Asante sana Bernard Kammilius Membe, Una kichwa kikali na ni mzalendo wa kweli

Asante sana Bernard Kammilius Membe, Una kichwa kikali na ni mzalendo wa kweli

Umeandika vizuri umejitahidi kuelezea kwa uelewa wako picha ilivyo na kujaribu kuwaaminisha wapinzani nguvu ya Membe ambayo kimsingi mimi binafsi siioni.

Labda nikuulize kitu; hivi Membe angebahatika toka mwanzo wa utawala huu kupewa mojawapo ya teuzi za juu unaamini leo hii angekuwa anafanya na kusema hayo ya demokrasia na mengine?

Kwangu mimi namuona Membe kama mtu mwenye hasira na utawala huu uliopo, kama ilivyokuwa kwa Lowassa na JK, Membe amekuwa msema hovyo zaidi kwenye utawala huu baada ya kuona amekuwa ignored, vinginevyo kama angepewa chochote angekuwa kimya anakula maisha.

Kelele zake za demokrasia alitakiwa azipige toka akiwa serikalini ndio ningemuona anajielewa, lakini kuzipiga leo hana maana.
 
Membe anakuzwa sana, jamaa ni under dog tu

Hata kwny cabinet ya kwanza ya Jk iliyojaa vingunge 2005 alikuwa Naibu Waziri na kilichomuibua ni shavu alilopata Migiro

JK Kamtumia kama chambo cha kuwaingiza maboya kina Lowasa miaka ile wakajikuta wanatumia nguvu kupambana na kivuli na kumuacha Mgombea wa Chama salama

'…Wewe ( JPM) nenda kachukue fomu, …kufaa kwako au kutokufaa tutajua sie…'_Jk 2015

Siku ya kukabidhiwa Tausi kwa Ma Rais wastaaf…Jpm alijikuta anaropoka kuwa Jakaya alianza kumtembeza Ikulu na kumkabidhi Ofisi kidogo kidogo hata kabla kampen hazijaanza…

Membe kasahau kuwa Seif alishindwa kuwa Rais 1984, JAN6 mpaka leo ni mwaka wa 36 anamaliza soli za viatu

Umeshindwa kuwa Rais ukiwa Ccm ndo utaweza kupitia ACT?
Kwanini anaogopwa sasa?
Weka tume huru tuone nani atachukua nchi.
 
Tukio lililotokea jana la Mheshimiwa Membe Kutangaza Kujitoa "RASMI" ndani ya chama cha CCM sisi wapenzi wa Demokrasia tumelipokea kwa furaha kubwa, na kwa hakika limethibitisha jambo moja kuhusu Mheshimiwa Membe, nalo ni kwamba Brother Bernard Kammilius Membe hatanii, habeep, Anapiga!. Sisi wapenda demokrasia tunachambua kitendo hicho cha Membe kama ifuatavyo:

1. Membe ameukwepa mtego aliokuwa amewekewa na Jiwe
Sote tunajua wazi, Kufukuzwa kwa uananchama wa Ndugu Membe kulitokana na hofu tu ya Jiwe asipate ushindani ndani ya Chama katika kinyang'anyiro cha kugombea uchaguzi kupitia CCM. Maamuzi ya kumfukuza uanachama hayakuwa halali kwa mujibu wa katiba ya chama chao kwa hiyo kikanuni Membe alikuwa bado ni mwanachama halali kabisa ila kwa mujibu wa Udikteta wa mtu fulani hakuwa mwanachama.

Kikao kinachopaswa kuthibitisha kufukuzwa uanachama wa Membe ni halmashauri kuu ya chama, kwa hiyo ni dhahiri kikao hicho kingeitishwa baada ya zoezi la kuchukua fomu ndani ya chama hicho kufungwa na hivyo kama maamuzi ya kumfukuza yangekubaliwa au kukataliwa na kikao hicho tayari Membe angekuwa ameshapitwa na deadline ndani ya chama ya kuchukua fomu, na pia kwa muda huo tayari angekuwa amechelewa basi la upinzani ambalo by that time lingekuwa limeshaweka tayari options zake!

Kitendo cha Membe kuamua kuchomoka mwenyewe RASMI sasa ni timing nzuri sana, na hii inathibitisha uwezo mkubwa wa Mheshimiwa Membe wa kupiga mahesabu ya kisiasa!. Sasa hivi yupo kwenye better position kisiasa kuliko kama angeendelea kung'ang'ania kusubiri maamuzi ya kikao cha Halmashauri kuu Taifa ya CCM juu ya hatma yake.

2. Membe ana uchungu na nchi hii na ni mzalendo wa kweli
Kitendo cha kupambana akiwa ndani ya chama, wakati kila mtu ndani ya CCM akiwa ameufyata, kuogopa au kujipendekeza kwa Jiwe, hata hivyo Membe aligoma katakata kulamba viatu vya Jiwe. Membe alisimama na kusema ukweli juu ya namna nchi inavyoendeshwa. Membe anakumbukwa kwa kukemea siasa za hofu, siasa za kuumiza wapinzani, siasa za maguvu badala ya kupambana kwa hoja. Wakati Membe anasimama na kuyazungumza haya, hakuna key figure ndani ya CCM aliyekuwa akisimama waziwazi na kuyasemea haya. Kwa muktadha huu namuona Membe kama mtu ambaye enzi za ujana wake alifanya kazi Ikulu ya mwalimu nyerere kwa muda mrefu, Ni dhahiri ameathiriwa sana na falsafa za bosi wake huyo wa zamani katika kusimama bila woga kutetea haki na kupinga na kuchukizwa na vitendo vya uonevu dhidi ya watu wengine. Kwa muktadha huu ni dhahiri Membe ni mzalendo wa kweli sana.

