Asante sana Rais Samia kwa mabadiliko haya madogo ya uongozi katika Serikali Kuu, watanzania wote wamekupenda zaidi, wanakushukuru na kukuamini zaidi

Asante sana Rais Samia kwa mabadiliko haya madogo ya uongozi katika Serikali Kuu, watanzania wote wamekupenda zaidi, wanakushukuru na kukuamini zaidi

Nimekuelewa kiongozi ila tutambue sisi sote kwamba Yote haya tunayajadili kuhusu Nape na January kutumbuliwa chanzo chale ni kiburi na ujinga tu.
majivuno, kujipa umuhimu usiostahili, mazoea katika kazi na ulevi wa vyeo na madaraka dhidi ya taasisi zenye wivu kupindukia kiasili, ni hatari sana kwa maisha ya vijana kisiasa..

ni muhimu kujifunza kua na kiasi, kujizuia, kujidhibiti, kutosheka na kuridhika na mipaka ya uhuru wa dhamana za umma tunazopewa 🐒
 
majivuno, kujipa umuhimu usiostahili, mazoea katika kazi na ulevi wa vyeo na madaraka dhidi ya taasisi zenye wivu kupindukia kiasili, ni hatari sana kwa maisha ya vijana kisiasa..

ni muhimu kujifunza kua na kiasi, kujizuia, kujidhibiti, kutosheka na kuridhika na mipaka ya uhuru wa dhamana za umma tunazopewa 🐒
AMINA.
 
Back
Top Bottom