Asante sana Ibenge kwa ushindi wa Yanga SC

Asante sana Ibenge kwa ushindi wa Yanga SC

Sasa huu si utani tena!! Tatizo watoto wadogo wamerukia utani wa jadi na kuubadili kuwa ugomvi na matusi!! Shame on you!! You are bringing shame to your parents that they failed to bring you up properly!!
Kabisa jambo la utani tu linafanua kuonyesha ukilaza walio nao , unamkuta mtu kwenye uzi mwingine unaona huyu ni bwege kwa sababu ya mihemko ya kijinga kisa utani tu.
 
Huo ndio undugu sasa. Maana sisi wenyewe tusingeweza

Game yetu ya mwisho na waarabu tushindwe wenyewe sasa. Turejesheni calculator za watu

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025
1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo
Yanga ni mbovu jamani

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa a.k.a mixx by yas
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
Asante Ibenge
Huu ndiyo undugu
Yanga kalyukulyetaaa...
etc..

We Muite, Ulichokiandika ni muendelezo tu wa umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
 
Kuna mahojiano aliyafanya ibenge hivi karibuni kuwa mechi hii atotumia nguvu kubwa na angewapumzisha wachezaji wake muhimu kwakuwa tiyali alishafuzu robo fainali!
Alichokiongea ibenge na kilichotokea pale uwanjani ni vitu viwili tofauti,,alipanga full mkoko na walicheza utadhani bado awajafuzu robo fainali,,yanga wangeingia kwenye mtego wa ibenge ilikuwa imekula kwao wangejikuta kwenye hali ngumu sana!
Al hilal walitoa jasho lao lote kuakikisha wanapata point pale na alipoona sasa mambo yamegoma ndio akaanza kuwapumzisha wachezaji wake kuanzia dk ya 70,,
Nawapongeza yanga kwa kuikwepa mind game ya ibenge na mmekipata tulichowatuma kazi iliyobaki ni kumkaanga mwarabu pale kwa mkapa na kutinga robo fainali kibabe!
 
Huo ndio undugu sasa. Maana sisi wenyewe tusingeweza

Game yetu ya mwisho na waarabu tushindwe wenyewe sasa. Turejesheni calculator za watu

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025
Mechi uliangalia ama ulisimuliwa, ktk mechi ambazo ibenge katumia nguvu kubwa basi mojawapo ni ya jana,,lakini kukutana na yanga tofauti na Ile aliyokutana nayo mechi ya kwanza kwa mkapa,,kakutana na yanga iliyoimarika kisawasawa kapigwa kwake kwa mara ya kwanza tokea mechi za makundi zianze!
 
Yanga kutobia robo ni Mungu aingilie kati tu
Bado mnajifariji vijana wa mangungu,,yanga ndio keshafuzu hivyo mechi ngumu ilikuwa ni iyo lakini wale waarabu watapaona kwa mkapa kama tanuru la moto kwao watachapika kisawasawa
 
Ibenge alishasema ile ni mechi ngumu lakini sio ya umuhimu kwake, ulitarajia nini?
 
Ibenge hii ndio mechi katumia nguvu kuliko zote nadhani alitaka kulipa fadhira ya kualikwa mkutanoni kwa mangungu
Yani jamaa hajaona sijui mechi🤣🤣 hakuna maigizo ya namna ile... Ibenge ana ubia na kina mangungu mpaka walicheza mechi ya kirafiki kmc
 
Back
Top Bottom