an order for 11 million Covid-19- 2ml, 5ml and 10ml vaccine syringes from Tanzania...Firm steps up manufacture of COVID-19 medical supplies – KBC
A Kilifi based medical equipment manufacturing company has stepped up the manufacture of medical supplies to support the fight against COVID-19. This after the company, Revital Healthcare EPZ Ltd r…nairobireport.com
Revital Healthcare EPZ Ltd has received an order of 11 million Covid-19 vaccine syringes from Tanzania, which has ordered the 2ml, 5ml and 10ml vaccine syringes. This follows the improved relationship between Kenya and Tanzania...
Wacha kulazimisha maneno kijana. It's clearly stated that Recital Healthcare begun operations during Kibaki regime. Je wakati huo kulikuwa na Corona? It's also stated that they only got approval from WHO to produce the specialized syringes. Wewe unasema they lobbied to get the contract. Unless I don't know the true meaning of the word lobby but these people got this contract by merit being that they are one of the only six such companies in the world.Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Kweli, kuna mmoja alikuja Kenya akiwa analia lia aachiwe apige hustle na UK..Wahindi noma
You know what you are talking about... Hizo EPZ ziko hilo eneo hua zimeajiri watu wengi sanaaaa!Duh, hawa jamaa wa Kilifi tayari washaangukia deal, majuzi tu nikienda Malindi ndio niliona hiyo factory ata sio kubwa vile lakini, nikaambiwa mambo yake, wako sawa. Vijana wa kikambala wameangukia kazi sana pale naskia, and that's good, wakuwe busy angalau wapate za kujiendeleza. Nice... 👏🏽👏🏽👏🏽
MaguFOOLi alikua hapendi kufanya biashara na Kenya.
Achomwe moto kama hao vifaranga aliochoma mpakani
MaguFOOLi angelijua hili
Fool clone,Wacha kulazimisha maneno kijana. It's clearly stated that Recital Healthcare begun operations during Kibaki regime. Je wakati huo kulikuwa na Corona? It's also stated that they only got approval from WHO to produce the specialized syringes. Wewe unasema they lobbied to get the contract. Unless I don't know the true meaning of the word lobby but these people got this contract by merit being that they are one of the only six such companies in the world.
Secondly, this company produces a myriad of other products; 34 in total. Are all these other products associate with corona? Where is it written that their agreement with WHO has anything to deal with covax? I thought covax is a different segment under WHO whose primary goal is to manufacture Covid-19 vaccine. Covaz inaingiaje hapo? Na hata sijaona mahali Covax yenyewe imetajwa kwenye hiyo article.
Lastly, if you read the article to the end, it's stated that this is just one of 20 such companies in Kenya with WHO certification to produce PPEs for the domestic market as well as the export market. There are 19 others like this one. This only shows how serious our manufacturing sector is so brace yourselves for more orders coming from your government because you have 20 companies in Kenya to choose from!
Wewe sasa ni wa kupuuzwa tu, huna kipya. Najua kinachokusumbua ni kwamba hiki kiwanda kipo Kenya na wala sio Tanzania. Why are you so sire that your government hasn't done business with this company before?Fool clone,
Sasa kama kiwanda kilianza kitambo mbona hatukuwahi kununua toka muda hizo sindano hapo? Si ndio tumeanza kununua hapo Sasa? Na si ni kweli Covax wanachukua sindano hapo ama ni nini?
Na si kiwanda hicho kimekuwa kikubwa baada ya ku-merge na parent group ya India? Na ndio Jayden akazindua upya tena baada ya Kibaki? Au umeleta jipya gani hapa?
