Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
ni wale wanaolipwa buku sabaMaccm mimi sijui lakini wapo CCM ambao tunataka katiba mpya maana tunajua katiba hii ni kipusa.
Au johnthebaptist unasemaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wale wanaolipwa buku sabaMaccm mimi sijui lakini wapo CCM ambao tunataka katiba mpya maana tunajua katiba hii ni kipusa.
Au johnthebaptist unasemaje??
Wananchi tutamlazimisha akikataa,Hadi 2045.
Mama sio mroho wa madaraka. She has a mission, once it is completed she will go and rest in Makunduchi.
Mkuu ndani ya chama tupo ambao hatukukubaliana hata kidogo na yaliyokuwa yakifanywa.Wananchi tutamlazimisha akikataa,
Kama nyinyi mlivyotaka kumlazimisha dikteta atawale milele, hatma yake ameangamia milele
Hakika mkuuBravo Maxence Melo kuwakilisha mawazo ya wengi kikamilifu.
Tulipofikia Tanzania katiba mpya itatutoa hapa tulipokwamia.
Kweli bwashee katiba mpya ni muhimu!Maccm mimi sijui lakini wapo CCM ambao tunataka katiba mpya maana tunajua katiba hii ni kipusa.
Au johnthebaptist unasemaje??
Kwa hiyo wewe na Mtikila mna tofauti gani?Unaongelea haki yetu?? Mchungaji Mtikila kaondoka hajaipata "haki yake" , unalijua hili???
Munaona sasa wadau.Kweli bwashee katiba mpya ni muhimu!
EeenHeee, kuomba kuonana na rais unakufananisha na kuomba upewe katiba mpya ya nchi?Pamoja mkuu.
Tumuunge mkono Mama na furaha inakuja.
Unaona Umma ulivyofurahi kwa kilio Chao cha muda mrefu juu ya DC Sabaya kusikilizwa na mamlaka na uchunguzi kufanyika???
Halafu mtu kama Kalamu1 anahoji why tunamuomba omba Mtanzania mwenzetu kwa mambo ambayo ni haki yetu??
Anasahau kuonana na Rais ni haki ya kila Mtanzania lakini mtu kama Mbowe imebidi aombe na asubirie pia kwenye foleni.
Huyu Sabaya si alikuwepo wakati wa hayati Magufuli?? Mbona aliangaliwa tu?? Na hatukuwa na cha kufanya!!!!
Marekani hawana Waziri Mkuu kwa hiyo kazi za Waziri Mkuu zinafanywa na Makamu wa Rais ndo maana wa Marekani pia ndo Mwenyekiti wa Senate tofauti na wa kwetu anayengoja miaka 10 bila kazi mpaka Rais afariki ili aanze kazi ya Urais. Rais asipokufa madarakani, Makamu atakuwa amelipwa mshahara muda wote kumwombea afe ili arithi!Hajaingilia dirishani kumbuka wote wawili walizunguka nchi nzima wakiomba kura.
Hata kule US ikitokea Biden mwenye miaka 79 akafariki yule mama anachukua nchi.
Acheni dharau kijana.
Yap! ita solve 75% ya matatizo yetuKatiba mpya ndio suluhisho la Matatizo mengi ya nchi yetu. Sio matatizo yote, narudia kusema matatizo mengi. Maana katiba ni muongozo tu kama ilivyo Qur an au bible.
Leo Qur an ipo na waislam hawaofuati, bible ipo na wakristo hawaifuati ni kipi kinachokuonyesha watanzania watakuja kuifuata katiba mpya???
Kwahiyo katiba mpya tunaitaka maana itatusaidia kupunguza matatizo mengi yanayotusibu Watanzania.
Makamu anafanya kazi hali mshahara wa bure.Marekani hawana Waziri Mkuu kwa hiyo kazi za Waziri Mkuu zinafanywa na Makamu wa Rais ndo maana wa Marekani pia ndo Mwenyekiti wa Senate tofauti na wa kwetu anayengoja miaka 10 bila kazi mpaka Rais afariki ili aanze kazi ya Urais. Rais asipokufa madarakani, Makamu atakuwa amelipwa mshahara muda wote kumwombea afe ili arithi!
Na wachini anaweza kumuondoa wa juu yake ili akae yeye hii mbaya sanaKatika katiba mpya kiwepo kipengele cha ikitokea Rais amefariki au kushindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu zozote uchaguzi ufanyike ndani ya miezi 3 mambo ya mtu kuingilia dirishani hatutaki tena.
Akili imekuruka, akiwa anaomba kura kwa nafasi ya ugombea mwenza ukumuona? Au unajifanya hujui nafasi hiyo inamaana gani? Na kwa taarifa yako, huyu ni bora kuliko huyo uliemwabudu!Katika katiba mpya kiwepo kipengele cha ikitokea Rais amefariki au kushindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu zozote uchaguzi ufanyike ndani ya miezi 3 mambo ya mtu kuingilia dirishani hatutaki tena.
Kabisa mkuu.Yap! ita solve 75% ya matatizo yetu
Tatizo kubwa sana hili.Makamu anafanya kazi hali mshahara wa bure.
Mama Samia alikuwa anahudhuria mikutano ya UN pia alikwenda Afrika ya kusini kumwakilisha hayati JPM.
Tatizo letu la jumla ni kuwa na fikra za kudharau kazi ngumu wanazofanya viongozi wa nchi.
Urais kuukosoa ni kazi nyepesi lakini ni shughuli nzito sana.
HahahahaTatizo clouds wanaweza hata kuficha maneno ya melo ili kuhakikisha mama hayasikii , sijawahi kuiamini hii media
Na ndio tupo tunasubiria.mama alishatoa msimamo wake kuhusu swala la katiba