Asante mama Samia Suluhu, kampuni ya Kenya yapokezwa mkataba wa mabilioni Tanzania

Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Wewe akili yako ni mbovu! Kampuni iko wapi? Wafanyikazi ni wa wapi? Nchi inayosambaza hivyo vifaa ni ipi? Tax inaingia kwa serikali ipi? Mwisho nikuulize, Tanzania include Bank of Baroda, Bank of India, Canara Bank, MeTL Group, Dangote Industries Tanzania, Vodacom Tanzania, Viettel Tanzania... nk, nijuhudi za Watanzania??????? 😂 😂 😂 😂 😂
 
Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Hakuna Mhindi aliye lobby kokote, walikidhi stardands za vifaa vyao kwa quality ndio maana wakapewa go ahead kuzisambaza. To be clear, hiyo kampuni iko Kenya toka kitambo tu, sahi ndio mnaijua nyie wazembe.😂😂
"COVID-19 Vaccines Global Access, abbreviated as COVAX, is a worldwide initiative aimed at equitable access to COVID-19 vaccines directed by Gavi, the Vaccine Alliance (formerly the Global Alliance for Vaccines and Immunization, or GAVI), the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations (CEPI), and the World Health Organization (WHO). It is one of the three pillars of the Access to COVID-19 Tools Accelerator."
 
Wahindi noma
 
Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Wacha kulazimisha maneno kijana. It's clearly stated that Recital Healthcare begun operations during Kibaki regime. Je wakati huo kulikuwa na Corona? It's also stated that they only got approval from WHO to produce the specialized syringes. Wewe unasema they lobbied to get the contract. Unless I don't know the true meaning of the word lobby but these people got this contract by merit being that they are one of the only six such companies in the world.

Secondly, this company produces a myriad of other products; 34 in total. Are all these other products associate with corona? Where is it written that their agreement with WHO has anything to deal with covax? I thought covax is a different segment under WHO whose primary goal is to manufacture Covid-19 vaccine. Covaz inaingiaje hapo? Na hata sijaona mahali Covax yenyewe imetajwa kwenye hiyo article.

Lastly, if you read the article to the end, it's stated that this is just one of 20 such companies in Kenya with WHO certification to produce PPEs for the domestic market as well as the export market. There are 19 others like this one. This only shows how serious our manufacturing sector is so brace yourselves for more orders coming from your government because you have 20 companies in Kenya to choose from!
 
You know what you are talking about... Hizo EPZ ziko hilo eneo hua zimeajiri watu wengi sanaaaa!
 
MaguFOOLi alikua hapendi kufanya biashara na Kenya.
Achomwe moto kama hao vifaranga aliochoma mpakani

Kweli alikuwa hapendi kufanya biashara na Kenya?

Kama ni kweli.

Wewe unafikiri kwa nini alikuwa hapendi kufanya biashara na Kenya?
 
Fool clone,

Sasa kama kiwanda kilianza kitambo mbona hatukuwahi kununua toka muda hizo sindano hapo? Si ndio tumeanza kununua hapo Sasa? Na si ni kweli Covax wanachukua sindano hapo ama ni nini?

Na si kiwanda hicho kimekuwa kikubwa baada ya ku-merge na parent group ya India? Na ndio Jayden akazindua upya tena baada ya Kibaki? Au umeleta jipya gani hapa?
 
Wewe sasa ni wa kupuuzwa tu, huna kipya. Najua kinachokusumbua ni kwamba hiki kiwanda kipo Kenya na wala sio Tanzania. Why are you so sire that your government hasn't done business with this company before?

Tupatie merger documents kati ya hii kiwanda na hiyo ya India (which you can't even mention the name) to validate your argument. This facility has been in operation for the last 12 years but you make it sound like it started operating two weeks ago with special emphasis on covid-19. Kwa hivyo corona ikiisha na wao watafunga kazi?
 