Let me make it clear. Hakuna Mhindi yeyote aliyefanya lolote. First, Revital Healthcare (EPZ) Limited Kenya, is 💯 % owned by Abraaj Group, a UK/USA firm based in Dubai. So sielewi unongelelea nini! 🤷🏾♂️🥴Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Mzee akili zako kawadanganye wakenye wanzako washamba. Abraaj Owner wake ni jamaa toka Pakistan. Once upon a time Pakistan was a part of IndiaLet me make it clear. Hakuna Mhindi yeyote aliyefanya lolote. First, Revital Healthcare (EPZ) Limited Kenya, is 💯 % owned by Abraaj Group, a UK/USA firm based in Dubai. So sielewi unongelelea nini! 🤷🏾♂️🥴
Wewe kilaza kama wabongo wenzako, Abraaj Group iliuzwa kwa Colony Capital, Actis Capital, na TPG Capital in 2018 baada ya kuwa na deni la $1.1 billion, including $501.4 million to unsecured creditors and $572.4 million to secured creditors. Hizo firm tatu niza wazungu wa UK na USA.Mzee akili zako kawadanganye wakenye wanzako washamba. Abraaj Owner wake ni jamaa toka Pakistan. Once upon a time Pakistan was a part of India
View attachment 1825455
Mzee mbona unalazimisha!? Hiyo Wikipedia hata mimi naweza edit. Tuondolee upumbavu wako.Wewe kilaza kama wabongo wenzako, Abraaj Group iliuzwa kwa Colony Capital, Actis Capital, na TPG Capital in 2018 baada ya kuwa na deni la $1.1 billion, including $501.4 million to unsecured creditors and $572.4 million to secured creditors. Hizo firm tatu niza wazungu wa UK na USA.
Fala sana wewe, toka wikipedia, unafikiri una akili sana! 😬😬😬🥴
Hii hapa chini uliona aibu kuiweka ama???🤷🏾♂️ 😂 😂 😂 👇👇 💉💉💉
View attachment 1825464
Mimi naogopa wakenya sana, they’re JamiiForums smart, I think I saw it somewhere KIkuyu people from Kenya are smartest in Africa just behind Igbo people from Nigeria , any business with these people must be throughly investigated before proceedings... samahani km nawakwaza, napitia tuuu....lol
Mbona uko mnyonge hivyo? Unahitaji dhaawa yangu inaonekana! Haya eka trako vizuri ukamate hii kitu... 💉💉💉👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee mbona unalazimisha!? Hiyo Wikipedia hata mimi naweza edit. Tuondolee upumbavu wako.
Dah! Kama tukiendelea hivi basi naona tukienda mbali sana kwenye chumi za haya mataifa yetu, kupigana tafu kiuchumi pale panapostahiki, mama ameamua kutoendekeza chuki na kuachia kila mwenye jitihada na nia nzuri afanye yake....
======================
Kenyan companies have began reaping fruits from the agreement President Uhuru Kenyatta made with his Tanzanian counterpart Samia Suluhu.
In the latest conquest, Kilifi-based medical supplies company Revital Healthcare EPZ Limited has inked a deal with Tanzanian government estimated to be worth millions.
A report by Kenya News Agency (KNA) on Saturday, June 19, indicated that the company has been contracted to supply 11 million Covid-19 vaccine syringes.
The neighbouring government ordered the 2ml, 5ml and 10ml vaccine syringes.
President Uhuru Kenyatta and President Samia Suluhu at State House on May 4, 2021
PSCU
Revital Healthcare sales and market product development director Roneek Vora noted that it won the contract due to the agreement the two countries made in early May.
He further disclosed that in its range of 42 products, Tanzania consumes 11 while Uganda consumes 12 yet Kenyan government only buys 2.
“The Tanzanian market is now opening up. We have started to get a lot of enquiries for the Covid-19 test kits that we manufacture.
“We had a meeting with one of my suppliers in Tanzania who is now interested in placing orders for the Covid test kits, PPEs, surgical face masks, and other kits that we manufacture,” stated Vora.
Revital Healthcare EPZ is the only manufacturer of the Covid-19 test kits in Africa and is only among 66 in the world that have been approved to make the product.
Its core business is the manufacture of a range of Products including conventional single-use syringes and the UNICEF and WHO mandated Auto-Disable syringes aimed at lowering the transmission of infectious diseases such as HIV.
During Suluhu's visit, she signed a Ksh100 billion deal at State House witnessed by President Uhuru Kenyatta.
- The deal was signed during a two-hour meeting between the two heads of state, which was followed by a joint address.
The deal will see Tanzania construct a Ksh100 billion gas pipeline from Dar es Salaam to Mombasa.
The 600-kilometre pipeline will pass through the port city of Tanga to Mombasa and will carry natural gas from the Songo Songo Island and from the Mnazi Bay gas fields in southern Tanzania near the border with Mozambique.