3. Upinzani hauna haja ya kumhofia mheshimiwa Membe
Kuna wale ambao walikuwa dissapointed na Ujio wa Lowasa na kitendo ambacho Lowasa aliwafanyia wapinzani. Kiukweli kabisa siyo sahihi kumlinganisha mheshimiwa Membe na Lowasa. Kwanza Malengo ya kugombea urais kati ya Lowasa na Membe ni tofauti. Drive mojawapo kubwa ya Lowasa ya kugombea uraisi kwa udi na uvumba ilikuwa ni Kusettle score na akina JK. Lowasa alitaka kuwaonyesha kuwa naye anaweza kukalia hicho kiti akawanyoosha kama walivyomnyoosha yeye kwenye Richmond.

Lowasa hajawahi kuwa na Ajenda ya kupanua demokrasia zaidi au kutetea utawala wa sheria na ndiyo maana hajawahi tangu akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM kutetea demokrasia pana isipokuwa tu pale maslahi yake yalipoguswa (mfano kutohojiwa kwenye ishu ya richmond, au alipokatwa ndani ya CCM). Tofauti na Membe ambaye kwenye utawala huu, kaonyesha wazi hapendi mambo ya kidiktetadikteta. Kwa muktadha huu, values za Membe zinaalign zaidi na msimamo wa upinzani kuliko Lowasa, hivyo ni sahihi wapinzani kumpokea na kushirikiana naye kulichomoa Jiwe kwenye uchaguzi unaokuja.


4. Kama CCM inanunua wapinzani, kuna ubaya gani upinzani ukachukua Majembe yanayoikacha CCM bure?
Siasa ni watu na mikakati. Kitendo chochote kinachochochea mgogoro au dissatisfaction kwenye kambi ya mwenzio basi kwako ni faida. Kitendo chochote kinachopelekea kuondoka kwa mwanachama au waunga mkono wa chama hicho na kuja kambi yako kisiasa ni jambo zuri cha msingi liwe managed vizuri!. Kama CCM inanunua wapinzani, kwa nini upinzani uone haya kuchukua watu potential waliomo ndani ya CCM?

Membe siyo mtu mdogo, ni mtu mzito, ana watu wengi mikoa ya kusini waliochoshwa na kuonewa kwao kwenye ishu nyingi ikiwemo korosho. Utamuachaje mtu kama huyu?, Yaani chance ya kupata kura za kusini uiachie hivi hivi wewe utakuwa mwanasiasa gani?. Najua hofu ni Lowasa, lakini kimsingi Namna issue ya Lowasa ilivyokuwa handled toka mwanzo ilikosewa. Lowasa alitakiwa apewe terms siyo yeye kudictate terms all tje time. Naamini Membe atakuwa teamworker zaidi kuliko kujiinua na kutaka chama na upinzani kumtumikia yeye badala ya yeye kushirikiana na wenzie as a team kuleta mabadiriko chanya ndani ya nchi.

5. Wananchi wanangoja kwa hamu maamuzi ya upinzani
Kiukweli kabisa kabisa kuna kundi la wana CCM wanaujuua ukweli kuwa upinzani kwa sasa ni kama volcano iliyodormant, wanajua kuwa upinzani upo na una nguvu isipokuwa kwa utaratibu wa kidikteta uliofanywa na utawala huu uko dormant temporarily. Nguvu hii ya Upinzani inahitaji Spark ili ilipuke, Spark kubwa ni kuonyesha Umoja, Mshikamano na kuwapa wananchi mtu aliyepikwa akapikika kiuongozi, mtu ambaye ana uwezo wa ushawishi na kujenga hoja, mtu ambaye akili yake ni inacharge.

Kwa hakika upinzani utanufaika sana na uwepo wa Membe katika rank za majemedari wao wa kulichomoa jiwe kwenye uchaguzi ujao. Hebu fikiria vichwa kama Lissu, Zitto, Mnyika, Mbowe, Maalim, Membe, Nyalandu vishirikiane kuzunguuka nchi nzima kupiga kampeni ya kulichomoa jiwe hali ya kisiasa nchini itakuwaje?. Mimi naona Patachimbika aisee, CCM watakuwa na wakati mgumu sana.

Hitimisho
Kitendo alichokifanya Membe cha kukataa kulamba viatu, na kusimama ndani ya chama kutaka mtawala anayekuwa amemaliza mhula wake wa kwanza awe challenged ni kitendo kizuri sana kwa mustakbali wa demokrasia na maendeleo yetu. Kitendo hicho kinasaidia mtawala asijione yuko entitled kutawala miaka kumi, bali aone kuwa kazi yake itakuwa evaluated kila baada ya miaka mitano na asipotosha chama kitamtoa.

Kwa muktadha huu Membe kapigania haki za wana CCM wengi kwenye suala la haki ya kuchagua au kuchaguliwa, haki ambayo pia inalindwa na katiba ya nchi. Kwa mitendo hiki tu ni dhahiri pia kuwa kama Membe atakuwa raisi, atatawala kwa mujibu wa sheria na katiba na hivyo hatokuwa dikteta!

