Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Uchaguzi lazima urudiwe ndo gharama
za demokrasia hizoKwa uchumi gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
za demokrasia hizoKwa uchumi gani.
Apuuzwe
Ila katoa mapendekezo mazuri sana,Raisi ikitokea kafariki uitishwe uchaguzi baada ya miezi miwili,mitatu mingi sana anaweza nogewa
Zipi mkuu?? Hebu zitajeZote zipo
Sawa mkuu maoni yako yaheshimiweNrudia tena katiba mpya ndio kabur la chama chakavu,kama vp muulize mzee wa msoga nn kilimfanya ageuke mwishon ktk mchakato wa kutafuta katiba mpya????
Kabisa.KIJA YUNNUS akaanza ujinga wake wa kusema"Mama kasema tusubiri kwanza"..ndio Mama kasema hivyo ila Maxence anachoshauri/anachosisitiza ni kuwa mchakato ufanyike haraka..
Mello alitisha sana that day..
Sawa mkuu.Katiba mpya inaweza kuandikwa lakini ikawa mbovuuuu kuliko hata iliyopo sasa hivi.
Katiba nzuri ya wananchi haiwezi kuandikwa na wanasiasa.
Hana uelewa mkubwa wa mambo ya utawala ndio maana.Unafikiri uchaguzi ni kama kununua nyanya sokoni!?
Na taarifa tunazo kwamba wamepanga kumfelisha mama katika hili.Wanajulikana kwa majina ya vyawa. Walikuwa vinara wa kupinga uwepo wa katiba mpya. Hawakujua rais madarakani anaweza kutangulia pia.
Kundi lile lile la kikabila lililopanga kumzimia mama urais kwa mujibu wa katiba iliyopo.
Tatizo la watu kama wewe ni kuwa mnajichanganya, pengine kwa kutojua.Kwa wananchi: Tunaendelea kusisitiza kwamba, Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
Viva Mama Samia! Muda ni sasa!
Mkuu,Hajaingilia dirishani kumbuka wote wawili walizunguka nchi nzima wakiomba kura.
Hata kule US ikitokea Biden mwenye miaka 79 akafariki yule mama anachukua nchi.
Acheni dharau kijana.
Ndiyo itapunguza matatizo mengi ya watanzania, muda wote katiba inafatwa tena kwa ukubwa sana hata pale kwenye mwanya mdogo pasipofatwa watu wanajulisha serikali mapungufu hayo na yasipofatwa kelele za kuikumbusha serikali zinaendelea.Katiba mpya ndio suluhisho la Matatizo mengi ya nchi yetu. Sio matatizo yote, narudia kusema matatizo mengi. Maana katiba ni muongozo tu kama ilivyo Qur an au bible.
Leo Qur an ipo na waislam hawaofuati, bible ipo na wakristo hawaifuati ni kipi kinachokuonyesha watanzania watakuja kuifuata katiba mpya???
Kwahiyo katiba mpya tunaitaka maana itatusaidia kupunguza matatizo mengi yanayotusibu Watanzania.
Mkuu,Kwenye kuuzwa hapana... Alichokiongea ni muhimu sana... Yes, tutaingia gharama za uchaguzi, lakini ndo gharama za demokrasia
Ila katoa mapendekezo mazuri sana,Raisi ikitokea kafariki uitishwe uchaguzi baada ya miezi miwili,mitatu mingi sana anaweza nogewa
Kabla sijajibu mkuu, tafadhali naomba ongezea maelezo zaidi.Ni wazo zuri lakini sio wakati sahihi.Panahitajika political willingness ya hali ya juu sana kufanikisha wazo hili.Nazungumzia utayari wa watu Ku sacrifice masilahi yao ya sasa kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo,siuoni utayari huo katika taifa hili kwa sasa.
Unfortunately nipo mbali na nakala ya RASIMU niliyonayo.. ningekuwekea at least front page.. RASIMU ipo.. Ya WariobaZipi mkuu?? Hebu zitaje
Wazee wa COVID 19 mpo machoKutakuwa pia hakuna viti maalum
Katiba mpya ndiyo jibu
Ova
Tuwasaidie Watanzania wenzetu kwa kuendelea kuwapa elimuMkuu uchaguzi bajeti yake sio ya kitoto. Mama huyu huyu anapiga kazi.