mama hua hafanyi maamuzi akiwa amekasirika..Mkuu mama amekasirika amechukua fagio anafagia takataka zotee
Rais Samia Suluhu Hassan, Rais na kipenzi cha waTanzania uongozini.
Mwenyezi Mungu azidi kukujaalia afya njema, bidii, ubunifu na nguvu tele katika kuongoza nchi yetu Tanzania..
Hamasa na ushawishi wako kwa vitendo baada ya kufanya mageuzi na mabadiliko kidogo katika uongozi wa Serikali yako kuu, waTanzania kwa mamilioni yao, wamekupongeza sana, na kukushukuru mno, kwani dhamira na nia yako njema ya kuwaletea wanainchi maendeleo imedhihirika bayana...
Hamasa ya kukupenda na kukuamini imeongezea mara dufu matarajio yao kwao ni makubwa mno kisiasa kijamii na kiuchumi..
Inafahamika, inaaminika na inaonekana tena mchana kweupeee, kila pembe ya nchi Dr.Samia Suluhu Hassan una pendwa na unakubalika bila kificho kwa maneno na matendo yako, katika kazi za maendeleo..
Hakiwezekani mtu aje aseme hadharani, ati hata kama hamumpendi huyo ndio Rais wenu, hiyo ni dharau kubwa sana japo kwa hekima na busara ulichelewa kuchukua hatu.
Lakini pia, Mh. Rais usiku na mchana uko kazini kuhakikisha taasisi zetu mathalani zinazohusu kusimamia chaguzi zinakua imara na zina aminika kwa wananchi, na kwamba hata chaguzi zetu zote zinaaminika zinakua huru, wazi na za haki na waTanzania wanahamasika kupiga kura.
Halafu mtu mwingine anakuja kudhoofisha jitihada hizi kubwa kirahisi tu, za mh.Rais kurejesha imani za waTanzania kwenye taasisi zao.. eti bao la mkono π
Hapana, Hii si sawa na haipendezi. Kuna aina za matani tunapokua kazini ni hujuma. na dhamira yake ni kubomoa au kuidhoofisha kazi muhimu za Kuwaleta waTanzania pamoja na kuamininiana. madaraka ya kulevya ni ulevi mbaya sanaπ
waTanzania wako pamoja nawe mh.Rais Dr.Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania
Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
hivi kweli gentleman,Homa ya 2025 inaitafuna nchi.
haha!kuna mwenzako mwenye tatizo la Afya ya akili kama wewe huku jimboni aliwahi kuleta za kuleta pamoja na tatizo lake lakini nilimshikisha adabu naona sasa hivi anaendelea vuzuri,
kumbe dawa yenu ni makwenzi na makofi tu akili zinawakaa sawaa π€£
Γ±joo jimboni tu,
tena wewe tatizo lako lilivyokubwa hivyo nakukabidhi kwa wananchi tu ili upone haraka
Kwa Rais hakuna but the rest itabidi kauli ya Nape itumike.hivi kweli gentleman,
hata ukiangalia na kupima vuzuri bila mihememko, ndani na nje ya CCM kuna wa kumchalenge kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan?π
akitokea atakua adui namba moja wa waTanzania, atakataliwa popote Tanzania kwa aibu na fedhaha kuu...
Sasa hiyo sio Demokrasia,wacha sanduku la kura liamue.Usiwe msemaji wa Watanzania bila ridhaa yao.hivi kweli gentleman,
hata ukiangalia na kupima vuzuri bila mihememko, ndani na nje ya CCM kuna wa kumchalenge kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan?π
akitokea atakua adui namba moja wa waTanzania, atakataliwa popote Tanzania kwa aibu na fedhaha kuu...
mimi pamoja na mamilioni ya waTanzania wenzangu tumemshauri mambo mengi sana muhimu kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ikiwa ni pamoja na kumshawishi agombee tena Urais Uchaguzi mkuu 2025..Onyesha sehemu ulipomshauri afanye haya mabadiriko nitakuona sio mnafiki.. kama hakuna wewe ni mnafiki na mzandiki.
Shida Machawa wengi wanafki.Hapa unampongeza Samia kufanya utenguzi akiwemo Nape kwa kauli yake.kukataliwa kwa namna yoyote ile ni Demokrasia pia gentleman π
na usijiskie vibaya huenda ukakubalika baada π
Dr.Samia Suluhu Hassan amedhamiria kwa dhati ya moyo wake amedhamiria kuleta mageuzi ya kifikra na kimtazamo tena kwa vitendo kwamba chaguzi zote Tanzania zitafanyika kwa usawa, haki, uhuru na uwazi sio kulingana na kauli ya mtu taasisi au kikundi cha watu πKwa Rais hakuna but the rest itabidi kauli ya Nape itumike.
hiyo ni fact,Shida Machawa wengi wanafki.Hapa unampongeza Samia kufanya utenguzi akiwemo Nape kwa kauli yake.
Cha kushangaza unasema atakae mpinga mama ni adui wa watamzania.Yaani umetoa kinyesi mkono wa kushoto umeweka mkono wako wa kulia.
Shame on you Chawa.
moyo unaumia kwa ndraani right?π€£Hii ID imejawa na upumbavu mwingi sana, hii ni beyond uchawa na sijui mnaipa jina gani.
Wapi watanzania wamesema wanamtaka mama samia?hiyo ni fact,
ni wazi iko kwenye public domain na sio ati inafanyiika usiku. waTanzania wanaona wanaotaka kumchalenge mama ni sawa na ambao hawapendi wananchi wapate maendeleo π
khaa sasa wananchi hawakutaki wanamtaka mama Dr Samia Suluhu Hassan, wewe unakasirika, itasaidia nini sasa π€£
unaelewa gentleman kwa siasa kuna kitu inaitwa political dynamics by mistakes, blunders or normal changes πNdio chawa walivyo π π π
Mafisadi wepi aliochukulia hatua,acheni kutuchokoza.CAG kaibua mafisadi wangapi,many,lakini hakuna hatua yeyote inayochukuliwa.Ni upigaji tu sasa kila sehemu,shameful indeed.relax bas gentleman,
punguza mihememko punguza makasiriko kidogo, inauma sana.
hayupo mTanzania yeyote anaefurahia ufisadi au uonevu na uporaji wa mali za umma na haki za wanyonge π
kushughulika na mambo haya kwa hisia, hasira na ghadabu matokeo yake utaharibu nchi na kupata fedhaha mbeleni π
jimboni kwangu siwezi kuruhusu ufisadi au ubadhirifu wa aina yoyote kutokea.
Shukrani za kipekee ni kwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyochukua hatua kukabiliana na ufisadi lakini zaidi sana kushughulika na mambo mengine muhimu ya Maendeleo kwa waTanzania π
mimi huwa sijivungi wala kujizuia kusema ukweli πUmekuja Tena kivingine wewe chawa!! Juzi kati hapa ulikuwa unawapigia debe hao watenguliwa