Kwa maana hiyo kama ukinipa uchaguzi leo kati ya Membe na Magufuli, Membe anaweza kuwa booonge la raisi

Membe yuko vizuri
Membe anafaa!
Ni vizuri Membe kuondoka chama Tawala ila sio sawa na haitokuwa sawa kupewa nafasi ya kugombania uraisi.
Akili za mwanadamu sio za kuku ambazo baada ya dk mbili tu zinasahau kila kitu. Upinzani umejifunza mengi sana kwa wanaotoka CCM na kuamia upinzani kwa ndoto tu za kupata Madaraka.

CCM haitaondolewa madarakani na mamruki, CCM itaondolewa madarakani na wapinzani wa kweli wanaojua nini maana ya nguvu ya umma.

Membe hawezi kuhamasisha nguvu ya umma kulinda kura, kupinga wizi wa kura na kukataa matokeo ya kura ya Wizi hadi kieleweke. Ni wapinzani halisi tu aina ya Tundu Lissu na wenye itikadi nae sawa wanaoweza kufanya ivo.

Mwaka huu sio wa bahati nasibu ila ni mwaka wa upinzani halisi kupigania haki yao.

Yaliyotokea uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo yanayopangwa kufanywa kwenye uchaguzi mkuu hapo October. Ni people’s power tu ndo itaweza kuondoa huu udharimu wa CCM na si yeyote mwingine zaidi ya TUNDU ANTIPAS LISSU anayeweza kuhamaisha haya.
 
Mkuu Pohamba nadhani membe ni karata nyingine kwa ccm kumsaidia jpm kwa kugawa kura za wapinzani!!!Kwani Lisu akisimama na jpm pekee bila mtu wa tatu tena mbele ya macho ya mabeberu itakuwa tabu kwa ccm!!!Mwache membe aende ACT,LISU CHADEMA NA JPM CCM ILI HESABU ZA KU BALANSI MATOKEO ZIWE RAHISI!!
 
Tukio lililotokea jana la Mheshimiwa Membe Kutangaza Kujitoa "RASMI" ndani ya chama cha CCM sisi wapenzi wa Demokrasia tumelipokea kwa furaha kubwa, na kwa hakika limethibitisha jambo moja kuhusu Mheshimiwa Membe, nalo ni kwamba Brother Bernard Kammilius Membe hatanii, habeep, Anapiga!. Sisi wapenda demokrasia tunachambua kitendo hicho cha Membe kama ifuatavyo:

1. Membe ameukwepa mtego aliokuwa amewekewa na Jiwe
Sote tunajua wazi, Kufukuzwa kwa uananchama wa Ndugu Membe kulitokana na hofu tu ya Jiwe asipate ushindani ndani ya Chama katika kinyang'anyiro cha kugombea uchaguzi kupitia CCM. Maamuzi ya kumfukuza uanachama hayakuwa halali kwa mujibu wa katiba ya chama chao kwa hiyo kikanuni Membe alikuwa bado ni mwanachama halali kabisa ila kwa mujibu wa Udikteta wa mtu fulani hakuwa mwanachama.

Kikao kinachopaswa kuthibitisha kufukuzwa uanachama wa Membe ni halmashauri kuu ya chama, kwa hiyo ni dhahiri kikao hicho kingeitishwa baada ya zoezi la kuchukua fomu ndani ya chama hicho kufungwa na hivyo kama maamuzi ya kumfukuza yangekubaliwa au kukataliwa na kikao hicho tayari Membe angekuwa ameshapitwa na deadline ndani ya chama ya kuchukua fomu, na pia kwa muda huo tayari angekuwa amechelewa basi la upinzani ambalo by that time lingekuwa limeshaweka tayari options zake!

Kitendo cha Membe kuamua kuchomoka mwenyewe RASMI sasa ni timing nzuri sana, na hii inathibitisha uwezo mkubwa wa Mheshimiwa Membe wa kupiga mahesabu ya kisiasa!. Sasa hivi yupo kwenye better position kisiasa kuliko kama angeendelea kung'ang'ania kusubiri maamuzi ya kikao cha Halmashauri kuu Taifa ya CCM juu ya hatma yake.

2. Membe ana uchungu na nchi hii na ni mzalendo wa kweli
Kitendo cha kupambana akiwa ndani ya chama, wakati kila mtu ndani ya CCM akiwa ameufyata, kuogopa au kujipendekeza kwa Jiwe, hata hivyo Membe aligoma katakata kulamba viatu vya Jiwe. Membe alisimama na kusema ukweli juu ya namna nchi inavyoendeshwa. Membe anakumbukwa kwa kukemea siasa za hofu, siasa za kuumiza wapinzani, siasa za maguvu badala ya kupambana kwa hoja. Wakati Membe anasimama na kuyazungumza haya, hakuna key figure ndani ya CCM aliyekuwa akisimama waziwazi na kuyasemea haya. Kwa muktadha huu namuona Membe kama mtu ambaye enzi za ujana wake alifanya kazi Ikulu ya mwalimu nyerere kwa muda mrefu, Ni dhahiri ameathiriwa sana na falsafa za bosi wake huyo wa zamani katika kusimama bila woga kutetea haki na kupinga na kuchukizwa na vitendo vya uonevu dhidi ya watu wengine. Kwa muktadha huu ni dhahiri Membe ni mzalendo wa kweli sana.

