Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #61
Hadi 2045.Jiue we msukuma,,na mama yupo hadi 2045
Mama sio mroho wa madaraka. She has a mission, once it is completed she will go and rest in Makunduchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi 2045.Jiue we msukuma,,na mama yupo hadi 2045
Ni kweli mkuu.Lakini kuna amani na utulivu kwa sababu ya hivyo vitabu.
Swala sio tu kupata katiba mpya,,muhimu zaidi ni kupata katiba itakayokidhi matarajio ya nyakati tulizopo.Ni kweli palianzishwa mchakato wakati wa Rais kikwete lakini mchakato uliharibika baada ya mapendekezo muhimu ya tume ya jaji warioba kutupwa pembeni,na hapo ndipo nikasema political willingness ni muhimu sana na bahati mbaya sioni dalili ya hali hii kubadilika miaka ya hivi karibuni.Kabla sijajibu mkuu, tafadhali naomba ongezea maelezo zaidi.
Hebu tuonyeshe hiyo willingness haipo kivipi?? Indicators ni zipi.?
Maana wenye maslahi daima hawatokubali kupoteza maslahi yao. Mbona mzee kikwete aliuanzisha mchakato vizuri tu na tulikuwa tunakwenda??? Inahitaji kiongozi kukaza tu kwamba katiba lazima ipatikane.
Hebu please ongezea maelezo kwa faida ya wengi.
Angalizo: Mama ataupitia huu uzi, kwa hiyo tumsaidieni Mama mawazo hapo please.
Mkuu,Ndo tunataka demokrasia ina gharama zake pamoja na hizi,halafu hatutegemei Kifo kitokee mara kwa mara,kuliko kupata Raisi ambaye hakuchaguliwa kuwa Raisi bali Makamu kama ilivyotokea kwa hili libushuti
The best thread ever; asante sanaSawa ila kwa sasa wacheni ujuaji.
Tume ya warioba ilipopita kukusanya maoni hukutoka, ukatuona sisi tuliokwenda kutoa maoni ni wajinga. Leo unajifanya una kimbelembele cha kutoa maoni.
Tulia kwanza mama aliweke sawa hili halafu maoni yako yataanza kupokelewa. Wewe unadhani uchaguzi wa rais unafanyika tu kiholela holela???
Kuna masuala katika maisha yapo hivyo hivyo yalivyo hata iweje.Tatizo la watu kama wewe ni kuwa mnajichanganya, pengine kwa kutojua.
Unamwomba mtu Katiba mpya. Hiyo pekee inakuonyesha kwamba anaweza akakataa au akaendelea kuykdanganya, hasa kwa mtu uliyejipambanua mbele kabisa jinsi unavyomsifia hapa.
Kesho utakuja na visingizio chungu nzima, akishakudanganya au kukatalia ombi lako.
Hatuwezi kuwa tunabaki kuwa omba omba kwa hawa waTanzania wenzetu. Tena tunaomba kitu ambacho ni HAKI yetu kukipata!
Ni kweli mkuu.Ndiyo itapunguza matatizo mengi ya watanzania, muda wote katiba inafatwa tena kwa ukubwa sana hata pale kwenye mwanya mdogo pasipofatwa watu wanajulisha serikali mapungufu hayo na yasipofatwa kelele za kuikumbusha serikali zinaendelea.
Hawa watu aina ya Maxence Melo huwa ni very rare kupatikana kwenye jamii.Ile interview niliipenda Sana na nilipata kujifunza kutoka kwake ya kwamba tusiogope chochote Wala yeyote ilimradi tu sheria haivunjwi.
Akasisitiza kitu Cha kuogopa ni woga peke yake!
Asante sama maxence melo
SawaUnfortunately nipo mbali na nakala ya RASIMU niliyonayo.. ningekuwekea at least front page.. RASIMU ipo.. Ya Warioba
Hili mkuu halitoweza kubadilika milele. Lazima tutambue udhaifu wa kibinaadam.Swala sio tu kupata katiba mpya,,muhimu zaidi ni kupata katiba itakayokidhi matarajio ya nyakati tulizopo.Ni kweli palianzishwa mchakato wakati wa Rais kikwete lakini mchakato uliharibika baada ya mapendekezo muhimu ya tume ya jaji warioba kutupwa pembeni,na hapo ndipo nikasema political willingness ni muhimu sana na bahati mbaya sioni dalili ya hali hii kubadilika miaka ya hivi karibuni.
Toa maoni yako mkuu.Alichoona Cha Maana huyu jamaa wa Jamiiforum ni kuomba Katiba. Itasaidia vipi Maendeleo ya nchi hii? Wakenya walipata Katiba mpya imewachosha kila mtu ana Sharubu huko
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Pamoja mkuu.The best thread ever; asante sana
Kenya walijaribu lakini haijawasaidia sana.Katiba mpya au iliyoboreshwa ni nzuri Sana
Lakini je hao waandishi wa katiba mpya ni wakina Nani?
Tusije kukuta tunaleta vitu vya ajabu
Maccm mimi sijui lakini wapo CCM ambao tunataka katiba mpya maana tunajua katiba hii ni kipusa.kwani maccm wanasemaje?
Kenya ni Kenya na Tanzania ni Tanzania mkuu.Kenya walijaribu lakini haijawasaidia sana.
Haya ni mawazo yako mkuu. Tuyaheshimu sana.Hii iliyopo inatutosha.
Mengine watatuongezea wazungu, hata haina haja ya katiba maana hata hii tunaivunja, tuchanganywe na vitu vingi
Ndio mkuuHaya ni mawazo yako mkuu. Tuyaheshimu sana.
Ahsante kwa mawazo