Uchaguzi 2020 Asante sana Tundu Lissu kwa kutetea Waislamu walioko jela kwa uonevu, Mungu akulipe kheri nyingi sana

Mkuu..umeongea vizuri sana..yaani maoni yangu yote umenisemea!
 
Kura za Waislamu wenye uchungu wa mateso na madhila ya kunyanyaswa Masheikh wao watampa kura Lissu maana ameonyesha utu na kupenda haki!

Lissu aendelee kulizungumzia hili suala maana linahusu haki za watu walioonewa!
 
Endeleeni kubweka 🗣️, nchi haiwezi kuendeshwa kijinga hivyo Kama mnavyotaka.Kuongoza nchi sio kujua Sheria tu.
 
Kuwa kiongozi sio tuu kufuata sheria, kuna muda unatakiwa kufanya maamuzi magumu nje ya sheria.
 
Kwa mujibu wa sheria zetu vyama vya siasa hairuhusiwi kufanya kazi za siasa???
 
Hizi kura mnazopiga kifamilia huwa mnapigaje.
Kwamba kuna mtu anamuongelea mtu mwingine atampigia kura flani. Au huwa anapiga mmoja halafu zinahesabiwa kwa idadi ya wanafamilia.
Uzuri wa kura hata mkeo anaweza asikupigie ila Kama unamshurutisha kusema mimi na familia yangu tutampigia flani atakubali ili akuridhishe na udikteta wako ila siku ya kura inabaki siri yake.
Nakumbuka kuna mgombea alipata kura moja yakwake tu akalalamika kwamba Inamaana hata mkewe hakumpigia.
Mimi simuongelei mwingine ila mimi Kama Mimi bado nawatazama wagombea kwa makini itakapofika tarehe 27 nitakua namaamuzi ili tarehe 28 nitumie haki yangu. Sijui wanafamilia wengine watampigia nani maana ni mwendo wa demokrasia kuanzia ngazi ya familia.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
s
Kuwa kiongozi sio tuu kufuata sheria, kuna muda unatakiwa kufanya maamuzi magumu nje ya sheria.
siyo kila maamuzi magumu mi maamuzi magumu kweli. Mhe Jakaya aliwaambia mapema kuwa hoja haipigwi rungu, hoja ya kisiasa hukabiliwa kwa hoja kinzani ya kisiasa. uamuzi mgumu wa kumuua kwa bunduki mbu aliyetua usoni kwako ni uamuzi usio na tija.
 
s

siyo kila maamuzi magumu mi maamuzi magumu kweli. Mhe Jakaya aliwaambia mapema kuwa hoja haipigwi rungu, hoja ya kisiasa hukabiliwa kwa hoja kinzani ya kisiasa. uamuzi mgumu wa kumuua kwa bunduki mbu aliyetua usoni kwako ni uamuzi usio na tija.
Kubali kataa approach ya mashekh wa "uhamsho" haikua sahihi ilikua to hostile, wengetumia approach nyingine, kuna kesi zinaendelea kwenye mahakama za africa kuhusu muungano, njia hizo zimetumiwa na watu muda wote, huwezi kutishia dola halafu ukaachwa haiwezekani, dola ipo wajibu na maisha zanzibar kuna watu 2ml. Lolote lingewakuta, ungekuja hapa kulalmika kuwa serikali imeshindwa kulinda watu na mali zao
 
Waislam wote tunamchagua Tundu Lissu. Huyu ndiye atayetetea maslahi yetu. Tulivyojipanga safari hii ni kuwa tunakula hela zao ila kura ni kwa Lissu. Lissu ni wa Watanzania wote.
 
Waislam wenzangu kama tulivyokubaliana, this time tunaleta mabadiliko ya kweli nchini kwetu. Nchi tunampa Tundu Lissu.
 
Ila usisahau hao Masheikh walishikiliwa tangu enzi za Kikwete! Hivyo ni vyema na yeye akatajwa kuhusika kwa namna fulani kama Rais wa wakati huo.


Mavi ya jana hayanuki; kikwete sio raisi hivisasa.
 
vip siku hiz baada ya kuwa dhoofu khali cuf hawaingizagi tena majambia zanzibar? Kwa kuwa sasa ACT ndo wenye nguvu Zanzibar muda si mrefu tutasikia ACT ni magaidi na wameingiza shehena ya majambia Zanzibar..ahahaaaa
mnafanya siasa za ulaghai karne hii ya 21 mnategemea mtaeleweka kweli kwa kizazi hiki cha smartphone za tachi?!!!
 
Waislam wenzangu kama tulivyokubaliana, this time tunaleta mabadiliko ya kweli nchini kwetu. Nchi tunampa Tundu Lissu.
hili ni muhimu sana. na tunawaomba ndugu zetu wakristu wa bara wasimame na sisi ndugu zao waislamu wa zanzibar kwa khali na mali..sisi sote bara na visiwani adui yetu ni mmoja tu..maccm.
 
Ila usisahau hao Masheikh walishikiliwa tangu enzi za Kikwete! Hivyo ni vyema na yeye akatajwa kuhusika kwa namna fulani kama Rais wa wakati huo.
Kila kitu kinafahamika na tayari Kikwete kishalipwa kwa unyama wake
 
Hii mada nyingine tena, hila nachotaka kukuambia muungano kuvunjika zanzibar ikawa kivyake hilo sahau, hila tegemea zaidi zanzibar kumezwa ndani ya serikali moja halafu hizi kelele za muungano zikawa zimefika mwisho. Hilo litegemee sana siku zijazo hasa ndani ya utawala huu wa awamo ya tano.
 
kama ni kwa khiari ya wazanzibari sawa ila kwa nguvu ya dola hilo sahau Mkuu. Tafuteni namna ya kuipata khiari ya Wazanzibari vinginevyo ni mchezo wa kujitekenya na kujicheka. ndoa ya kulazimishana ni maigizo tu ya muda mfupi. utamu wa tendo la ndoa ni mwanamke akhiari, ukilazimisha utaambulia michubuko tu na zaidi sana miaka 30 jela yaweza kukusomba.
 
Wanasheria hutetea hata wauaji
Kwa "sheria" na tamaduni za ccm, serikali yao ikimtuhumu mtu kwa koaa lolote, tayari ni guilty , na anatendewa kama mkosaji. Lakini kwa mujibu wa sheria halali za Tanzania , mamlaka pekee yenye uwezo wa kutamka fulani ana hatia ya mauaji, ni mahakama, baada ya kuendesha kesi na kutoa hukumu.

Mtuhumiwa wa kosa lolote ana haki, pamoja na haki ya kupata utetezi makini. Ila kwa kuwa mmezoea ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu, mambo ya HAKI kwako ni kumpigia mbuzi gitaa
 
Nenda kasome kwenye historia elewa kwanini kulikua na mapinduzi ya zanzibar? majibu kamiri. Ilipinduliwa serikali ya kina nani? na wakaingia madarakani kina nani ?na kwanini ukafanyika muungano? na hao wanaotaka muungano uvunjwe ni kina nani na kwanini wanataka muungano uvunjwe? wana malengo yapi na Zanzibar?
 

Yani udini ukabila umetamalaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…