3. Upinzani hauna haja ya kumhofia mheshimiwa Membe
Kuna wale ambao walikuwa dissapointed na Ujio wa Lowasa na kitendo ambacho Lowasa aliwafanyia wapinzani. Kiukweli kabisa siyo sahihi kumlinganisha mheshimiwa Membe na Lowasa. Kwanza Malengo ya kugombea urais kati ya Lowasa na Membe ni tofauti. Drive mojawapo kubwa ya Lowasa ya kugombea uraisi kwa udi na uvumba ilikuwa ni Kusettle score na akina JK. Lowasa alitaka kuwaonyesha kuwa naye anaweza kukalia hicho kiti akawanyoosha kama walivyomnyoosha yeye kwenye Richmond.

Lowasa hajawahi kuwa na Ajenda ya kupanua demokrasia zaidi au kutetea utawala wa sheria na ndiyo maana hajawahi tangu akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM kutetea demokrasia pana isipokuwa tu pale maslahi yake yalipoguswa (mfano kutohojiwa kwenye ishu ya richmond, au alipokatwa ndani ya CCM). Tofauti na Membe ambaye kwenye utawala huu, kaonyesha wazi hapendi mambo ya kidiktetadikteta. Kwa muktadha huu, values za Membe zinaalign zaidi na msimamo wa upinzani kuliko Lowasa, hivyo ni sahihi wapinzani kumpokea na kushirikiana naye kulichomoa Jiwe kwenye uchaguzi unaokuja.


4. Kama CCM inanunua wapinzani, kuna ubaya gani upinzani ukachukua Majembe yanayoikacha CCM bure?
Siasa ni watu na mikakati. Kitendo chochote kinachochochea mgogoro au dissatisfaction kwenye kambi ya mwenzio basi kwako ni faida. Kitendo chochote kinachopelekea kuondoka kwa mwanachama au waunga mkono wa chama hicho na kuja kambi yako kisiasa ni jambo zuri cha msingi liwe managed vizuri!. Kama CCM inanunua wapinzani, kwa nini upinzani uone haya kuchukua watu potential waliomo ndani ya CCM?

Membe siyo mtu mdogo, ni mtu mzito, ana watu wengi mikoa ya kusini waliochoshwa na kuonewa kwao kwenye ishu nyingi ikiwemo korosho. Utamuachaje mtu kama huyu?, Yaani chance ya kupata kura za kusini uiachie hivi hivi wewe utakuwa mwanasiasa gani?. Najua hofu ni Lowasa, lakini kimsingi Namna issue ya Lowasa ilivyokuwa handled toka mwanzo ilikosewa. Lowasa alitakiwa apewe terms siyo yeye kudictate terms all tje time. Naamini Membe atakuwa teamworker zaidi kuliko kujiinua na kutaka chama na upinzani kumtumikia yeye badala ya yeye kushirikiana na wenzie as a team kuleta mabadiriko chanya ndani ya nchi.

5. Wananchi wanangoja kwa hamu maamuzi ya upinzani
Kiukweli kabisa kabisa kuna kundi la wana CCM wanaujuua ukweli kuwa upinzani kwa sasa ni kama volcano iliyodormant, wanajua kuwa upinzani upo na una nguvu isipokuwa kwa utaratibu wa kidikteta uliofanywa na utawala huu uko dormant temporarily. Nguvu hii ya Upinzani inahitaji Spark ili ilipuke, Spark kubwa ni kuonyesha Umoja, Mshikamano na kuwapa wananchi mtu aliyepikwa akapikika kiuongozi, mtu ambaye ana uwezo wa ushawishi na kujenga hoja, mtu ambaye akili yake ni inacharge.

Kwa hakika upinzani utanufaika sana na uwepo wa Membe katika rank za majemedari wao wa kulichomoa jiwe kwenye uchaguzi ujao. Hebu fikiria vichwa kama Lissu, Zitto, Mnyika, Mbowe, Maalim, Membe, Nyalandu vishirikiane kuzunguuka nchi nzima kupiga kampeni ya kulichomoa jiwe hali ya kisiasa nchini itakuwaje?. Mimi naona Patachimbika aisee, CCM watakuwa na wakati mgumu sana.

Hitimisho
Kitendo alichokifanya Membe cha kukataa kulamba viatu, na kusimama ndani ya chama kutaka mtawala anayekuwa amemaliza mhula wake wa kwanza awe challenged ni kitendo kizuri sana kwa mustakbali wa demokrasia na maendeleo yetu. Kitendo hicho kinasaidia mtawala asijione yuko entitled kutawala miaka kumi, bali aone kuwa kazi yake itakuwa evaluated kila baada ya miaka mitano na asipotosha chama kitamtoa.

Kwa muktadha huu Membe kapigania haki za wana CCM wengi kwenye suala la haki ya kuchagua au kuchaguliwa, haki ambayo pia inalindwa na katiba ya nchi. Kwa mitendo hiki tu ni dhahiri pia kuwa kama Membe atakuwa raisi, atatawala kwa mujibu wa sheria na katiba na hivyo hatokuwa dikteta!

