Uchaguzi 2020 Asante sana Tundu Lissu kwa kutetea Waislamu walioko jela kwa uonevu, Mungu akulipe kheri nyingi sana

kwan cdm hakuna waru wengine wa kuanzisha threads kila sku wale wale
 
Ila usisahau hao Masheikh walishikiliwa tangu enzi za Kikwete! Hivyo ni vyema na yeye akatajwa kuhusika kwa namna fulani kama Rais wa wakati huo.
Kwani babu seya alishikiliwa toka lini?
 
atakuwa amekusikia atajaribu kuwasemea maana hana uwezo wa kuwa rais ili aje awatoe hao watu mnaodhani wamewekwa ndani kwadhuruma mngekuwa na akili kidogo tu mngeanza kumuuliza kikwete ambaye ni muislamu kwanini aliwaweka ndani na hakuwatoa mpakaamemaliza muda wake ujue kuna tatizo na hawa watu msirahisishe mambo
 
Lisu anayatafuta madaraka kwa namna yeyote ile bila kujali madhara ya kauli zake.

Sijui atakuwa kiongozi wa Taifa lipi ambalo tayari keshalisambaratisha kwa kauli za kichochezi.

Toka hao jamaa wa Zanzibar wakamatwe kuna Kanisa limechomwa moto kule ??

How can this man be so blind like this?? Ni Uchu wa madaraka tu.
 
Du point zote hizo ulizotoa hamna like hata moja, ni ajabu na kweli.
 
Kwani babu seya alishikiliwa toka lini?

Babu Seya hakushikiliwa kama hao Masheikh wa Uamsho! Yule alihukumiwa kabisa na Wanawe kifungo cha maisha kutokana na makosa ya kuwanajisi watoto kabla ya kupewa huo msamaha wao na Magufuli!

Walitenda makosa yao, hawakutenda! Hili litabakia kuwa fumbo kuu. Na ukweli wa kilichotokea, wanao wenyewe.
 
Hivi Lissu alishawahi kuzungumzia huuu uonevu wa hao masheikh wa uamsho au ndio amekuja kulizungumzia hili suala wakati huu wa kampeni?
 

Ngoja kwanza awe Rais. Hayo mambo mengine yatajulikana mbele ya safari. Hivyo hakikisha unampa kura yako hata kama hatokani na chama chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…