Asante sana Rais Samia kwa mabadiliko haya madogo ya uongozi katika Serikali Kuu, watanzania wote wamekupenda zaidi, wanakushukuru na kukuamini zaidi

Nimekuelewa kiongozi ila tutambue sisi sote kwamba Yote haya tunayajadili kuhusu Nape na January kutumbuliwa chanzo chale ni kiburi na ujinga tu.
majivuno, kujipa umuhimu usiostahili, mazoea katika kazi na ulevi wa vyeo na madaraka dhidi ya taasisi zenye wivu kupindukia kiasili, ni hatari sana kwa maisha ya vijana kisiasa..

ni muhimu kujifunza kua na kiasi, kujizuia, kujidhibiti, kutosheka na kuridhika na mipaka ya uhuru wa dhamana za umma tunazopewa πŸ’
 
AMINA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…