Kwa maana hiyo kama ukinipa uchaguzi leo kati ya Membe na Magufuli, Membe anaweza kuwa booonge la raisi

Membe yuko vizuri
Membe anafaa!
Umenikuna! An excellent analysis.
 
Umeandika vizuri umejitahidi kuelezea kwa uelewa wako picha ilivyo na kujaribu kuwaaminisha wapinzani nguvu ya Membe ambayo kimsingi mimi binafsi siioni.

Labda nikuulize kitu; hivi Membe angebahatika toka mwanzo wa utawala huu kupewa mojawapo ya teuzi za juu unaamini leo hii angekuwa anafanya na kusema hayo ya demokrasia na mengine?

Kwangu mimi namuona Membe kama mtu mwenye hasira na utawala huu uliopo, kama ilivyokuwa kwa Lowassa na JK, Membe amekuwa msema hovyo zaidi kwenye utawala huu baada ya kuona amekuwa ignored, vinginevyo kama angepewa chochote angekuwa kimya anakula maisha.

Kelele zake za demokrasia alitakiwa azipige toka akiwa serikalini ndio ningemuona anajielewa, lakini kuzipiga leo hana maana.

Membe alishaachana na mambo ya teuzi.
Kwa hadhi na heshima ya Membe, teuzi siyo size yake
Uwezo wa Membe, hekima yake, uzoefu wake ni kuwatumikia wananchi kwenye ngazi kubwa zaidi
 
Umeandika vizuri umejitahidi kuelezea kwa uelewa wako picha ilivyo na kujaribu kuwaaminisha wapinzani nguvu ya Membe ambayo kimsingi mimi binafsi siioni.

Labda nikuulize kitu; hivi Membe angebahatika toka mwanzo wa utawala huu kupewa mojawapo ya teuzi za juu unaamini leo hii angekuwa anafanya na kusema hayo ya demokrasia na mengine?

Kwangu mimi namuona Membe kama mtu mwenye hasira na utawala huu uliopo, kama ilivyokuwa kwa Lowassa na JK, Membe amekuwa msema hovyo zaidi kwenye utawala huu baada ya kuona amekuwa ignored, vinginevyo kama angepewa chochote angekuwa kimya anakula maisha.

Kelele zake za demokrasia alitakiwa azipige toka akiwa serikalini ndio ningemuona anajielewa, lakini kuzipiga leo hana maana.
Comments reserved
 
View attachment 1499858

Tukio lililotokea jana la Mheshimiwa Membe Kutangaza Kujitoa "RASMI" ndani ya chama cha CCM sisi wapenzi wa Demokrasia tumelipokea kwa furaha kubwa, na kwa hakika limethibitisha jambo moja kuhusu Mheshimiwa Membe, nalo ni kwamba Brother Bernard Kammilius Membe hatanii, habeep, Anapiga!. Sisi wapenda demokrasia tunachambua kitendo hicho cha Membe kama ifuatavyo:

1. Membe ameukwepa mtego aliokuwa amewekewa na Jiwe
Sote tunajua wazi, Kufukuzwa kwa uananchama wa Ndugu Membe kulitokana na hofu tu ya Jiwe asipate ushindani ndani ya Chama katika kinyang'anyiro cha kugombea uchaguzi kupitia CCM. Maamuzi ya kumfukuza uanachama hayakuwa halali kwa mujibu wa katiba ya chama chao kwa hiyo kikanuni Membe alikuwa bado ni mwanachama halali kabisa ila kwa mujibu wa Udikteta wa mtu fulani hakuwa mwanachama.

Kikao kinachopaswa kuthibitisha kufukuzwa uanachama wa Membe ni halmashauri kuu ya chama, kwa hiyo ni dhahiri kikao hicho kingeitishwa baada ya zoezi la kuchukua fomu ndani ya chama hicho kufungwa na hivyo kama maamuzi ya kumfukuza yangekubaliwa au kukataliwa na kikao hicho tayari Membe angekuwa ameshapitwa na deadline ndani ya chama ya kuchukua fomu, na pia kwa muda huo tayari angekuwa amechelewa basi la upinzani ambalo by that time lingekuwa limeshaweka tayari options zake!

Kitendo cha Membe kuamua kuchomoka mwenyewe RASMI sasa ni timing nzuri sana, na hii inathibitisha uwezo mkubwa wa Mheshimiwa Membe wa kupiga mahesabu ya kisiasa!. Sasa hivi yupo kwenye better position kisiasa kuliko kama angeendelea kung'ang'ania kusubiri maamuzi ya kikao cha Halmashauri kuu Taifa ya CCM juu ya hatma yake.

2. Membe ana uchungu na nchi hii na ni mzalendo wa kweli
Kitendo cha kupambana akiwa ndani ya chama, wakati kila mtu ndani ya CCM akiwa ameufyata, kuogopa au kujipendekeza kwa Jiwe, hata hivyo Membe aligoma katakata kulamba viatu vya Jiwe. Membe alisimama na kusema ukweli juu ya namna nchi inavyoendeshwa. Membe anakumbukwa kwa kukemea siasa za hofu, siasa za kuumiza wapinzani, siasa za maguvu badala ya kupambana kwa hoja. Wakati Membe anasimama na kuyazungumza haya, hakuna key figure ndani ya CCM aliyekuwa akisimama waziwazi na kuyasemea haya. Kwa muktadha huu namuona Membe kama mtu ambaye enzi za ujana wake alifanya kazi Ikulu ya mwalimu nyerere kwa muda mrefu, Ni dhahiri ameathiriwa sana na falsafa za bosi wake huyo wa zamani katika kusimama bila woga kutetea haki na kupinga na kuchukizwa na vitendo vya uonevu dhidi ya watu wengine. Kwa muktadha huu ni dhahiri Membe ni mzalendo wa kweli sana.