President Uhuru Kenyatta leading Kenya's delegation during the signing of the MOU's on natural gas transportation
PSCUKenyan Company Inks Multi-Million Deal With Tanzanian Govt
The deal comes just a month after Kenya and Tanzanian governments agreed to work together.www.kenyans.co.ke
Mzee unaniletea mtandao wa propaganda upo vizuri kweli kichwani!?Mbona uko mnyonge hivyo? Unahitaji dhaawa yangu inaonekana! Haya eka trako vizuri ukamate hii kitu... 💉💉💉👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Abraaj Group’s Partners: Where Are They Now?
The Abraaj Group Scandal | Sell Side HandbookPrivate Equity International | PEI | Global private equity news & analysis
Private Equity International provides unparalleled global private equity news and analysis focused exclusively on the LP/GP nexuswww.privateequityinternational.com
The Abraaj Group, a Dubai-based private equity firm, is a narrative of success turned dark comedy.The Abraaj Group Scandal | Sell Side Handbook
By Dorina Barna and Jakob René Initially posted on the BSPEC blog The Abraaj Group, a Dubai-based private equity firm, is a narrative of success turned dark comedy. Founded by Arif Naqvi, Abraaj became one of the most influential emerging-market buy-out firms after 16 years of operations with...sellsidehandbook.com
Abraaj CEO Charged With Fraud in U.S. After Firm's ...
The Abraaj Group, which collapsed last year in the world’s biggest private-equity insolvency, were arrested on U.S. charges of defrauding investors...
How Did The Abraaj Group Lose Everything? » ProperGaanda
The Abraaj Group was a private equity firm operating in six continents, known for its diverse portfolio which included education, healthcare, construction, material, banking, transport, etc....How Did The Abraaj Group Lose Everything? » ProperGaanda
Arif Naqvi, the Pakistani founder of the collapsed private equity firm Abraaj Group, has been released from custody after meeting a record bail payment of a 15 million pound ($19 million) security. He was arrested in April in connection with charges he faces in the United States of defrauding...www.propergaanda.com
DFSA Fines Two Abraaj Group Companies A Total Of $315m For ...
Nigeria’s No1 Economy and Financial Information Hub & Scandals/DFSA-Fines-Two...
Internal correspondence showed that Abraaj group’s compliance function raised concerns about the group carrying on unauthorised financial services within the DIFC as early …
Abraaj: The Mother Of All Collapses Dragging Dubai & DIFC ...
30/07/2018 · The repercussions of the Abraaj collapse are also being felt in Karachi, Pakistan where one charitable foundation providing ambulance and other services being sponsored by Abraaj has almost...Abraaj: The Mother Of All Collapses Dragging Dubai & DIFC Towards An Existential Crisis - Voice Of The Markets
Dubai has seen a fair share of real estate collapses, money laundering scandals and criminal arrests over the last decade. Some names that have tarnished DIFC in a very spectacular manner included Sarasin-Alpen CEO’s misselling criminal conviction that led to dismantling of joint enture of...voiceofthemarkets.com
Abraaj’s Naqvi to Face U.S. Charges After Losing Extradition
28/01/2021 · Abraaj Group’s Arif Naqvi lost a bid to fight his extradition to the U.S., another blow to the founder of what was once the Middle East’s largest private-equity fund....
Haya kazi kwako kilaza. Hakuna Wikipedia hapo ujue! 👆 👆 👆 😂 😂 😂 😂 😂
Wacha wakenya, mtu yeyote mwenye exposure kubwa ya biashara kukushinda, ukiwa unafanya naye deal, ukikaa vibaya anakuchota tu, sababu kama huelewi kitu, watarajia nini? Hii ni dunia, without being smart, basi level yako itabakia kuwa ya chini, level ya juu hutawahi kuiweza kabisa. Na hapo sasa ndio kunatofautisha investors/business people wakubwa na wanabiashara wa kawaida, humu duniani. ✌️Mimi naogopa wakenya sana, they’re JamiiForums smart, I think I saw it somewhere KIkuyu people from Kenya are smartest in Africa just behind Igbo people from Nigeria , any business with these people must be throughly investigated before proceedings... samahani km nawakwaza, napitia tuuu....lol
💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ✌️Mzee unaniletea mtandao wa propaganda upo vizuri kweli kichwani!?
Ondoa wehu mzee.