Asante sana.
Nicxie umeona sass kwamba ni juhudi za wahindi ku-lobby huko WHO na kupata deal la kusambaza hivyo vifaa tiba worldwide chini ya mpango wa Covax..
Let me make it clear. Hakuna Mhindi yeyote aliyefanya lolote. First, Revital Healthcare (EPZ) Limited Kenya, is 💯 % owned by Abraaj Group, a UK/USA firm based in Dubai. So sielewi unongelelea nini! 🤷🏾‍♂️🥴
 
Let me make it clear. Hakuna Mhindi yeyote aliyefanya lolote. First, Revital Healthcare (EPZ) Limited Kenya, is 💯 % owned by Abraaj Group, a UK/USA firm based in Dubai. So sielewi unongelelea nini! 🤷🏾‍♂️🥴
Mzee akili zako kawadanganye wakenye wanzako washamba. Abraaj Owner wake ni jamaa toka Pakistan. Once upon a time Pakistan was a part of India

 
Mzee akili zako kawadanganye wakenye wanzako washamba. Abraaj Owner wake ni jamaa toka Pakistan. Once upon a time Pakistan was a part of India

View attachment 1825455
Wewe kilaza kama wabongo wenzako, Abraaj Group iliuzwa kwa Colony Capital, Actis Capital, na TPG Capital in 2018 baada ya kuwa na deni la $1.1 billion, including $501.4 million to unsecured creditors and $572.4 million to secured creditors. Hizo firm tatu niza wazungu wa UK na USA.
Fala sana wewe, toka wikipedia, unafikiri una akili sana! 😬😬😬🥴
Hii hapa chini uliona aibu kuiweka ama???🤷🏾‍♂️ 😂 😂 😂 👇👇 💉💉💉
 
Mzee mbona unalazimisha!? Hiyo Wikipedia hata mimi naweza edit. Tuondolee upumbavu wako.
 


That is it.
 
Mzee mbona unalazimisha!? Hiyo Wikipedia hata mimi naweza edit. Tuondolee upumbavu wako.
Mbona uko mnyonge hivyo? Unahitaji dhaawa yangu inaonekana! Haya eka trako vizuri ukamate hii kitu... 💉💉💉👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Abraaj Group’s Partners: Where Are They Now?
The Abraaj Group Scandal | Sell Side Handbook
The Abraaj Group, a Dubai-based private equity firm, is a narrative of success turned dark comedy.
Abraaj CEO Charged With Fraud in U.S. After Firm's ...
The Abraaj Group, which collapsed last year in the world’s biggest private-equity insolvency, were arrested on U.S. charges of defrauding investors...
How Did The Abraaj Group Lose Everything? » ProperGaanda
The Abraaj Group was a private equity firm operating in six continents, known for its diverse portfolio which included education, healthcare, construction, material, banking, transport, etc....
DFSA Fines Two Abraaj Group Companies A Total Of $315m For ...
Nigeria’s No1 Economy and Financial Information Hub & Scandals/DFSA-Fines-Two...
Internal correspondence showed that Abraaj group’s compliance function raised concerns about the group carrying on unauthorised financial services within the DIFC as early …
Abraaj: The Mother Of All Collapses Dragging Dubai & DIFC ...
30/07/2018 · The repercussions of the Abraaj collapse are also being felt in Karachi, Pakistan where one charitable foundation providing ambulance and other services being sponsored by Abraaj has almost...
Abraaj’s Naqvi to Face U.S. Charges After Losing Extradition
28/01/2021 · Abraaj Group’s Arif Naqvi lost a bid to fight his extradition to the U.S., another blow to the founder of what was once the Middle East’s largest private-equity fund....

Haya kazi kwako kilaza. Hakuna Wikipedia hapo ujue! 👆 👆 👆 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mkuu tuwekee na habari ya kampuni ya Tanzania iliyopata mkataba wa nguvu kutoka Serikali ya Kenya.
 
Mzee unaniletea mtandao wa propaganda upo vizuri kweli kichwani!?
Ondoa wehu mzee.
 
Wacha wakenya, mtu yeyote mwenye exposure kubwa ya biashara kukushinda, ukiwa unafanya naye deal, ukikaa vibaya anakuchota tu, sababu kama huelewi kitu, watarajia nini? Hii ni dunia, without being smart, basi level yako itabakia kuwa ya chini, level ya juu hutawahi kuiweza kabisa. Na hapo sasa ndio kunatofautisha investors/business people wakubwa na wanabiashara wa kawaida, humu duniani. ✌️
 
Mzee unaniletea mtandao wa propaganda upo vizuri kweli kichwani!?
Ondoa wehu mzee.
💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 💉 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…