3. Upinzani hauna haja ya kumhofia mheshimiwa Membe
Kuna wale ambao walikuwa dissapointed na Ujio wa Lowasa na kitendo ambacho Lowasa aliwafanyia wapinzani. Kiukweli kabisa siyo sahihi kumlinganisha mheshimiwa Membe na Lowasa. Kwanza Malengo ya kugombea urais kati ya Lowasa na Membe ni tofauti. Drive mojawapo kubwa ya Lowasa ya kugombea uraisi kwa udi na uvumba ilikuwa ni Kusettle score na akina JK. Lowasa alitaka kuwaonyesha kuwa naye anaweza kukalia hicho kiti akawanyoosha kama walivyomnyoosha yeye kwenye Richmond.

Lowasa hajawahi kuwa na Ajenda ya kupanua demokrasia zaidi au kutetea utawala wa sheria na ndiyo maana hajawahi tangu akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM kutetea demokrasia pana isipokuwa tu pale maslahi yake yalipoguswa (mfano kutohojiwa kwenye ishu ya richmond, au alipokatwa ndani ya CCM). Tofauti na Membe ambaye kwenye utawala huu, kaonyesha wazi hapendi mambo ya kidiktetadikteta. Kwa muktadha huu, values za Membe zinaalign zaidi na msimamo wa upinzani kuliko Lowasa, hivyo ni sahihi wapinzani kumpokea na kushirikiana naye kulichomoa Jiwe kwenye uchaguzi unaokuja.


4. Kama CCM inanunua wapinzani, kuna ubaya gani upinzani ukachukua Majembe yanayoikacha CCM bure?
Siasa ni watu na mikakati. Kitendo chochote kinachochochea mgogoro au dissatisfaction kwenye kambi ya mwenzio basi kwako ni faida. Kitendo chochote kinachopelekea kuondoka kwa mwanachama au waunga mkono wa chama hicho na kuja kambi yako kisiasa ni jambo zuri cha msingi liwe managed vizuri!. Kama CCM inanunua wapinzani, kwa nini upinzani uone haya kuchukua watu potential waliomo ndani ya CCM?

Membe siyo mtu mdogo, ni mtu mzito, ana watu wengi mikoa ya kusini waliochoshwa na kuonewa kwao kwenye ishu nyingi ikiwemo korosho. Utamuachaje mtu kama huyu?, Yaani chance ya kupata kura za kusini uiachie hivi hivi wewe utakuwa mwanasiasa gani?. Najua hofu ni Lowasa, lakini kimsingi Namna issue ya Lowasa ilivyokuwa handled toka mwanzo ilikosewa. Lowasa alitakiwa apewe terms siyo yeye kudictate terms all tje time. Naamini Membe atakuwa teamworker zaidi kuliko kujiinua na kutaka chama na upinzani kumtumikia yeye badala ya yeye kushirikiana na wenzie as a team kuleta mabadiriko chanya ndani ya nchi.

5. Wananchi wanangoja kwa hamu maamuzi ya upinzani
Kiukweli kabisa kabisa kuna kundi la wana CCM wanaujuua ukweli kuwa upinzani kwa sasa ni kama volcano iliyodormant, wanajua kuwa upinzani upo na una nguvu isipokuwa kwa utaratibu wa kidikteta uliofanywa na utawala huu uko dormant temporarily. Nguvu hii ya Upinzani inahitaji Spark ili ilipuke, Spark kubwa ni kuonyesha Umoja, Mshikamano na kuwapa wananchi mtu aliyepikwa akapikika kiuongozi, mtu ambaye ana uwezo wa ushawishi na kujenga hoja, mtu ambaye akili yake ni inacharge.

Kwa hakika upinzani utanufaika sana na uwepo wa Membe katika rank za majemedari wao wa kulichomoa jiwe kwenye uchaguzi ujao. Hebu fikiria vichwa kama Lissu, Zitto, Mnyika, Mbowe, Maalim, Membe, Nyalandu vishirikiane kuzunguuka nchi nzima kupiga kampeni ya kulichomoa jiwe hali ya kisiasa nchini itakuwaje?. Mimi naona Patachimbika aisee, CCM watakuwa na wakati mgumu sana.

Hitimisho
Kitendo alichokifanya Membe cha kukataa kulamba viatu, na kusimama ndani ya chama kutaka mtawala anayekuwa amemaliza mhula wake wa kwanza awe challenged ni kitendo kizuri sana kwa mustakbali wa demokrasia na maendeleo yetu. Kitendo hicho kinasaidia mtawala asijione yuko entitled kutawala miaka kumi, bali aone kuwa kazi yake itakuwa evaluated kila baada ya miaka mitano na asipotosha chama kitamtoa.

