Kabisa jambo la utani tu linafanua kuonyesha ukilaza walio nao , unamkuta mtu kwenye uzi mwingine unaona huyu ni bwege kwa sababu ya mihemko ya kijinga kisa utani tu.Sasa huu si utani tena!! Tatizo watoto wadogo wamerukia utani wa jadi na kuubadili kuwa ugomvi na matusi!! Shame on you!! You are bringing shame to your parents that they failed to bring you up properly!!
1. Yanga ikifungwa;Huo ndio undugu sasa. Maana sisi wenyewe tusingeweza
Game yetu ya mwisho na waarabu tushindwe wenyewe sasa. Turejesheni calculator za watu
Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025
Hili hawatakuja kulikubali kamwe..!! Na hivi ni mbumbumbu wa kula ngada ndo kabisaaa..!!!Mambo ambayo yanawaumiza. Mpaka mfungwe mara ya tano mfululizo ndio mtaamini Yanga ni timu bora
Bora umemwambiaHicho kiungo ni muhimu sana katika ukamilifu wako japo mnakidharau sana. Ngoja siku kigome kama hutawehuka
Ww chutama umshukuru Mungu...acha kujimwambafy hapa..Hili hawatakuja kulikubali kamwe..!! Na hivi ni mbumbumbu wa kula ngada ndo kabisaaa..!!!
Si unaona makomenti yao kedekede ya kalyukulyetaaaaa..!! KIKO wapi?
CC GENTAMYCINE, Kalpana, Mshana Jr et el
Mechi uliangalia ama ulisimuliwa, ktk mechi ambazo ibenge katumia nguvu kubwa basi mojawapo ni ya jana,,lakini kukutana na yanga tofauti na Ile aliyokutana nayo mechi ya kwanza kwa mkapa,,kakutana na yanga iliyoimarika kisawasawa kapigwa kwake kwa mara ya kwanza tokea mechi za makundi zianze!Huo ndio undugu sasa. Maana sisi wenyewe tusingeweza
Game yetu ya mwisho na waarabu tushindwe wenyewe sasa. Turejesheni calculator za watu
Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025
Bado mnajifariji vijana wa mangungu,,yanga ndio keshafuzu hivyo mechi ngumu ilikuwa ni iyo lakini wale waarabu watapaona kwa mkapa kama tanuru la moto kwao watachapika kisawasawaYanga kutobia robo ni Mungu aingilie kati tu
Mtabadili lugha mpaka mkome.Yanga kutobia robo ni Mungu aingilie kati tu
Imemshinda tu kubalini.Ibenge alishasema ile ni mechi ngumu lakini sio ya umuhimu kwake, ulitarajia nini?
Toka kwenye GSM anadhamini timu nyingi, umeniongezea jingine, KUDRA ZA MWENYEZI MUNGU..!!Timu lenu bovuuu...
Mkipita ni kudra za mnyazi Mungu
Mara Tano kabisa5imba kafungwa mara nne mfululizo 🤣
Yani jamaa hajaona sijui mechi🤣🤣 hakuna maigizo ya namna ile... Ibenge ana ubia na kina mangungu mpaka walicheza mechi ya kirafiki kmcIbenge hii ndio mechi katumia nguvu kuliko zote nadhani alitaka kulipa fadhira ya kualikwa mkutanoni kwa mangungu
Nawaza tu Ile mechi ndio ingekua inahitaji matokeo kama ya kipindi kile kufuzu kuingia makundi hali ingekuajeHuo ndio undugu sasa. Maana sisi wenyewe tusingeweza
Game yetu ya mwisho na waarabu tushindwe wenyewe sasa. Turejesheni calculator za watu
Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025
Ile mechi ni final itoshe kusema Ibenge alitaka kuidharilisha yangaYani jamaa hajaona sijui mechi🤣🤣 hakuna maigizo ya namna ile... Ibenge ana ubia na kina mangungu mpaka walicheza mechi ya kirafiki kmc