Uchaguzi 2020 Asante sana Tundu Lissu kwa kutetea Waislamu walioko jela kwa uonevu, Mungu akulipe kheri nyingi sana

Uchaguzi 2020 Asante sana Tundu Lissu kwa kutetea Waislamu walioko jela kwa uonevu, Mungu akulipe kheri nyingi sana

Hiyo tundulissu anaongea tu. Swala la wale wahuni wanaojiita masheikh si swala la kisiasa kusema wataamua tu watolewe as if ni watu wasio na shida.

Lile ni swala la kiusalama. Jamaa walikuwa wanachanganya maswala ya dini za itikadi kali yaani radicalism zenye elements za fujo za ugaidi ndani yake na kuingiza kwenye shughuli za kisiasa. Huo ni upuuzi ambao hautakiwi kuchekewa maana ukiachiwa una madhara makubwa sana.

Ni vema wamewekwa ndani na kupewa adhabu ya kudhibitiwa.....
 
Ngoja kwanza awe Rais. Hayo mambo mengine yatajulikana mbele ya safari. Hivyo hakikisha unampa kura yako hata kama hatokani na chama chako.
Ukitaka kujua kuwa hao jamaa hawakuonewa angalia tu walikamatwa administration ikiwa ipi, moja.

Mbili, je vile vitendo vinaendelea sasa.

Swala la kumpa kura Lisu hilo ni nje ya uhalisia , hana qualities kwa nafasi ya Urais, anafaa kuendela kuwa mwanaharakati na ndio maana akasomea sheria, aendelee tu ila kuongoza nchi hawezi.

Chama chake pia hakina dira, hakijawa tayari kushika dola.
 
Hiyo tundulissu anaongea tu. Swala la wale wahuni wanaojiita masheikh si swala la kisiasa kusema wataamua tu watolewe as if ni watu wasio na shida.

Lile ni swala la kiusalama. Jamaa walikuwa wanachanganya maswala ya dini za itikadi kali yaani radicalism zenye elements za fujo za ugaidi ndani yake na kuingiza kwenye shughuli za kisiasa. Huo ni upuuzi ambao hautakiwi kuchekewa maana ukiachiwa una madhara makubwa sana.

Ni vema wamewekwa ndani na kupewa adhabu ya kudhibitiwa.....
Mkuu nilikuwa nachunga kauli zangu tu ila wale jamaa ni magaidi , hakuna masihara pale, Lisu anataka kuleta masihara katika mambo ya msingi kama kawaida yake.
 
Waislamu hawawezi kupigia kura mwakilishi wa Wazungu Tanzania
Watampigia kura mwakilishi wa shetani duniani maana hata Misikiti anawajengea na wanapokwenda kuhiji madege yasiyo na kazi yatapata kazi ya kuwasafirisha bure. Shetani ampe maisha marefu ajenge Misikiti nchi nzima!
 
Kuna shetani zaidi ya yule mgombea anayeisaliti Tanzania?
Watampigia kura mwakilishi wa shetani duniani maana hata Misikiti anawajengea na wanapokwenda kuhiji madege yasiyo na kazi yatapata kazi ya kuwasafirisha bure. Shetani ampe maisha marefu ajenge Misikiti nchi nzima!
 
Mkuu nilikuwa nachunga kauli zangu tu ila wale jamaa ni magaidi , hakuna masihara pale, Lisu anataka kuleta masihara katika mambo ya msingi kama kawaida yake.

Wangekuwa ni magaidi ushahidi ungekuwa umeshatolewa na hao watu kuhukumiwa lakini kila siku ushahidi haujakamilika, haujakamilika vipi kwa miaa sita?

Siku hizi ukiwa Sheikh na ukaipinga Bakwata unawekwa ndani

Huoni kuwa huo ni uonevu?

Wale masheikh wa Zanzibar kosa lao ni kuhoji aina ya muungano tulionao hilo ndo kosa lao, habari za Ugaidi ni za kutunga
 
Wangekuwa ni magaidi ushahidi ungekuwa umeshatolewa na hao watu kuhukumiwa lakini kila siku ushahidi haujakamilika, haujakamilika vipi kwa miaa sita?

Siku hizi ukiwa Sheikh na ukaipinga Bakwata unawekwa ndani

Huoni kuwa huo ni uonevu?