Kwa muktadha huu Membe kapigania haki za wana CCM wengi kwenye suala la haki ya kuchagua au kuchaguliwa, haki ambayo pia inalindwa na katiba ya nchi. Kwa mitendo hiki tu ni dhahiri pia kuwa kama Membe atakuwa raisi, atatawala kwa mujibu wa sheria na katiba na hivyo hatokuwa dikteta!

Kwa maana hiyo kama ukinipa uchaguzi leo kati ya Membe na Magufuli, Membe anaweza kuwa booonge la raisi

Membe yuko vizuri
Membe anafaa!
Umelipwa bei gani kabwela mkubwa wewe
 
We jamaa unamini kabisa kuwa humu watu wapo serious?? Humu watu wanapatumia kujifurahisha tu, kupumzikia.
We hushangai kuwa miezi mitatu nyuma hawahawa ndio waliokuwa wanasema membe ni lazima atagombea kupitia ccm na atashinda
Hivi nyie wenzetu huwa mnapata wapi hela za kina Membe? Maana hela ya Lowassa sikuipata, na hii ya Membe pia sijaipata. Naona nyie wenzetu mnaopata hela za hawa wazee wa ccm, mna nguvu za kuandika makala za kuwapamba, lakini matokeo yote yanafahamika. Ila somo la Lowassa liko vizuri kwenye kichwa cha kila mpinzani wa kweli, asiye na maslahi binafsi na hao wazee wasaka madaraka toka ccm. Mleta uzi angalia pesa za Membe zisikufanye uchafue taswira ya upinzani, kwa sababu ya maslahi yako binafsi.
 
Aende ACT kutamfaa
Membe sio lazima kuvifuata vyama vya ACT,Chadema au CUF.
Kama atakuja na wimbi la watu wengi maarufu anaweza akatengeneza CCM B.tokana na vyama ambavyo havina mbunge hata mmoja.
 
View attachment 1499858

Tukio lililotokea jana la Mheshimiwa Membe Kutangaza Kujitoa "RASMI" ndani ya chama cha CCM sisi wapenzi wa Demokrasia tumelipokea kwa furaha kubwa, na kwa hakika limethibitisha jambo moja kuhusu Mheshimiwa Membe, nalo ni kwamba Brother Bernard Kammilius Membe hatanii, habeep, Anapiga!. Sisi wapenda demokrasia tunachambua kitendo hicho cha Membe kama ifuatavyo:

1. Membe ameukwepa mtego aliokuwa amewekewa na Jiwe
Sote tunajua wazi, Kufukuzwa kwa uananchama wa Ndugu Membe kulitokana na hofu tu ya Jiwe asipate ushindani ndani ya Chama katika kinyang'anyiro cha kugombea uchaguzi kupitia CCM. Maamuzi ya kumfukuza uanachama hayakuwa halali kwa mujibu wa katiba ya chama chao kwa hiyo kikanuni Membe alikuwa bado ni mwanachama halali kabisa ila kwa mujibu wa Udikteta wa mtu fulani hakuwa mwanachama.

Kikao kinachopaswa kuthibitisha kufukuzwa uanachama wa Membe ni halmashauri kuu ya chama, kwa hiyo ni dhahiri kikao hicho kingeitishwa baada ya zoezi la kuchukua fomu ndani ya chama hicho kufungwa na hivyo kama maamuzi ya kumfukuza yangekubaliwa au kukataliwa na kikao hicho tayari Membe angekuwa ameshapitwa na deadline ndani ya chama ya kuchukua fomu, na pia kwa muda huo tayari angekuwa amechelewa basi la upinzani ambalo by that time lingekuwa limeshaweka tayari options zake!

Kitendo cha Membe kuamua kuchomoka mwenyewe RASMI sasa ni timing nzuri sana, na hii inathibitisha uwezo mkubwa wa Mheshimiwa Membe wa kupiga mahesabu ya kisiasa!. Sasa hivi yupo kwenye better position kisiasa kuliko kama angeendelea kung'ang'ania kusubiri maamuzi ya kikao cha Halmashauri kuu Taifa ya CCM juu ya hatma yake.

2. Membe ana uchungu na nchi hii na ni mzalendo wa kweli
Kitendo cha kupambana akiwa ndani ya chama, wakati kila mtu ndani ya CCM akiwa ameufyata, kuogopa au kujipendekeza kwa Jiwe, hata hivyo Membe aligoma katakata kulamba viatu vya Jiwe. Membe alisimama na kusema ukweli juu ya namna nchi inavyoendeshwa. Membe anakumbukwa kwa kukemea siasa za hofu, siasa za kuumiza wapinzani, siasa za maguvu badala ya kupambana kwa hoja. Wakati Membe anasimama na kuyazungumza haya, hakuna key figure ndani ya CCM aliyekuwa akisimama waziwazi na kuyasemea haya. Kwa muktadha huu namuona Membe kama mtu ambaye enzi za ujana wake alifanya kazi Ikulu ya mwalimu nyerere kwa muda mrefu, Ni dhahiri ameathiriwa sana na falsafa za bosi wake huyo wa zamani katika kusimama bila woga kutetea haki na kupinga na kuchukizwa na vitendo vya uonevu dhidi ya watu wengine. Kwa muktadha huu ni dhahiri Membe ni mzalendo wa kweli sana.

