The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hata kama wangekuwepo wote 100% swala la msingi ni uongozi na mtizamo wa kiongozi wao kipindi hicho.Sijui una maana gani kwa kauli yako maana more than 85% ya viongozi wa sasa walikua awamu iliyopita.
Rais alikua VP , VP alikua Finance Minister, PM yule yule. Mawaziri walikuwepo pia.
Unaposema awamu ya 5 haiaminiki unamaanisha kwamba tusiwaamini hawa wa sasa pia maana ni wale wale tu.
Basi Tatizo lako ilikua ni Magufuli na sio swala la utalii kuongezeka au la.Hata kama wangekuwepo wote 100% swala la msingi ni uongozi na mtizamo wa kiongozi wao kipindi hicho.
Ni Uongozi mbovu wa MagufuliBasi Tatizo lako ilikua ni Magufuli na sio swala la utalii kuongezeka au la.
Huwezi mtenganisha Samia na ubovu wa uongozi wa Magufuli maana ndiye alikua msaidizi wake namba 1.Ni Uongozi mbovu wa Magufuli
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.
Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.
Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.
Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.
Thank you mama.
VP sio mtendaji kwa nafasi yake,Rais na PM ndio wahusika wakuu.Huwezi mtenganisha Samia na ubovu wa uongozi wa Magufuli maana ndiye alikua msaidizi wake namba 1.
Chochote kilichofanyika awamu ya tano Rais wa sasa ni sehemu yake iwe baya au zuri.
Ikiuma unachomoa tu kwanini uteseke wakati kaburi la baba liko hapo chato tu?Wapiga zumari wa Mandarin
Mtatumika sana kwenye kuwapaisha wenzenu maana nyota zenu ni PUNDA.