Wale masheikh wa Zanzibar kosa lao ni kuhoji aina ya muungano tulionao hilo ndo kosa lao, habari za Ugaidi ni za kutunga
Hakuna shaka wale masheikh walikua wanaandaa mazingira ya uasi zanzibar, kupitia hile miadhara yao na cd zilizokua zinasambzwa kuwajengea chuki wazanzibar dhidi ya muuangano maandamano waliyokua wanafanya na kama yangetokea machafuko watu wangekufa, wache tuu wakae jela. Kuna kasoro katika muungano wetu hila hile haikua njia sahihi ya kuyatatua
 
Kwako Ndugu Lissu

Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nawe
Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa dhati ya moyo wangu kwa kitendo chako cha Utu na kupenda haki kwako kwa namna unavyotetea Viongozi wa dini ya Kiislamu walioko Jela kiuonevu.

Umekuwa consistent sana kuhusu uonevu huu, umezungumzia kuhusu Masheikh zaidi ya 70 huko Arusha walioko jela, si kwa sababu wana makosa bali eti wanaipinga BAKWATA ambayo umma umeshatambua kuwa siyo chombo chenye kulinda au kutetea maslahi ya waislamu, bali ni mkono wa system kwa ajili ya kuwathibiti waislamu, Hao viongozi wa BAKWATA wakipewa maslahi machache machache ya hapa na pale kutoka serikali ya CCM basi hufanya bidding kwa ajili ya manufaa ya serikali hiyo, hawana mpango kabisa na mustakbali mkubwa wa Waislamu wenzao nchini! .

Lakini pia umezungumzia Masheikh wa Zanzibar ambao kwa uonevu mkubwa, na ukatili mkubwa kutoka kwa serikali ya CCM na viongozi wake wameendelea kusota magerezani kwa miaka zaidi ya Sita sasa bila kuwepo kwa ushahidi wa kutosha wa kuwatia hatiani, na pia wakiwa wametekwa kutoka Zanzibar walipokuwepo na kwenye sheria zenye kutoa dhamana kwa makosa waliyoshitaiwa nayo na kisha kuletwa huku bara kwenye sheria ambayo haitoi dhamana kwa makosa yale ili kuwatesa na kuwaumiza.

Tatu umezungumzia kuhusu Masheikh walioko huko mikoa ya kusini, huko Mtwara ambao nao wako ndani kiuonevu.

Kwa hiyo inavyoonekana serikali ya CCM inatesa Watu wa Mungu, kama haiwatesi kwa nini Inaweka Masheikh wake Jela bila haki?. Je serikali hii ya kidhalimu ina utofauti gani na serikali tunazozisoma kwenye maandiko matakatifu ziliziokuwa zinaonea na kutesa watu wa Mungu?

Ndugu Lissu, Unafanya kazi kubwa sana na nzuri kutetea waislamu nchini. Nakufananisha na Mfalme mmoja wa nchi ya Ethiopia aitwaye Najashi(King Negus kwa kiingereza) aliyekuwepo kipindi Mtume Muhammad alipoanza mafundisho yake huko Arabia, Wanafunzi wa mtume walikuwa wakionewa na serikali katili za Wapagani pale Makka, Mtume akawaagiza wanafunzi wake wakimbilie Ethiopia kwa yule Mfalme ili kujinusuru,mtume akawaambia kuwa waende ethiopia huko kuna mfalme, tena ni mkristo na ni muadilifu na atawatendeeni wema. Na kweli yule mfalme aliwapokea vizuri na kuwatendea wema sana, aligoma hata kuwarudisha Makka pindi ile serikali dhalimu ya Arabia ilipotuma ujumbe kwa huyo mfalme wa Ethiopia ili wale watu warudishwe huko Arabia wakateswe! .
Sasa wewe ndugu Lissu unafanya kazi kama ya mfalme Najashi, unawatetea hawa waislamu wanaonyanyasika katika serikali hii ya CCM.

Nakuomba ndugu Lissu uendelee na moyo huohuo, umeonyesha jinsi ulivyo binadamu, mwenye utu kwelikweli. Tofauti yako na watawala wa CCM ni kubwa sana ni kwamba wewe ni Mtu, wao ni makatili, wewe ni mpenda haki wao ni madhulumati, wewe ni hero wao ni cowards.

