Umeandika Nini tena upuuziactually,
wenye matatizo ya afya ya akili ndio pekee hukumbwa na mihemko, ghadhabu, hasira na hubababika na nini cha kukoment wanapokutana na hoja nzito na ya maana kama iliyoko mezani π
hata hivyo tupo pamoja haka kama uko hivyo ulivyo, wewe ni mTanzania mwenzetu π
Bado yule waziri wa msimbazi nyekunduRais Samia Suluhu Hassan, Rais na kipenzi cha waTanzania uongozini.
Mwenyezi Mungu azidi kukujaalia afya njema, bidii, ubunifu na nguvu tele katika kuongoza nchi yetu Tanzania..
Hamasa na ushawishi wako kwa vitendo baada ya kufanya mageuzi na mabadiliko kidogo katika uongozi wa Serikali yako kuu, waTanzania kwa mamilioni yao, wamekupongeza sana, na kukushukuru mno, kwani dhamira na nia yako njema ya kuwaletea wanainchi maendeleo imedhihirika bayana...
Hamasa ya kukupenda na kukuamini imeongezea mara dufu matarajio yao kwao ni makubwa mno kisiasa kijamii na kiuchumi..
Inafahamika, inaaminika na inaonekana tena mchana kweupeee, kila pembe ya nchi Dr.Samia Suluhu Hassan una pendwa na unakubalika bila kificho kwa maneno na matendo yako, katika kazi za maendeleo..
Hakiwezekani mtu aje aseme hadharani, ati hata kama hamumpendi huyo ndio Rais wenu, hiyo ni dharau kubwa sana japo kwa hekima na busara ulichelewa kuchukua hatu.
Lakini pia, Mh. Rais usiku na mchana uko kazini kuhakikisha taasisi zetu mathalani zinazohusu kusimamia chaguzi zinakua imara na zina aminika kwa wananchi, na kwamba hata chaguzi zetu zote zinaaminika zinakua huru, wazi na za haki na waTanzania wanahamasika kupiga kura.
Halafu mtu mwingine anakuja kudhoofisha jitihada hizi kubwa kirahisi tu, za mh.Rais kurejesha imani za waTanzania kwenye taasisi zao.. eti bao la mkono π
Hapana, Hii si sawa na haipendezi. Kuna aina za matani tunapokua kazini ni hujuma. na dhamira yake ni kubomoa au kuidhoofisha kazi muhimu za Kuwaleta waTanzania pamoja na kuamininiana. madaraka ya kulevya ni ulevi mbaya sanaπ
waTanzania wako pamoja nawe mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania
Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
political upsidedown and mistakes is an opportunity kwa patriots kama mimi...Hataleo hii wakirudishwa hili Bumunda litasifia vilevile
Nimekimbia aiseee.View attachment 3048623
Niambien kabaki nani
Hii sio ya Msingi , Hii ya Mngisikwahiyo gentleman,
Umekuja kutafuta mood na kuonyesha altitudes zako kwenye hoja yangu ya misingi, right?π
hilo haliwezekani kwasababu tu ya chuki zako binafsi...Ku reshuffle cabinet ni kitu Cha kawaida tu. Tungemwona mama yenu yuko serious ange mfukuza mwigulu na bashe kwa kashfa ya sukari
suala la kutoboa ni vizur ukabaki nalo huko huko kwenye chama chako gentleman πMm nimekasirika na namuonea huruma Samia, maana hatoboi 2025
Una kichwa kigumu kunielewa itakuwa ngumuhilo haliwezekani kwasababu tu ya chuki zako binafsi...
hakuna kafsha kwenye sukari Tanzania,
na wala Dr.Samia Suluhu Hassan hawezi kuacha kufanya mambo ya maendeleo kwajili ya waTanzania aanze kudeal na uzushi na uongo tena, unaoibuliwa kwa chuki na hasira binafsi kutokana na reshuffle hizi hizi kwenye Serikali kuu π
hilo la sukari nadhani ungelitoa akilini mwako kwasabb halipo πUna kichwa kigumu kunielewa itakuwa ngumu
Kuna upotevu wa 1.7 tril Bot
Kuna kashfa ya vibali vya sukari
Ushahidi uko peupe kabisa. alafu hii mbuzi innakuja hapa kubishana tu
kwahiyo,Hakika hio heading nikajua ni Lucas Mwashambwa
Hako kamonkey kanamaanisha nini?kwahiyo,
umejua, hujui right?π
Mkuu mama amekasirika amechukua fagio anafagia takataka zoteenenda taratibu tu huna haja ya kukimbia gentleman π