3. Upinzani hauna haja ya kumhofia mheshimiwa Membe
Kuna wale ambao walikuwa dissapointed na Ujio wa Lowasa na kitendo ambacho Lowasa aliwafanyia wapinzani. Kiukweli kabisa siyo sahihi kumlinganisha mheshimiwa Membe na Lowasa. Kwanza Malengo ya kugombea urais kati ya Lowasa na Membe ni tofauti. Drive mojawapo kubwa ya Lowasa ya kugombea uraisi kwa udi na uvumba ilikuwa ni Kusettle score na akina JK. Lowasa alitaka kuwaonyesha kuwa naye anaweza kukalia hicho kiti akawanyoosha kama walivyomnyoosha yeye kwenye Richmond.

Lowasa hajawahi kuwa na Ajenda ya kupanua demokrasia zaidi au kutetea utawala wa sheria na ndiyo maana hajawahi tangu akiwa ndani ya CCM au nje ya CCM kutetea demokrasia pana isipokuwa tu pale maslahi yake yalipoguswa (mfano kutohojiwa kwenye ishu ya richmond, au alipokatwa ndani ya CCM). Tofauti na Membe ambaye kwenye utawala huu, kaonyesha wazi hapendi mambo ya kidiktetadikteta. Kwa muktadha huu, values za Membe zinaalign zaidi na msimamo wa upinzani kuliko Lowasa, hivyo ni sahihi wapinzani kumpokea na kushirikiana naye kulichomoa Jiwe kwenye uchaguzi unaokuja.


4. Kama CCM inanunua wapinzani, kuna ubaya gani upinzani ukachukua Majembe yanayoikacha CCM bure?
Siasa ni watu na mikakati. Kitendo chochote kinachochochea mgogoro au dissatisfaction kwenye kambi ya mwenzio basi kwako ni faida. Kitendo chochote kinachopelekea kuondoka kwa mwanachama au waunga mkono wa chama hicho na kuja kambi yako kisiasa ni jambo zuri cha msingi liwe managed vizuri!. Kama CCM inanunua wapinzani, kwa nini upinzani uone haya kuchukua watu potential waliomo ndani ya CCM?

Membe siyo mtu mdogo, ni mtu mzito, ana watu wengi mikoa ya kusini waliochoshwa na kuonewa kwao kwenye ishu nyingi ikiwemo korosho. Utamuachaje mtu kama huyu?, Yaani chance ya kupata kura za kusini uiachie hivi hivi wewe utakuwa mwanasiasa gani?. Najua hofu ni Lowasa, lakini kimsingi Namna issue ya Lowasa ilivyokuwa handled toka mwanzo ilikosewa. Lowasa alitakiwa apewe terms siyo yeye kudictate terms all tje time. Naamini Membe atakuwa teamworker zaidi kuliko kujiinua na kutaka chama na upinzani kumtumikia yeye badala ya yeye kushirikiana na wenzie as a team kuleta mabadiriko chanya ndani ya nchi.

5. Wananchi wanangoja kwa hamu maamuzi ya upinzani
Kiukweli kabisa kabisa kuna kundi la wana CCM wanaujuua ukweli kuwa upinzani kwa sasa ni kama volcano iliyodormant, wanajua kuwa upinzani upo na una nguvu isipokuwa kwa utaratibu wa kidikteta uliofanywa na utawala huu uko dormant temporarily. Nguvu hii ya Upinzani inahitaji Spark ili ilipuke, Spark kubwa ni kuonyesha Umoja, Mshikamano na kuwapa wananchi mtu aliyepikwa akapikika kiuongozi, mtu ambaye ana uwezo wa ushawishi na kujenga hoja, mtu ambaye akili yake ni inacharge.

Kwa hakika upinzani utanufaika sana na uwepo wa Membe katika rank za majemedari wao wa kulichomoa jiwe kwenye uchaguzi ujao. Hebu fikiria vichwa kama Lissu, Zitto, Mnyika, Mbowe, Maalim, Membe, Nyalandu vishirikiane kuzunguuka nchi nzima kupiga kampeni ya kulichomoa jiwe hali ya kisiasa nchini itakuwaje?. Mimi naona Patachimbika aisee, CCM watakuwa na wakati mgumu sana.

Hitimisho
Kitendo alichokifanya Membe cha kukataa kulamba viatu, na kusimama ndani ya chama kutaka mtawala anayekuwa amemaliza mhula wake wa kwanza awe challenged ni kitendo kizuri sana kwa mustakbali wa demokrasia na maendeleo yetu. Kitendo hicho kinasaidia mtawala asijione yuko entitled kutawala miaka kumi, bali aone kuwa kazi yake itakuwa evaluated kila baada ya miaka mitano na asipotosha chama kitamtoa.

Kwa muktadha huu Membe kapigania haki za wana CCM wengi kwenye suala la haki ya kuchagua au kuchaguliwa, haki ambayo pia inalindwa na katiba ya nchi. Kwa mitendo hiki tu ni dhahiri pia kuwa kama Membe atakuwa raisi, atatawala kwa mujibu wa sheria na katiba na hivyo hatokuwa dikteta!

Kwa maana hiyo kama ukinipa uchaguzi leo kati ya Membe na Magufuli, Membe anaweza kuwa booonge la raisi

Membe yuko vizuri
Membe anafaa!
Hata Lowassa alipokuja huko mlimsifia sana. Tuone na huyu sijui itakuwaje.
 
Back
Top Bottom