Mwisho kabisa, ningependa kukujulisha kuwa waislamu wanakerwa na teuzi za serikali ya awamu hii zinazonuka udini, Nakuomba hili suala ulisemee, ulizungumzie bila woga kwa sababu haiwezekani katika nchi hii kufanya teuzi zinazoonekana waziwazi kuwa zina mrengo wa kidini halafu nchi ikakaa kimya. Hii siyo dhana yangu, bali Masheikh wameshalalamika kuhusu hili, Sheikh Halifa amelisemea hili jambo, Sheikh Ponda na Shura ya maimamu wamelisemea hili jambo. Serikali ya Magufuli haijajibu hoja hii zaidi ya kuwatisha Masheikh hao. Nakuomba ndugu Lissu, mteta haki, msema kweli, na shujaa asiyeogopa madhalimu. Simama na ulizungumzie hili.

La Mwisho nakuomba ukiwa rais, uondoe ubaguzi huu wa Udini, utengeneze serikali shirikishi(inclusive) ambayo itawapa nafasi watu kwa fairness kabisa badala ya kuangalia dini zao au majina yao kama yanasound kizungu au Kiarabu

FREEDOM, JUSTICE AND PEOPLE CENTRED DEVELOPMENT.

Tundu Lisu ni wakili, kama anawapenda sana hao mashekhe angeanza kuwatetea mahakamani. Asitumie mgongo wa mashehe kutafuta kura
 
lissu anataka kuwaudhi waliomtuma
kama hao mashekhe wangeonewa ubalozi wa Us na Uk wasingekaa kimya
Toka hao mashekhe wawekwe ndani,zanzibar mapdri hawauawi,wakristo hawachomewi nyumba
lissu ni mtu hatari sana,yupo tayari kufanya lolote ili apewe kura
 
Wanasheria hutetea hata wauaji
Ninacho kijuwa ni kwanini Waislamu wapo jela jibu ni kwa sababu mfumo wa Dini ya Kiislamu upo huru kuliko Dini nyingine kwa sababu sheria za Kiislamu hazina mkubwa wala mdogo hivyo ni rahisi sana ubongo wa Waislamu kujitambua udhalimu na kutambua haki!!
Na kuongea kwa uwazi kwa kufahamu kuwa kusema uwongo ni dhambi na dhambi iliyo kubwa!
Hao mashekhe hawataweza kuachiwa huru labda kama CCM inahitaji kufika ukomo!!
Hao mashekhe ukiwaachia leo wata kuambia tume dhulumiwa haki yetu ila Mungu ata tulipa sio rahisi waombe msamaha kama hawana makosa maana kuomba msamaha kwa jambo la uwongo ni kukufuru ! Maisha ya Duniani ni mafupi kuliko ya Akhera hivyo sio rahisi hao mashekhe ku mwangukia shetani na kumuomba msamaha!!
Kwa imani yao watabaki ndani adi watakapo pata haki yao iwe apa Duniani ama Akhera lakini sio kwa kumtaka radhi Sheitwan
 
..nchi hii ya ajabu sana.

..yaani walawiti watoto kama Babu Seya na Papii wanapewa msamaha.

..wakati huohuo mashekhe wanasota rumande miaka zaidi ya sita.

..halafu hao walawiti watoto wanapokelewa ikulu na kupiga picha na bwana mkubwa mbele ya bendera ya taifa.
 
Maccm akili ni kijani kibichi tu , wenyewe ni kuumiza kila kundi , sijui kundi halijaguswa na dhuluma za mhutu.
IMG_20200901_125929.jpg
 
CCM imewalaghai Waisilamu kwa miaka 50 na ushee kwa kuwahonga Ubwabwa mashekhe
Leo hii baadhi Mashekhe wameamka wanaswekwa ndani
 
Kwako Ndugu Lissu

Amani ya Mwenyezi Mungu iwe nawe
Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa dhati ya moyo wangu kwa kitendo chako cha Utu na kupenda haki kwako kwa namna unavyotetea Viongozi wa dini ya Kiislamu walioko Jela kiuonevu.

Umekuwa consistent sana kuhusu uonevu huu, umezungumzia kuhusu Masheikh zaidi ya 70 huko Arusha walioko jela, si kwa sababu wana makosa bali eti wanaipinga BAKWATA ambayo umma umeshatambua kuwa siyo chombo chenye kulinda au kutetea maslahi ya waislamu, bali ni mkono wa system kwa ajili ya kuwathibiti waislamu, Hao viongozi wa BAKWATA wakipewa maslahi machache machache ya hapa na pale kutoka serikali ya CCM basi hufanya bidding kwa ajili ya manufaa ya serikali hiyo, hawana mpango kabisa na mustakbali mkubwa wa Waislamu wenzao nchini! .

