Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

DALA

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2009
Posts
2,256
Reaction score
4,647
Hivi umewahi kufikiria dunia ya leo ingekuwaje bila Urusi?

Kwamba Marekani na washirika wake ndo wangekuwa na nguvu ya kusema na kutenda wanavyotaka ingekuwaje?

Kwamba kila azimio kwenye baraza la Usalama wa UN turufu angekuwa nayo Marekani peke yake ingekuwaje?

Hivi bila nguvu ya kijeshi na kiuchumi wa Urusi ya kusimama dhidi ya mafedhuli dunia ingekuwaje?

Hivi bila Mwamba Jeuri na Jasiri former KGB spy, Vladimir Putin kuwa mtu asiyependa ujinga na kuonewa dunia ingekuwaje?

Kwamba Putin asingekuwepo leo, kuna mtu angemkanya Marekani? Je Marekani angemuogopa nani?

Hakika hatuna budi kuishukuru na kuitakia mafanikio Urusi na mwamba Vladimir Putin kheri.

Asante sana Putin, Asante sana Urusi kwa kusimama kwenye nafasi yako.
 
1. Kusingekuwa na Uvamizi Ukraine.

2. Africa isingekuwa inategemea Urusi kwa chakula na kuishia kuteseka vita inapotokea.

3. Madikteta kama Maduro au Assad wa wasingekuwa na msaada kutoka nje
 
Anavyo rusha iskanders na kutungua zile drones jamaa ni mwanaume kweli alaf hataki chawa wala nini alaf ukijidai unamjua sana kwenye kikao mnakaa mita 500 ndo mnaongea hataki wanafki show anaipiga mwenyewe USA kabaki anaimba taarabu tu kaweka vikwazo yeye na madhara kaanza kuyapata yeye kabla ya Russia
 
1.Kusingekuwa na Uvamizi Ukraine
2.Africa isingekuwa inategemea Urusi kwa chakula na kuishia kuteseka vita inapotokea
3.Madikteta kama Maduro au Assad wa wasingekuwa na msaada kutoka nje
1.Marekani amevamia nchi zifuatazo na kuua maelfu ya watu Libya,Yemen,Iraq,Afghanistan,na makumi ya nchi hapa duniani.

2.aslimia kubwa ya stock ya Chakula cha Urusi haiendi Africa kimsingi Ulaya ndio hasa inategemea chakula cha Urusi,Africa has nothing to do with it.

3.Marekani anahusika kupachika madikteta zaidi ya Robo tatu katika nchi za America kusini zikiwemo Guatemala,Cuba(Furgencio Batista),Bolivia n.k

Kwahiyo unataka kutuambia nn ndugu Yodavichenko!?
 
Anavyo rusha iskanders na kutungua zile drones jamaa ni mwanaume kweli alaf hataki chawa wala nini alaf ukijidai unamjua sana kwenye kikao mnakaa mita 500 ndo mnaongea hataki wanafki show anaipiga mwenyewe USA kabaki anaimba taarabu tu kaweka vikwazo yeye na madhara kaanza kuyapata yeye kabla ya Russia

Hadi raha. Ulaya tayari hali tete. Maandamano kila kona.
 
Anavyo rusha iskanders na kutungua zile drones jamaa ni mwanaume kweli alaf hataki chawa wala nini alaf ukijidai unamjua sana kwenye kikao mnakaa mita 500 ndo mnaongea hataki wanafki show anaipiga mwenyewe USA kabaki anaimba taarabu tu kaweka vikwazo yeye na madhara kaanza kuyapata yeye kabla ya Russia
Putin hapigani mwenyewe ana support invisible
 
1.Marekani amevamia nchi zifuatazo na kuua maelfu ya watu Libya,Yemen,Iraq,Afghanistan,na makumi ya nchi hapa duniani
2.aslimia kubwa ya stock ya Chakula cha Urusi haiendi Africa kimsingi Ulaya ndio hasa inategemea chakula cha Urusi...
Africa haihusiki na lolote juu ya hii vita ni upumbavu wa Watanzania kudanganywa ati bei ya mafuta imepanda tokana na vita wakati mafuta tunachukulia uarabuni na sio urusi😂😂😂
 
Africa haihusiki na lolote juu ya hii vita ni upumbavu wa Watanzania kudanganywa ati bei ya mafuta imepanda tokana na vita wakati mafuta tunachukulia uarabuni na sio urusi😂😂😂
Hatujahathirika chochote na hii vita kiukweli tuache kuingilia shughuli za wanaume zisizotuhusu..Kilichofanyika kwenye mafuta ilikuwa ni kuongeza matozo kibao na serikali yetu hii ipo kwa ajili ya kuwakandamiza wananchi wakacheza na beat kwamba vita imechangia,Suala la njaa ni matokeo ya mabadiliko ya hali ya nchi yanayoathiri kilimo, na sisi waafrica ngano sio priority yetu sisi tuna matatizo yetu tu hapa ya kushindwa kuvuna mihogo,mahindi na magimbi
 
Hatujahathirika chochote na hii vita kiukweli tuache kuingilia shughuli za wanaume zisizotuhusu..Kilichofanyika kwenye mafuta ilikuwa ni kuongeza matozo kibao na serikali yetu hii ipo kwa ajili ya kuwakandamiza wananchi wakacheza na beat kwamba vita imechangia,Suala la njaa ni matokeo ya mabadiliko ya hali ya nchi yanayoathiri kilimo, na sisi waafrica ngano sio priority yetu sisi tuna matatizo yetu tu hapa ya kushindwa kuvuna mihogo,mahindi na magimbi
Watanzania wengi tunaojitambua tumefanywa wapumbavu na kakundi kadogo ka CCM😂😂😂
 
Hivi umewahi kufikiria dunia ya leo ingekuwaje bila Urusi?

Kwamba Marekani na washirika wake ndo wangekuwa na nguvu ya kusema na kutenda wanavyotaka ingekuwaje?

Kwamba kila azimio kwenye baraza la Usalama wa UN turufu angekuwa nayo Marekani peke yake ingekuwaje?

Hivi bila nguvu ya kijeshi na kiuchumi wa Urusi ya kusimama dhidi ya mafedhuli dunia ingekuwaje?

Hivi bila Mwamba Jeuri na Jasiri former KGB spy, Vladimir Putin kuwa mtu asiyependa ujinga na kuonewa dunia ingekuwaje?

Kwamba Putin asingekuwepo leo, kuna mtu angemkanya Marekani? Je Marekani angemuogopa nani?

Hakika hatuna budi kuishukuru na kuitakia mafanikio Urusi na mwamba Vladimir Putin kheri.

Asante sana Putin, Asante sana Urusi kwa kusimama kwenye nafasi yako.
Well said mkuu,kwa bahati mbaya ni Watanzania wachache watakuelewa - once again bravo.
 
Muha wa kibondo kigoma mwenye asili ya kongo ambae maisha yake ya utotoni yalimalizikia kwenye kambi za wakimbizi ,leo baada ya kula fadhila na msaada ya hao unaowaita mafedhuli kwenye kambi hizo umejisahau mja, hakuna mbaya kwa wote, hata huyo putin ulimwagia sifa asizostahiki ana mapungufu.
 
Back
Top Bottom