Lakini pia umezungumzia Masheikh wa Zanzibar ambao kwa uonevu mkubwa, na ukatili mkubwa kutoka kwa serikali ya CCM na viongozi wake wameendelea kusota magerezani kwa miaka zaidi ya Sita sasa bila kuwepo kwa ushahidi wa kutosha wa kuwatia hatiani, na pia wakiwa wametekwa kutoka Zanzibar walipokuwepo na kwenye sheria zenye kutoa dhamana kwa makosa waliyoshitaiwa nayo na kisha kuletwa huku bara kwenye sheria ambayo haitoi dhamana kwa makosa yale ili kuwatesa na kuwaumiza.

Tatu umezungumzia kuhusu Masheikh walioko huko mikoa ya kusini, huko Mtwara ambao nao wako ndani kiuonevu.

Kwa hiyo inavyoonekana serikali ya CCM inatesa Watu wa Mungu, kama haiwatesi kwa nini Inaweka Masheikh wake Jela bila haki?. Je serikali hii ya kidhalimu ina utofauti gani na serikali tunazozisoma kwenye maandiko matakatifu ziliziokuwa zinaonea na kutesa watu wa Mungu?

Ndugu Lissu, Unafanya kazi kubwa sana na nzuri kutetea waislamu nchini. Nakufananisha na Mfalme mmoja wa nchi ya Ethiopia aitwaye Najashi(King Negus kwa kiingereza) aliyekuwepo kipindi Mtume Muhammad alipoanza mafundisho yake huko Arabia, Wanafunzi wa mtume walikuwa wakionewa na serikali katili za Wapagani pale Makka, Mtume akawaagiza wanafunzi wake wakimbilie Ethiopia kwa yule Mfalme ili kujinusuru,mtume akawaambia kuwa waende ethiopia huko kuna mfalme, tena ni mkristo na ni muadilifu na atawatendeeni wema. Na kweli yule mfalme aliwapokea vizuri na kuwatendea wema sana, aligoma hata kuwarudisha Makka pindi ile serikali dhalimu ya Arabia ilipotuma ujumbe kwa huyo mfalme wa Ethiopia ili wale watu warudishwe huko Arabia wakateswe! .
Sasa wewe ndugu Lissu unafanya kazi kama ya mfalme Najashi, unawatetea hawa waislamu wanaonyanyasika katika serikali hii ya CCM.

Nakuomba ndugu Lissu uendelee na moyo huohuo, umeonyesha jinsi ulivyo binadamu, mwenye utu kwelikweli. Tofauti yako na watawala wa CCM ni kubwa sana ni kwamba wewe ni Mtu, wao ni makatili, wewe ni mpenda haki wao ni madhulumati, wewe ni hero wao ni cowards.

Mwisho kabisa, ningependa kukujulisha kuwa waislamu wanakerwa na teuzi za serikali ya awamu hii zinazonuka udini, Nakuomba hili suala ulisemee, ulizungumzie bila woga kwa sababu haiwezekani katika nchi hii kufanya teuzi zinazoonekana waziwazi kuwa zina mrengo wa kidini halafu nchi ikakaa kimya. Hii siyo dhana yangu, bali Masheikh wameshalalamika kuhusu hili, Sheikh Halifa amelisemea hili jambo, Sheikh Ponda na Shura ya maimamu wamelisemea hili jambo. Serikali ya Magufuli haijajibu hoja hii zaidi ya kuwatisha Masheikh hao. Nakuomba ndugu Lissu, mteta haki, msema kweli, na shujaa asiyeogopa madhalimu. Simama na ulizungumzie hili.

La Mwisho nakuomba ukiwa rais, uondoe ubaguzi huu wa Udini, utengeneze serikali shirikishi(inclusive) ambayo itawapa nafasi watu kwa fairness kabisa badala ya kuangalia dini zao au majina yao kama yanasound kizungu au Kiarabu

FREEDOM, JUSTICE AND PEOPLE CENTRED DEVELOPMENT.

View attachment 1567784
Kwa kipindi cha miaka mitano hakukuwahi kutokea mtu yeyote kuzungumzia dhahama ya hao watumishi wa Mungu. Lazima ungelala segerea tu. Tunamhitaji mtu kama Tundu Lissu tu.
 
Back
Top Bottom